Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wanabodi Mara ya mwisho, mchakato wa kupata katiba mpya bungeni ulikwama kwasababu ya wabunge wa chama tawala na wa vyama vya upinzani kushindwa kukubaliana kuhusu muundo wa serikali. Yaani...
0 Reactions
2 Replies
129 Views
Mshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto. Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi. Hii...
3 Reactions
91 Replies
2K Views
Wakuu, Kash kash zimeanza rasmi sasa! ===== Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, Januari 1, 2025, amewahutubia wajumbe wa...
2 Reactions
12 Replies
681 Views
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Michael Battle amesafiri Kwa Treni ya SGR kutoka Dar hadi Dodoma na kupongeza Huduma nzuri alizopata akiwa Safarini ambazo hajawahi kuziona Katika Mabara 4...
14 Reactions
42 Replies
1K Views
Wanabodi,tayari Mh. Lissu na Mh. Mbowe ni miongoni mwa wagombea katika uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Taifa. Hao wawili kwa umaarufu wao wamesababisha vuta nikuvute mitandaoni na vijiweni. Sasa...
0 Reactions
0 Replies
196 Views
Tundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja...
5 Reactions
93 Replies
4K Views
Tunaandika kwa huzuni na wasiwasi mkubwa kuhusu hali mbaya ya barabara kuu inayounganisha roundabout ya YMCA mjini Moshi na Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC. Barabara hii yenye...
1 Reactions
1 Replies
179 Views
Tupo Salama bila Shaka! Kama kichwa kinavyojieleza. Kwa kweli sivutiwi na Tabia ya Lisu kwendakwenda Ubelgiji. Bado sijajua nini kinanifanya nisivutiwe na Tabia hiyo lakini nakiri Tabia hiyo...
8 Reactions
78 Replies
1K Views
Tundu Lisu anesema Hayati Mohamed Kibao alikuwa Mkuu wa Hamasa wa Chadema Makamanda naomba kuelimishwa KAZI za Mkuu wa Hamasa ni zipi hapo Chadema Happy New Year 😄
2 Reactions
3 Replies
294 Views
Heri ya Mwaka Mpya 2025! * CHADEMA mnashindwa kuelewana katika uchaguzi wa ndani * CHADEMA mnashindwa kuzungumza lugha moja ya kidemokrasia; * CHADEMA mmeonesha udhaifu kwa kutangaza mambo yenu...
0 Reactions
6 Replies
233 Views
Hakuna wakati ambapo uchaguzi wa Tanzania ungekuwa mwepesi sana kwa wapinzani kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Ni wachache mno wanaoridhishwa na serikali hii ya awamu ya sita, kati ya hao ni...
5 Reactions
40 Replies
685 Views
Lissu ameanza kutoa milio. Anasema bajeti ya wajumbe kulala, hizo hela wajumbe wasipewe, walipiwe hotel, Lissu anataka hata hela ya safari wajumbe wasipewe, wakodiwe magari, hela ya kula...
12 Reactions
40 Replies
1K Views
Treni ya 4 ya mfumo wa EMU yapewa jina Serengeti, zilizotangulia zilibatizwa Nyerere, Magufuli na Samia. Kwanini hii isiitwe Mwinyi, Mkapa au Kikwete...
6 Reactions
26 Replies
828 Views
Mh Mkapa alikuwa akikujuwa unamzunguka anakuweka karibu then unapotea wakati ulila asali.. Mh Kikwete alikuwa anakuwa karibu na wewe mnakunywa chai ukizidi anakutumia watu na mwisho unapotezwa...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Huyu anaenda kuvunja record Hakuna wala hatokuwepo. Big up
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Siri kubwa ya utawala wa Dr. Magufuli nani aijuwaye, wengi tulimtaja na wengi tulimtegemea japo wachache ndani ya chama hawakumpenda wakati wengi waliokuwa wakitengeneza mirija mirefu yakufyonza...
22 Reactions
76 Replies
7K Views
Safari inaendelea. Vitisho.Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku.Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko Kuna watu hawa miongoni mwa wengi .Yeye anaandika " Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali...
57 Reactions
364 Replies
59K Views
Mkoa wa Ruvuma. Umepewa jina kutokana na mto Ruvuma ambao ni mpaka wake wa kusini na Msumbiji. Umepakana na Ziwa Nyasa na Mkoa wa Morogoro upande wa magharibi, mikoa ya Iringa na Lindi upande wa...
0 Reactions
0 Replies
199 Views
Mkoa wa Songwe ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania yenye postikodi namba 54100 ukiwa umemegwa kutoka ule wa Mbeya mwaka 2016. Jina la mkoa limetokana na lile la mto Songwe. Makao makuu yako Vwawa...
0 Reactions
0 Replies
245 Views
Back
Top Bottom