Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kishatumbuiza Vick Kamata kisha wakatumbuiza wasanii wa TMK wakiongozwa na Juma Nature, wametinga mavazi ya CCM kwa raha zao. Sasa anatumbuiza Flora Mbasha, anaimba "Kikwete Kiongozi bora...
0 Reactions
204 Replies
18K Views
CCM ni chama cha Dhuluma, hili lipo wazi. Tumesikia tayari wagombea wa CCM wameshaanza kumwagiwa mchanga wa macho. Peter Msola (waziri wa mawasiliano) amefanya ghiliba ili awanie kiti cha Ubunge...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mbunge Limbu akamatwa, ahojiwa Diwani kortini, vigogo UVCCM matatani Nape alalamika kuhujumiwa Ubungo Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Nape...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Katibu mkuu wa ccm Yusuph Makamba SIKU moja baada ya kuripotiwa matukio rushwa katika mchakato kupata wagombea ubunge ndani ya CCM, chama hicho kimesema mgombea yeyote atakayekamatwa na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mawaziri na baadhi ya watendaji wakuu wa serikali ya Rais Amani Abeid Karume wamekumbwa na hofu kufuatia upinzani mkubwa unaowakabili katika kutetea nafasi za ujumbe wa Baraza la Wawakilishi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Viongozi wa Kiislamu Zanzibar, wamesema wanaunga mkono Serikali ya Umoja wa Kitaifa na kusisitiza kuwa watabeba jukumu la kuzunguka visiwani na kushawishi wananchi kupiga kura ya ndiyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na Ally Sonda, Moshi KATIKA hali inayoonekana kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekusudia kumng'oa Mbunge wa Moshi Mjini, Phillemon Ndesamburo (Chadema) ifikapo mwaka 2010, kimeamua kuutumia Umoja...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mabere Marando anatarajia kujiunga rasmi CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi chanzo changu ni watu walioko karibu naye na kuwa atatangaza uamuzi huo muda wowote kuanzia sasa. viongozxi wa vyama vigine...
0 Reactions
128 Replies
15K Views
Wadau nijuzeni... Hivi utitiri wa watu kutangaza nia za kugombea ubunge... ni hela za bwerere... Ni kuongeza wigo wa kuatamia fursa za mahela... Kujiongezea umaarufu hata kama watshindwa... Ama ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, naomba kama kuna taarifa ya wagombea ubunge mkoani Tabora, hususan Nzega, Urambo na Igunga .... mwenye taarifa naomba azimwage hapa.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana-JF wenzangu, nisaidieni, maana nimechanganyikiwa. Hivi karibuni vyombo vya habari, hususan magazeti, vimekuwa vikiripoti vituko, vurugu, umafia na ufisadi katika kampeni za uchaguzi za CCM...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajfnina kiu ya kujua nani atamrithi dk.slaa karatu.nia zaidi kuweza kufahamu jinsi chadema itakavyo weza kuweka mtu ambaye hatatuangusha,je kuna mwana jf anayefahamu? Help
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani kazi iliyobaki rahisi na tamu ni Ubunge tu!! Wakati Mwenyekiti wa chama Tawala CCM alipokimbiza muswada wa sheria ya gharama za uchaguzi, leo CCM inazidi kujiingiza yenyewe kwenye tanuri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wana JF salaamu. Mimi si mwanasiasa, ila naomba ushauri/majibu kwenu. Kutokana na taharifa zinazotolewa na vyombo vya habari, pomoja na baadhi ya post ambozo zimewekwa humu JF, nimekuwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Aliyekuwa miongoni mwa waasisi na mwanachama ‘front liner’ wa Chama Cha Jamii CCJ, Mashaka Seif, asubuhi ya leo ametangaza rasmi kujitoa CCJ na kuhamia TLP, katika mkutano na waandishi wa habari...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mbunge wa zamani wa jimbo la ukonga Mahanga ameamua kurejea jimbo jipya la Segerea baada ya kuona maji yapo shingoni.. Kwa sasa akiwa na kiasi kikubwa cha fedha za kumaliza ubunge na uwaziri...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
HOPE DIES LAST Hayawi hayawi yamekuwa. Wengine walitucheka ila ninaamini kuwa JF tumechangia Dr. Slaa kubadili mawazo na kugombea. Asanteni wote waliojiandikisha hadi namba 95. Ila sasa...
0 Reactions
230 Replies
18K Views
Taifa la Tanzania halitaongozwa tena na wapiga ramli na washirikina. Kiongozi mzuri ni wewe chukua hatua sasa, fomu za uongozi kupitia chama BORA zipo hapa chini.
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wakuu,............Je nikiwasaidia wagombea cash hipo shida?au namimi nitafwa na takukuru??Pesa hii hapa!!!:usa:
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom