Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Chadema ina wanachama Laki 4 Tanzania nzima wameshindwa kuchangishana elfu kumi kumi Ili mkutano ufanyike? Tukubali tu Ukweli Chadema ni Mali Binafsi ya Mbowe kama lilivyo Gazeti la Tanzania...
13 Reactions
53 Replies
1K Views
Nauliza tu Kwa sababu hapa naziona Salam za Komredi Kawaida wa UVCCM Chadema vipi this year? Au Mimi ndio sijaziona mitandaoni? 😂
2 Reactions
6 Replies
178 Views
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Wananchi wa Ruangwa ni miongoni wa Tanzania walifanikiwa kuifuatilia Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia suluhu Hassan.
3 Reactions
13 Replies
682 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kujenga chama siyo lelemama,siyo kazi nyepesi wala rahisi wala kazi ya Mzaha mzaha.kujenga chama na kuwafikia wanachama na kutafuta wanachama wapya na kueneza sera...
1 Reactions
77 Replies
1K Views
Naona sasa mwaka wa Uchaguzi umewadia na mambo yamekuwa mengi kweli kweli. Wanasiasa wengine wanaenda kutafuta malisho ya kijana kibichi =================== Wanachama 18 wa Chama cha Demokrasia...
1 Reactions
4 Replies
334 Views
KADA wa CCM mchungaji Msigwa hivi karibuni atazungumza na Waandishi wa Habari kutolea ufafanuzi uwongo mwingi aliozungumza Mwenyekiti wa chadema Kanda ya Victoria Mh Wenje Taarifa Ukurasani X...
2 Reactions
13 Replies
648 Views
Heri ya mwaka Mpya Makamanda wa Chadema Ni mwaka wa Uchaguzi na nyie mmeshagawanyika Ili CCM ipite kiulaini hapo KATIKATI yenu Mbarikiwe sana, amen 😀
4 Reactions
5 Replies
169 Views
Iringa ni mkoa uliopo Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania, kati ya latitudo 6.540 na 100, na longitudo 33 na 37° Mashariki. Mkoa huu unachukua eneo la kilomita za mraba 58,936. Iringa ni mji wenye...
1 Reactions
0 Replies
184 Views
Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu, John Mnyika kupitia ukurasa wake rasmi wa Mtandao wa X (Twitter) --- John Mnyika kupitia ukurasa wake rasmi wa Mtandao wa X (Twitter) anaripoti...
13 Reactions
173 Replies
9K Views
HISTORIA YA MKOA WA ARUSHA Mkoa wa Arusha ni moja kati ya Mikoa 26 ya Tanzania Bara, wenye ukubwa wa KM za mraba 34,515.5. Kiutawala Mkoa unao Wilaya 6 na Halmashauri 7, Tarafa 23, Kata 33, Vijiji...
0 Reactions
0 Replies
408 Views
TAARIFA KWA UMMA Jana Septemba 6,2024 zilisambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikieleza kuwa jioni maeneo ya Tegeta Jijini Dar es Salaam, mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ally Mohamed...
6 Reactions
73 Replies
6K Views
Baba Levo kupitia ukurasa wake wa Instagram ameeleza kuwa; Nimeiangalia GAME Kwa Upana Wake NA Kuangalia Kipato Cha Msanii Mmoja Mmoja Nimegundua Vitu Vitatu ..! 1 MZIKI HAUNA NGUVU YA KUKAA...
3 Reactions
18 Replies
979 Views
Hivi kweli Kuna mtanzania hata Mmoja ANAE mwamini Dr Slaa na Tundu Lissu kwenye ungano lao la kumg'oa Mbowe chadema linatija kwa Taifa? Kama kweli mpo nawaweka madhabauni kwa bwana Mungu...
2 Reactions
21 Replies
551 Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika akizungumza na wanahabari mchana wa siku ya Jumamosi Septemba 7, 2024 Makao Makuu ya CHADEMA, Dar es Salaam amesema kuwa...
7 Reactions
40 Replies
5K Views
Mkoa wa Njombe ni mmojawapo kati ya mikoa mipya nchini Tanzania wenye postikodi namba 59000, ukiwa ulianzishwa rasmi mwaka 2012. Unapakana na mikoa ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya, na Iringa. Kutokana...
0 Reactions
0 Replies
195 Views
HISTORIA YA MKOA WA TANGA Mkoa wa Tanga ni moja kati ya mikoa 31wenye eneo la 27,348 km² na upo Kaskazini Mashariki mwa Tanzania ukipakana na Kenya upande wa Kaskazini, Bahari Hindi upande wa...
0 Reactions
0 Replies
266 Views
HISTORIA YA MKOA WA MANYARA Kwa mujibu wa tovuti ya Mkoa wa Manyara, Mkoa huu ulianzishwa kwa tangazo la Serikali Na. 367 lililotolewa tarehe 27 Julai, 2002 na kuchapishwa katika gazeti la...
0 Reactions
0 Replies
240 Views
UJUMBE WA MWAKA MPYA 2025 KWA VIJANA WENZANGU WA KITANZANIA Na Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu vijana wenzangu! Tukiwa tunaanza safari ya mwaka mpya wa 2025, nipende...
2 Reactions
1 Replies
333 Views
Ndio taarifa za Wazee wa Kikinga kabla hawajaondoka mahakamani jana kuelekea Lupila Makete kwa tambuko Maalum Wazee hao wamemshukuru sana Mdude Nyagali kwa jinsi alivyompambania George Sanga na...
5 Reactions
5 Replies
199 Views
Wakuu, Wale wana CHADEMA ambao mnahisi Mbowe hatoshi kuongoza chama chenu mna salamu zenu huku kutoka kwa Dr Aikande ambaye ni mwanachama maarufu. Kwa logic hii maana yake pia CHADEMA mtafute...
7 Reactions
42 Replies
1K Views
Back
Top Bottom