Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimetafakari sana nimeona namna pekee ya kukinusuru chama rafiki CHADEMA ni Lissu kukubali matokeo na kumuunga mkono mwenyekiti wa kudumu wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe mara baada ya uchaguzi wao...
0 Reactions
23 Replies
451 Views
Kulikuwa na mjadala na bado unaendelea CH kuhusu kitabu tata cha Kabendera Kwamba mazingira yale yale yaliyotuletea Magufuli 2015 ndio yale yale yatakayotuletea Magufuli mwingine hapo mbeleni...
1 Reactions
3 Replies
246 Views
Utangulizi Katika kipindi hiki cha utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan, kumekuwa na mvutano mkubwa katika mitandao ya kijamii kuhusiana na miradi mbalimbali aliyotekeleza na fedha alizozituma kwa...
0 Reactions
4 Replies
252 Views
Kupitia account yake ya twitter mbunge wa Kigoma mjini amesema kuna operation maalumu iliyoanzishwa kwa lengo la kummaliza. Tunafahamu kuwa Operesheni Maalumu #Mzizima2 imepewa kibali...
74 Reactions
584 Replies
62K Views
Hii nchi kama Kuna Viongozi wasioyumba kikauli basi ni Mzee Kinana wa CCM na Shehe Ponda wa BAKWATA Na Kiongozi pekee wa siasa asiyeishi na nongwa moyoni mwake ni Freeman Mbowe mnyasa wa...
2 Reactions
3 Replies
191 Views
Great Thinkers, Naomba tulitazame suala hili kwa umakini. Jumamosi iliyopita, Mbunge Zitto Kabwe alitoa taarifa kwamba amepata taarifa juu ya kuwepo operesheni maalum ya kutaka...
14 Reactions
30 Replies
4K Views
Nimeshindwa niweke wapi hii comment, JF mnaweza unganisha na uzi wowote. Tukio la Janeth Magufuli kulazwa Muhimbili Novemba 2016 linapaswa kufafanuliwa kwa muktadha wa ukweli na uwazi. Huwa...
12 Reactions
65 Replies
4K Views
"Tunasifiwa kwamba adjustments [maboresho] tuliyoyafanya awamu ya tano kidogo zimekuza heshima ndani ya utumishi wa umma. “Heshima iliyokuzwa ni ya woga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda...
56 Reactions
753 Replies
39K Views
Haina haja ya kutafuta Mchawi Mh Freeman Mbowe abakie kama mshauri wa Chama ameshachoka Freeman tuletee Wakili Msomi Nicole tuhangaike naye Siasani Wewe sasa ni Babu 😂😂😂🔥
0 Reactions
2 Replies
68 Views
DC wa Hai Ole Sabaya akiwa na gari yenye namba @UN na silaha nzito za moto ameongoza genge la wahalifu kuvamia Hotel ya Kitalii ya Aishi, Machame kwa lengo la kunidhuru na kuniua. Wameteka, kutesa...
19 Reactions
165 Replies
24K Views
Kuna tuhuma ambazo zinamkabili Sabaya, ni nyingi na za ukatili kubwa, uvujifu wa haki za watu Hai, mateso mauaji , utekaji etc etc uliokithiri. Katika hali ya kawaida, kwa level ya tuhuma hizo...
20 Reactions
73 Replies
5K Views
Wanabodi, Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Mhe.Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezwa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya watu kutaka kuwabaini hawa watu wanaoitwa ni...
70 Reactions
292 Replies
47K Views
Amesikika Mbowe na kujifagilia kwingi huku akimnanga Lissu. Kwamba alichokisema kuhusu kung'atuka bila shaka, kimsingi yeye na M7 ni baba mmoja, mama mmoja: Kwamba kasema yeye ndiye kamfikisha...
4 Reactions
25 Replies
756 Views
Kama ulidhani jambo hili ni utani, basi ulijidanganya, mambo tayari yako Mahakamani. Kesi hii yaweza kuwa fundisho kwa mitandao mingine ya simu inayoshirikiana na Watekaji na Wauaji, hata kama...
15 Reactions
70 Replies
9K Views
Nimeona niliseme hili sababu nadhani wanasiasa wa sasa wanatumia hii mbinu; Wanakuja na Vitu vya ajabu ambavyo wanajua watu watakataa au kupiga kelele alafu wanaviondoa vile vitu kuonyesha kwamba...
0 Reactions
3 Replies
275 Views
Hongera sana Engineer Fatma Kara, Samia Foundation na Team ya Quality Builders kwa mwanzo mzuri sana. Naamini hakuna mwengine atakayeweza kutafsiri Ndoto na Maono ya Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan...
0 Reactions
0 Replies
151 Views
Huu ni mwezi wa sita au zaidi, petroli, diesel na mafuta ya taa yanashuka bei kila mwezi, hivi hamuoni au dharau? Au mnangoja yapande ndio mlaumu? Mkijua kulaumu mjue na kupongeza. Mama mpaka...
6 Reactions
105 Replies
1K Views
Kama unabisha endelea kubisha lakini juzi Kuhani Mussa kapokea Mchango wa Rais na kutoa baraka zake za kikuhani CCM inatumia misingi ile ile iliyowekwa na Shujaa Magufuli na kwa Bahati nzuri this...
1 Reactions
16 Replies
384 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za 'Kwa Maslahi ya Taifa" nikiandika kuhusu jambo lolote la kisiasa, kiuchumi ua kijamii kuhabarisha, kuelimisha na...
8 Reactions
50 Replies
2K Views
Back
Top Bottom