Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
=== Mtakumbuka Rais wa Kenya William Ruto, aliagiza kusitishwa kwa kandarasi ya upanuzi wa uwanja wa ndege wa JKIA na ya nishati iliyopewa kampuni ya Adani kutoka India. " Naelekeza...
13 Reactions
97 Replies
3K Views
𝐋𝐈𝐒𝐒𝐔 𝐀𝐊𝐈𝐑𝐈 𝐂𝐇𝐀𝐃𝐄𝐌𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐎𝐓𝐄𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐄𝐋𝐅𝐔 𝐘𝐀 𝐖𝐀𝐍𝐀𝐂𝐇𝐀𝐌𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐏𝐈𝐆𝐎. Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ameonesha mfadhaiko mkubwa, baada ya kukiri hadharani kuwa chama chake kimepoteza zaidi ya...
1 Reactions
11 Replies
728 Views
Taarifa kutoka kwenye kambi yake ya Uchaguzi wa Uenyekiti wa Chadema inaeleza kwamba, Mgombea huyo ambaye kwa sasa ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema atalihutubia Taifa katika kile kinachoitwa...
14 Reactions
30 Replies
852 Views
Akimjibu Godbless Lema Ukurasani X Mbunge wa Nzega vijijini anesema tuzidi kuomba Mungu yanayotokea Msumbiji sasa yasije kutokea Tanzania Dr Kigwangalla amemwambia Lema " afadhali Wewe family...
5 Reactions
42 Replies
1K Views
Pamoja na polisi kuwa mnafanya kazi yenu vizuri ila Kuna wakati mnasumbua sana hasa mkiona magari mapya, na lengo la usumbufu wenu ni kuombaomba ela. Nadhani kwa Arusha inabidi mtupumzishe kidogo...
7 Reactions
20 Replies
925 Views
Tafadhali wale mlio karibu na magezeti msiache kuchukua makala ya hili gazeti ni muhimu sana kwa kumbukumbu za watoto wetu hapo baadae jinsi wapigania mabadiliko walivyogeuzwa ghafla kwa...
6 Reactions
37 Replies
1K Views
Wakuu, Kupe wanapamba moto dakika za lala salama, huku Lugumi kule Samia! Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema kuwa ni haki kwa Watanzania kumwombea Rais...
2 Reactions
13 Replies
456 Views
EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu… Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM… Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…...
28 Reactions
142 Replies
5K Views
Allahmdulillah! Nilipata heshima ya kuhudumu kwenye nafasi mbalimbali za chama chetu kuanzia nyumbani Mkuranga, kisha Uenyekiti wa Mkoa wa Pwani. Niliiongoza Kanda ya Pwani kwa miaka mitano...
3 Reactions
23 Replies
492 Views
Wakuu, Msemaji wa Mbezi Beach nimekuja kwa mara nyingine. Kwa Mbezi maji yanakatika kila siku na wakati mwingine inaweza kuwa siku mbili na zaidi. Muda wa kukatika ni kuanzia jioni (kwenye saa...
2 Reactions
21 Replies
514 Views
Sidhani kama kuna mtu ambaye anaweza kusimama na kwa dhamira akazikataa jitihada za Mbowe katika kuijenga CHADEMA na katika kupigania haki na demokrasia nchini Tanzania. Ni katika jitihada hizo...
7 Reactions
39 Replies
683 Views
Wakuu, Rais Samia Suluhu Hassan amechangia Shilingi Milioni 35 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa kanisa la Mtakatifu Petro la Anglikana Dayosisi ya Kusini Magharibi Tanganyika lililopo katika...
1 Reactions
3 Replies
216 Views
Wala nisiseme mengi bali msikilizeni Mbunge wa Kawe na mjumbe wa NEC ya CCM anavyo wapiga fix wakazi wa Kawe na Watanzania akiwa mbele ya viongozi wenzake wa CCM. Uongo hadi Shetani anashika mdomo...
5 Reactions
37 Replies
1K Views
UJASUSI - NANI NI AUTHORITY HALALI(KISHERIA)? Sakata la kumpata mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo limeibua mambo mengi miongoni mwa kambi pinzani ndani ya chama, ikiwa ni matokeo ya...
2 Reactions
21 Replies
674 Views
Kama ni kweli Mtu unalipwa Ili umchukie Mtu mwingine basi hii dunia imeshapinduka Kumchukia Mtu ni kujitesa Wewe mwenyewe tu Ila Chadema 🐼
0 Reactions
8 Replies
163 Views
Imeandikwa na: Adv Tito Magoti Niliweka wazi kwamba ninamuunga mkono Tundu Antiphas Mughwai Lissu katika safari yake ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
9 Reactions
20 Replies
1K Views
Uwazi na uwajibukaji ndo utafanya CHADEMA idumu sio kuficha Uovu. Amyeaongea hayo kwenye Clubhouse alipoulizwa kwamba haoni kama kuongea mambo kwa Uwazi kunaua Umoja wa kitaifa wa chama? Kwanini...
26 Reactions
90 Replies
2K Views
Wafadhili hawa wamefanya mkubwa nchini, 1. Visima vya maji, 2. Ufadhili wa masomo (ngazi ya uzamili na uzamivu-Master na PhD), 3. Nyumba za Ibada na Ujenzi wa barabara ya Dar-Rufiji-Lindi-Mtwara...
1 Reactions
18 Replies
619 Views
Wakili wa Kujitegemea nchii, Peter Madeleka, amesema Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amefikia mwisho wa mchango wake katika siasa za mageuzi na hana...
2 Reactions
6 Replies
377 Views
Dr Kigwangalla akijibu hoja ya Peter Henry kwamba CCM inamtaka Mbowe Kwa sababu Inammudu, amesema " on the contrary MIMI SITAKI LISU APOTEE" Majadiliano Ukurasani X
1 Reactions
13 Replies
484 Views
Back
Top Bottom