Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

WABUNGE 143 kati ya 232 wanaotoka katika majimbo ya uchaguzi hawachaguliki, hivyo ni vigumu kurejea bungeni baada ya uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba mwaka huu, kwa mujibu wa utafiti...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Naomba wadau tuangalie vyanzo vya fedha vya CCM kwa ajili ya kununulia Kapelo, Pilau, T-shirt na kadhalika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu na madhara yake, Mimi nimejaribu kuangalia vyanzo hivi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi sasa kuna harakati za uchaguzi katika chuo cha mzumbe lakini cha kujiuliza ya kuwa kwanini wasomi wetu tuliotarajia watoe mfano bora kwa kuchagua watu kwa sera na si nini wamewapa ...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi si mwanasiasa na kwa bahati mbaya sana nimejikuta nikiichukia siasa kutokana na ulaghai na majigambo ya baadhi ya wanasiasa wa Tanzania. Nikiwa mkazi wa jimbo la kawe nimefikia mahali...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Katibu wa Kikwete aibuliwa jambo zito *Adaiwa kuanza kampeni za ubunge kwa jina la Ikulu *Akanusha kudai kuandaliwa Uwaziri Mkuu WAKATI mjadala wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi ukiwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
Utafiti wa kura za maoni uliotangazwa na REDET umeonyesha kwamba kama uchaguzi ungefanyika leo, CCM na Kikwete wangeshinda kwa zaidi ya asilimia 70. Sources: Channel Ten, StarTV, TBC
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Mbio za urais za Bilal zaanzia Ikulu Dar Na Patricia Kimelemeta, Mwananchi WAZIRI kiongozi wa zamani wa Zanzibar, Dk Mohammed Ghalib Bilal ameweka bayana nia yake ya kuwania tena kiti cha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Serikali yatangaza miradi mikubwa minne ya umeme. Na Freddy Azzah, Mwananchi WAKATI taifa linakabiliwa na upungufu mkubwa wa nishati ya umeme, serikali imetangaza mpango mkakati wa kutekeleza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
[SIZE="2"]Ndugu wana jamii forams ni muhimu sana kujitolea ile kuweza kuleta mabadiliko ya kisiasa ili uchumi wetu uweze kuonguzwa na watu wenye mtizamo chanya hivyo basi wewe ukiwa ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimemsikia jana Bungeni Jaji Werema akikubali kwa lugha ya kisiasa kuwa sheria ya gharama za uchaguzi inabidi ifanyiwe marekebisho. Na katika vifungu alivyotaja ni kifungu cha 7 ambacho Slaa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 sikupiga kura kwani uchaguzi ulikuwa wa wazi. CUF na DP waliongelea hili mara moja tu na kukaa kimya pengine baada ya kupewa nakala ya daftari la wapiga kura. Katiba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI “TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UGAWAJI WA MAJIMBO NA RATIBA YA UCHAGUZI MKUU WA 2010” 1.Ugawaji wa Majimbo Tume ya Taifa ya Uchaguzi ,Kwa mamlaka...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Waungwana, Imekuwa ni ada sasa kwa wanasiasa na hasa katika Bunge letu tukufu kusisitiza aidha umuhimu wa kujipanga au kusema kuwa sasa wanajipanga au wamejipanga. Tatizo kubwa ni kuwa, toka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ukiwa na ndugu yako au mtu wako wa karibu ana nia ya kugombea uheshimiwa andika maumivu. Jana mamsap alipokea simu toka kwa kaka yake wa baba mkubwa akamwambia ana kadi yake. alipoulizwa kadi ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Na Mwantanga Ame TUME ya Uchaguzi ZEC, imetangaza kuwa uchaguzi Mkuu wa Zanzibar utafanyika Oktoba 31 mwaka huu baada ya kuvunjwa Baraza la Wawakilishi. Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF naombeni mwenye kuwajua wanaotarajia kugombea ubunge jimbo la Ukonga na Ilala ikibidi nawasifu wao. Ninatanguliza shukrani zangu za dhati
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bunge la Tanzania ambalo linaanza mkutano wake wa 19 kesho mjini Dodoma limekubali kulirejesha suala hilo kwenye chombo cha kutunga sheria baada ya mbunge wa Karatu, Dk Willibrod Slaa kuwasilisha...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Bunge kujadili upya Sheria ya Gharama za Uchaguzi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Bwana EL nakuomba mwaka huu 2010 uwe zamu yako kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na niko tayari kukupa kura yangu. Sio kwa sababu wewe ni msafi sana ila una unafuu zaidi ya kaka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Date::2/18/2010 Mseto Zanzibar baada ya miezi 3 MUUNDO wa Serikali ya Mseto visiwani Zanzibar utajulikana katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Back
Top Bottom