Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Hivi tatizo nini kwamba karatasi za kupigia kura bado? Au mpaka wajue idadi ya wapiga kura? Zinazobaki bila kutumika inakuwaje?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Limeibuka wimbi la mauaji ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mazingira yanayoacha shaka kwamba huenda kuna mikono ya kisiasa katika vitendo hivyo. Wakati wakazi wa Jiji la Mwanza wapo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Awali ya yote naomba nitumie nafasi hii kuwasalimu nyote Wanajamii Forum na Kuunga Mkono Mtazamo,itikani, Imani, na Hoja mbali mbali mnazozitoa kuhusiana na Mwelekeo wa Uchaguzi wa Tanzania...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Na Elizabeth Suleyman MCHUNGAJI wa Kanisa la Tanzania Assembles of God (Tag) Macmilan Lyimo MCHUNGAJI wa Kanisa la Tanzania Assembles of God (Tag), lililoko eneo la Mabibo jijini Dar es...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
We differ in our views when it comes to the politics of our country but, we're going to elect new leaders on all levels of the gov. What do you think we should consider in this coming election...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
CHAMA Cha Jamii (CCJ), jana kilishindwa kuwasilisha kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, maombi ya usajili wa kudumu na kitendo hicho sasa kitafanyika mapema wiki ijayo. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Yadaiwa ni mkono wa mtu Aliugua gonjwa la ajabu Alikataa kubadili nia hiyo Jiji la Mwanza lazizima Mwanamke aliyekuwa ametangaza nia ya kuomba uteuzi wa kugombea ubunge katika jimbo la...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika mji wa Moshi yametajwa majina ya madiwani 12 wa CCM ambao wamengoza kwa kutoa, kutetea na kunyamazia hoja zinazodhoofisha maendeleo ya Moshi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakati akiwahutubia wazee wa ccm wa mkoa wa dar es salaam kuhusu mgogoro kati ya serikali na tucta ni dhairi kabisa mhe. Rias alionekana ni mtu mwenye jabza, asiyejua utawala bora na aliyolewa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Kumekuwa na mjadala mpana kuhusu Dk. Wilbrod Slaa, Mbunge wa Karatu na Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni kugombea Urais mwaka huu ili apambane na Kikwete wa CCM. Kwa maoni yangu, Slaa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
MIONGOZO iliyotolewa na madhehebu ya dini za Kiislamu na Kikristo nchini kuhusu uchaguzi mkuu, haina matatizo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Philip Marmo amesema. Pia amesema Rais...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mimi naona jeikei haitaji kura za wafanyakazi.............. HAZINA MAANA SANA KWAKE,kwasababu wafanyakazi wenyewe ni wachache sana ukilinganisha na watanzania wengi wenye njaa zao...... sasa kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimebadili utaratibu wa kuwapata wagombea ubunge na udiwani kwa kuruhusu wanachama wao wote kupiga kura za maoni, uongozi wa chama hicho wilayani Sengerema, mkoani...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Katika jimbo fulani kuna bango linalomnadi mbunge wa sehemu hiyo hivi: Baadhi ya misaada mbalimbali niliyotoa kwa wanajimbo langu binafsi: Nilisaidia upatikanaji wa majeneza pamoja na kusafirisha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
ONA HII Tume ya Taifa ya Uchaguzi ,Kwa mamlaka iliyopewa chini ya Ibara ya 75 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977,inawatangazia wadau wa Uchaguzi na Wananchi kwa ujumla kuwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
I'm a youth, a CCM member, and one among the many victims of Jakaya's myths; infact i was on my final year (undergraduate) when this gentlemen visited the campus, and to be honest i was really...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Sasa mwanzo serikali ilipiga kelele; sasa inakuwaje mizuri? Je ukiangalia ni upi kati ya ule wa waislamu na wakristo una tija kwa taifa letu? Kingunge yuko wapi sasa? Au amekwisha uelewa kwa muda...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Uteuzi wa wagombea urais Bara, Visiwani kujulikana mwezi ujao Mwenyekiti wa chama CUF, Profesa Ibrahim Lipumba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Fedha na Uchumi), Dk. Mwinyihaji Makame Mwadini. Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya kusimamia utekelezaji wa kura ya maoni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Yasema vifaa vingi vya kura vipo tayari Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, wakihakiki majina ya wapigakura waliojiandikisha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom