Kwa kuwa sasa ni dhahiri maridhiano yanalipa, yameleta utangamano wa kitaifa.
Nashauri Rais Samia aandae maridhiano awamu ya pili ambayo itagusa mambo makubwa makubwa ya kisiasa, ikiwamo...
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba Chacha, ametolea ufafanuzi madai ya baadhi ya watu wanaoishutumu TBC kwa kutovialika baadhi ya vyama vya upinzani, ikiwemo...
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Chadema, iliyosambazwa kote Duniani.
Na kwamba Mkutano huo utafanyika huko Mwanza Nchini Tanzania
Haijajulikana sababu ya Mkutano huo wala ambacho kitazungumzwa...
Mwenyekiti wa chadema Mh Freeman Mbowe amesema amekuwa Kiongozi kwa miaka 30 na Sasa ni Kiongozi mkuu wa chama kwa miaka 20 hajakurupuka
Mbowe amesema kashfa ndogo ndogo haziwezi kumtoa kwenye...
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa majina yao kwenye mali na miradi ya nchi, hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.
Kwa mfano, si sawa kwa stendi ya...
Hili wazo nimekuww nalo kichwani mwangu kwa karibu miezi mitatu au minne sasa ila kadri siku zinavyoenda nazidi kupata msukumo wa kulileta hapa mtandaoni kama wazo au maoni yangu.
Nafikiri...
Wamehitahidi sana kutuzuga na kumlaumu Ndugai kuwabeba na kuwakumbatia Wabunge wanawake 19 kutoka Chadema almaarufu Covid 19.
Muda ni mwalimu mzuri, Mbowe ni mnafki sana, alishalamba asali, akija...
Serikali kwa kushirikana na sekta binafsi imendelea kuimarisha uzalishaji wa ndani wa mbegu bora za mazao ambao umeongezeka kutoka tani 42,096.68 msimu wa 2022/2023 hadi kufikia tani 56,114 msimu...
Godbless Lema amesema kwamba John Heche kakubali kuchukua fomu ya kugombea Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara. Heche bado hajaongea chochote.
Mpo Salama!
Watanzania wengi wametoka na kulelewa kwenye jamii nyingi zinazomini na kufundisha kuwa MKUBWA HAKOSEI.
Watanzania wengi wanaamini ukishakuwa Mzazi wewe tayari ni Mungu hivyo hukosei...
CHADEMA imejengwa na kujengeka lakini kwa upande wangu naona kuna matatizo haya.
Wagombea wanaopendwa hawana fedha kitu ambacho huwanyima wagombea wazuri kupata nafasi na hatimaye kumpa nafasi...
Friends, ladies and gentlemen.
Kwa kifupi kabisa, ukipima kwa jicho la rohoni kabisa, numbers of votes zinamfavor chairman Mbowe, huku useless mass popularity ikimfavor vice chairman Lisu, ikiwa...
Wakuu amani ya Bwana iwe juu yenu, kila mmoja kwa imani yake.
Leo nimeona nitoe onyo , kama yupo ambae amekwapua mpunga toka upande ule, utazitapika, uchaguzi umeishaisha .
Team Mbowe mnaenda...
ALIYEMTISHIA NAPE KWA BASTOLA NI ASKARI - MWIGULU.
Waziri wa zamani wa mambo ya ndani aliyefurushwa, Bw.Mwigulu Nchemba amesema hajawahi kusema kuwa mtu aliyemtishia Nape Nnauye kwa basola sio...
Watanzania tulivyo wasahaulifu hawa watu hatuwakumbuki kabisa. Na hatukumbuki kuwa walio waua watu hawa mpaka sasa hawajapatikana.
Tunaendelea kusifu huku na kuponda kule.
Yaani Halali au...
Mwenyekiti wa chadema Kanda ya Victoria Mh Wenje amewataka wafuasi wa Mbowe na LISU kuacha Matusi kwa sababu hayasaidii chochote kwa mgombea wako
Wenje amewataka hao Machawa wakome kumgombanisha...
Waziri wa mambo ya ndani atafanya mahojiano katika kipindi cha Clouds 360 na watangazaji wanadhamiria kumuuliza juu ya matukio yanayofanywa na watu wasiojulikana. Wale mlio majumban mkiangalia...
Taarifa kutoka Makao Makuu ya Chama hicho imewakumbusha Wanachama wote wa Chama hicho kulipia kadi zao ili kuwapa uhalali wa kushiriki vikao muhimu vya Chama chao ifikapo January 21
Zaidi Tangazo...
Dunia inazunguka kwa kasi.
Askari huyu, tarehe 23.3.2017 alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais Magufuli kwa sakata la Makonda kuvamia Clouds...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.