Watanzania tunaendelea kushangazwa sana na kimya kizito kinachoendelea Cha Rais Samia, kuhusu kifo Cha kiongozi wa CHADEMA, Ali Kibao kilichotokea tarehe 7 mwezi uliopita.
Nakumbuka Rais Samia...
Nimepita Jana kuelekea Mwanza na kujionea hali halisi ilivyo baada ya kufika eneo la mradi nimekuta walinzi tu wakilinda vifaa vya wachina hata hivyo baadhi ya watu waliopo kwenye mradi huo...
Wakuu
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Victoria na Mtia nia wa nafasi ya Umakamu Mwenyekiti wa chama hicho bara Ezekia Wenje akizungumza na wanahabari siku ya...
Mwaka 2015 Lowasa alisema akishinda atamleta Gavana mstaafu wa BoT Dr Balal aliyeaminika kuwa amekufa
Kubenea akiwa Mbunge wa Chadema alisema anajua Msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema Mh Ben...
Uchaguzi ndani ya CHADEMA, umesimamisha mijadala ya vyama vingine vyote, hii ndio maana halisi ya chama chenye nguvu ndani ya nchi, japo hakiongozi Serikali
Tangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto, Iddi Amin, Mobutu, Kagame, Bokassa na wengineo...
Ukifuatilia kwa umakini na ukaribu zaidi, uelekeo wa siasa za Tanzania, utagundua kwamba,
Dr.Samia Suluhu Hassan, anakwenda kurekodi na kuandika historia mpya ya kuaminika zaidi kama Rais wa...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Victoria na Mtia nia wa nafasi ya Umakamu Mwenyekiti wa chama hicho bara Ezekia Wenje akizungumza na wanahabari siku ya Ijumaa...
𝐓𝐋𝐒 𝐘𝐀𝐋𝐀𝐀𝐍𝐈 𝐑𝐔𝐒𝐇𝐖𝐀 𝐊𝐀𝐓𝐈𝐊𝐀 U𝐂𝐇𝐀𝐆𝐔𝐙𝐈 WA 𝐍𝐃𝐀𝐍𝐈 WA 𝐂𝐇𝐀𝐃𝐄𝐌𝐀
Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimetoa tamko rasmi kulaani vitendo vya rushwa vinavyoendelea katika uchaguzi wa ndani wa...
Wakuu,
1. Isack Francis Mtinga - MBUNGE WA IRAMBA MASHARIKI
Tarehe ya Uchaguzi (2020): Alipata kura 35,457
Elimu
Shahada ya Sayansi ya Chakula na Teknolojia, Chuo Kikuu cha Sokoine (1999-2003)...
Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Maalim Seif amefariki ktk Hospitali ya Muhimbili. Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi ametangaza siku 7 za maombolezo ya Kitaifa...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Victoria na Mtia nia wa nafasi ya Umakamu Mwenyekiti wa chama hicho bara Ezekia Wenje akizungumza na wanahabari siku ya Ijumaa...
Kuna kitu sikielewi huyu mtu aliwakosea nini waliopo Serikalini ?
Mfano ,kitabu cha in the name of president cha kabendera kuna WALIOSHUHUDIA na WALIOONA, NILISIKIA na ndio ushahidi tuende nao ...
Nyerere Julius hakupenda kilichokuwa kinaendelea Ikulu wakati wa Mwinyi. Akasema ni mahali patakatifu.
Kulikuwa na minongono mtaani, redio mbao for that matter kuwa anataka "kumpindua" Mwinyi...
Ikumbukwe mwaka jana yalitokea mauji ya aliyekuwa Katibu wa CCM Wilaya ya Kilolo kule Iringa.
Sasa basi, kutokana na kuuliwa kwa dada yule, Viongozi mbalimbali wa CCM Mkoani humo wanashikiliwa na...
Wananchi 495,552 wamenufaika na Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Legal Aid inayoratibiwa na serikali kupitia Wizara ya Katiba na Sheria.
Lengo ni kulinda na kukuza upatikanaji wa haki...
Updates
Washtakiwa wanne kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo wamehukumiwa adhabu ya kifo baada ya mahakama kuwatia hatiani kwa kosa la mauaji ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.