Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Watuhumiwa watano akiwamo katibu wa Mbunge wa jimbo la Kilolo Kefa Walles, Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi kupitia CCM wilaya ya Kilolo Hedikosi Kimwaga, Diwani kata ya Nyanzwa Boniface Ugwale...
1 Reactions
51 Replies
3K Views
Sio kwamba navidharau hivi vyama vingine ila wasipojitathimini, wakaamua kujiunga na moja wapo wa hivyo vyama viwili vikubwa. Tanzania kwa sasa, wataishia kuzunguka hapo hapo mambo yajayo...
0 Reactions
0 Replies
131 Views
'Je ni kwa nini mpaka sasa zaidi ya miaka 20 ya Vyama vingi. Chama kikuu ya Upinzani CHADEMA Hakijakubalika Upanda wa Tanzania Visiwani-Zanzibar....? Hata huku bara kwenyewe kimekubalika kwenye...
1 Reactions
73 Replies
5K Views
Kwanini Kinana alirudisha majeshi CCM, kujiuzulu? Na Luqman Maloto Julai 29, 2024, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Abdulrahman Kinana...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba nianze kwa kushukuru Mungu kwa kuzaliwa kwa mkurugenzi wa Jamii forum hakika kwa life span yangu Sasa ni miaka zaidi ya 39 ya kuzaliwa Nina karibia robo ya maisha yangu nimekuwa member wa...
15 Reactions
94 Replies
6K Views
Baada ya kuwasikiliza wakazi na viongozi hawa wa tarafa ya Ngorongoro, nimegundua yafuatayo: 1. Kuna agenda mbaya ya siri dhidi ya Wamasai hawa wa Ngorongoro inayofanywa na serikali ya CCM chini...
12 Reactions
70 Replies
4K Views
Hii ndio Taarifa mpya kwa sasa , Pimeni wenyewe. Flyings Medical Service wanafanya shughuli za utabibu kwa njia ya anga maeneo ya mkoa wa Arusha na Manyara tangu nwaka 1983. Mamlaka ya Usafiri...
18 Reactions
103 Replies
9K Views
Najua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni. Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je, CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini...
5 Reactions
23 Replies
576 Views
Ni ngumu sana kumtetea Magufuli kwa mdomo mtupu. Mambo yaliyoendelea katika utawala wake dhidi ya haki ya kutoa maoni, dhidi ya haki ya kuishi na kufikia hatua ya kudhuru wengine, ni dhahiri...
4 Reactions
28 Replies
573 Views
Ndugu na mwanangu Lucas Mwashambwa na Makamanda wengine wa Chadema Mwenyekiti wa chadema Mh Freeman Mbowe anaposema Yeye ni Safu ya Mwisho ya Ulinzi anamaanisha nini? Na kama habishani Majukwaani...
7 Reactions
41 Replies
1K Views
Mwaka 2015 nature au universe ilizungumza na watu na watu wakazungumza na nature . Nature ilihitaji mabadiliko kupitia Kwa viongozi waadilifu na ambao wapo tayari kuongoza nchi. Walichokosea...
0 Reactions
4 Replies
243 Views
Tutapuuzwa kwa upuuzi wetu kitaifa Na Ben Saanane 16 Dec 2015 WIKI iliyopita niliandika makala yenye kichwa cha habari "Rais Magufuli na Slack Management Style; Ni utekelezaji mbaya wa...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Mjumbe wa tume ya Katiba Dr. SENGONDO MVUNGI, amevamiwa usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Na amejeruhiwa kwa kukatwa katwa na mapanga amelazwa MOI kwa sasa. ========================= Picha...
1 Reactions
224 Replies
31K Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwa naweletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni kuhusu dhana ya kitu kinachoitwa "Life after Life", ambapo najikita...
29 Reactions
210 Replies
16K Views
Wanabodi, Huu ni wito tuu kwa wana jf kuhusu ukosoaji wa Rais wa nchi, Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ufanyike kwa staha kwa kutanguliza mbele uzalendo, na maslahi ya taifa mbele, ukiwemo...
48 Reactions
263 Replies
44K Views
Kwa ushahidi wa mahojiano ya viongozi waandamizi wa Chadema Taifa hususani Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Taifa, ni wazi hekima na busara inahitajika ili kuinusuru Chadema kwenye kupasuka na...
0 Reactions
0 Replies
108 Views
Anthony Diallo, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza katika mahojiano yake na Aloyce Nyanda wa Star TV amefunguka haya kuhusu awamu iliyopita na mabadiliko ya utawala yaliyotokea 1. Furaha imeanza...
38 Reactions
228 Replies
19K Views
Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani. Ikitokea Ben au...
25 Reactions
146 Replies
5K Views
Mwembechai killing kilipigwa marufuku kuingia nchini wakati wa Rais Mkapa. Kitabu kilochoandikwa na Professor Njozi, aliekuwa mhadhiri muandamizi Udsm. Kitabu chenyewe ni ..... Mwembechai Killings...
0 Reactions
0 Replies
449 Views
Back
Top Bottom