Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Katika hatua nyingine, wagombea wawili wa udiwani walizimia kwa nyakati tofauti baada ya kusomewa matokeo ya kura zilizopigwa, huku yakionyesha wao hawakupata kura hata moja licha ya kujipigia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wadau mimi nipo kahama na ni mwanajamii sasa nataka kupata uhakika hili jimbo analogombea lembeli lipo au wamemfanyia usanii wamtosee? hebu wenye taarifa na sio tetesi watuweke wazi maana haya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika hali kushangaza mtangazaji wa TBC1 Marine Hassan Marine wakati anamalizia kipindi chake cha jambo leo asubuhi ametangaza kuwa Kikwete ndio mshindi wa urais na Dr. Slaa na Prof. Lipumba...
0 Reactions
63 Replies
8K Views
WanaJF naomba mnijuze... Asubuhi ya leo nilimsikia Mnyika akisema kuwa mchakato wa kumpata mgombea ubunge Rombo umekamilika na ulikuwa mkali sana. Nani kashinda?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
HOTUBA YA MWENYEKITI WA KAMATI YA TAIFA YA BARAZA LA VIJANA WA CHADEMA (BAVICHA) JOHN MNYIKA AKIFUNGUA MKUTANO WA WAWAKILISHI WA WANAVYUO VIKUU VYA MKOA WA DAR ES SALAAM KATIKA VIWANJA VYA...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani mbona sijamskia Wilfed Lwakatare kama amechukuwa fomu? na anagombea jimbo gani? kile kifaa mbona kiko kimya namna hii? Huko Kagera ina maana Chadema haina mikakati ya kuzoa majimbo?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wana JF mimi Binafsi nimefurahishwa sana na suala la CHADEMA Kumteua Dr. wetu achuane na "mbayuwayu" katika uchaguzi mkuu mwaka huu. Nimefurahishwa kwa sababu atatoa changamoto na kama siyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna tetesi kuwa Shigongo (wa Global Publishers) na Meya Kimbisa wamechukua form kutafuta nafasi za ubunge. Shigongo inasemekana anakwenda jimbo la Buchosa na Meya Kimbisa anaenda Jimbo la...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
kwenye uchambuzi wa magazeti wa radio mbalimbali leo tumepata kusikia ya kwamba mkurugenzi wa uchaguzi rajabu kiravu amekanusha uwepo wa jimbo jipya la ushetu. siku za karibuni imepata kusemwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Rajab Kiravu amesema hana taarifa za tume hiyo kutangaza jimbo jipya la uchaguzi la Ushetu mkoani Shinyanga. Kiravu alisema hayo wakati...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Marando *AAHIDI KUMPIGIA DEBE DK SLAA NCHI NZIMA Ramadhan Semtawa WAKILI na mwanasiasa mwanzilishi wa mageuzi, Mabere Marando, amejitoa NCCR- Mageuzi na kujiunga Chadema huku akieleza kuwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
25th July 2010 Waandishi wa habari wawili waliokuwa wakifuatilia mchakato wa kampeni za kura za maoni ili kuwapata wagombea wa udiwani na ubunge wilayani Mbinga kupitia CCM...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Kwa kweli kelele za wana CCM kufisadiwa katika kura za maoni na wana CCM wenzao kuchukuliwe kwa tahadhari kwani wengi wanaolalamika wanajua chama kimezoea kufanya nini ili kupata unaoitwa "ushindi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Yes, yeye Malaria Sugu, na pacha wake Tumaini, na binamu yake Kanda2. Kwa kadri ambavyo mods wanayakubali yale wanayobandika hapa na kuacha yaendelee kukaa kwa miezi na miaka kadhaa (kitu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
WanaJF Nina mpago wa kurudi nyumbani kabla ya Uchaguzi ili nitoe kura yangu kwa DR Weapon(Slaa) juzi ndo nimesikia kuwa anagombea Urais. Niliposikia habari hii nilishutuka kidogo nikaona Dr...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimeipongeza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), kwa kuonyesha utendaji na uwepo wao hasa katika kufuatilia mchakato mzima wa uchaguzi kwa kuanzia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Na Mwandishi Wetu Mtangazaji anayekuja kwa kasi kwenye ‘field’ hiyo Zamaradi Nketema ambaye anapiga mzigo katika Kituo cha Radio Clouds Fm, naye ameamua kwa moyo mmoja kuingia kwenye siasa huku...
0 Reactions
19 Replies
11K Views
Ni mkakati wa CCM kuhakikisha watu hawapati elimu ya uraia hasa viijini,na wanatumia njia hiyo kushinda changuzi mbalimbali.Naomba tutumie njia mbadala kuhakikisha watu wetu walio vijijini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
22nd July 2010 Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa, amesema kitendo cha Jeshi la Polisi kukataa kutoa kibali kwa vyama vya siasa vinapoomba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tangu wiki iliyopita Chama cha Mapinduzi CCM kimeanza Mchakato wake wa Kuwapata wagombea wake wa viti vya Udiwani na Ubunge, katika michakato hiyo watoa nia Mbalimbali wamekuwa wakipita katika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom