Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakili Msomi na Rais wa TLS Boniface Mwakubusi ameuliza kupitia mtandao wa X kama wale walioidhihaki TLS kuhusu Samia Legal Aid kama wamesema lolote kuhusu jambo fulani kupewa LIVE Coverage na TBC.
2 Reactions
3 Replies
307 Views
Hizi taasisi mbili za CCM na TLS ndio pekee Chaguzi za Viongozi wake hazinaga figisu Ni taasisi zinazoheshimu demokrasia ya kuchagua na kuchaguliwa Ahsanteni sana 😄
1 Reactions
2 Replies
96 Views
Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe hajawahi kuuza Mali yake yoyote Kwa ajili ya Chadema Anayebisha aweke Hapa Mkataba wa Mauziano Nimekaa pale mwagito 🐼
5 Reactions
30 Replies
1K Views
Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na maswali ya waandishi wa habari aliyoyajibu leo ni masterclass ya siasa za upinzani katika nchi yetu. Kuongoza upinzani sio oya oya kama...
7 Reactions
18 Replies
845 Views
Wajumbe najua wengi mpo humu na mnasoma haya na mnaziona harakati na vikao vya siri na vya wazi mnavyo endelea navyo huko mafichoni, sasa kama mtajichanganya shauri yenu na heshima ya chama chenu...
4 Reactions
28 Replies
416 Views
Mara nyingi Wanasiasa huangalia Mwisho Kwa kuanzia Mwanzo na hapo ndipo huwa wanakosea sana Manabii huungalia Mwanzo kuanzia Mwisho Kwa mfano CCM inaona Mbowe ni mwepesi ukiangalia Siasa za...
1 Reactions
4 Replies
197 Views
Wanabodi, Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za kwa maslahi ya taifa, Chadema ni chama cha Kitaifa hivyo haya yanayoendelea ndani ya Chadema katika huu mgogoro wake na...
14 Reactions
154 Replies
6K Views
Hili ndio swali ninalojiuliza baada ya Mbowe leo kuongea na waandishi wa habari. Tusisahau kuwa kwa sass Lissu hana tena cha kupoteza baada ya Mbowe kutangaza kugombea na kama kuna mambo...
2 Reactions
19 Replies
630 Views
Mbowe leo amemshangaza karibia kila mtu mwenye uwezo wa kutafakari. Mbowe ametumia muda mrefu sana kusifia mafanikio yaliyotokana na mwafaka uliofanywa kati yake na Rais Samia. Hakuthubutu...
4 Reactions
8 Replies
311 Views
Ukikabidhiwa Mamlaka kamili kama Mwenyekiti wa CHADEMA rudisha Ile misingi ya kudai Haki. Sio kuomba Haki kama alivyofanya mtangulizi wako. NB: Mwenyekiti aliyepo kila mara analia Lia kama Kada...
5 Reactions
12 Replies
465 Views
Kwa vile CCM huwa wanaiba agenda za CDM basi ningeshauri na hili la kuondoa ukomo wa madaraka walipeleke bungeni. Kwa vile Wabunge wanawakilisha wananchi kisha waamue kama ukomo uendelee au...
0 Reactions
0 Replies
125 Views
Dalili ziko wasi kwamba TLS sasa imemshinda Mwabukusi. Kuna mpasuko mkubwa na viongozi wenzake wameanza kumkimbia. Ukimuona Mwabukusi anavyowananga wengine, unaweza kudhani anaweza hata...
4 Reactions
39 Replies
1K Views
KWAHERI KWA HERI NDUGU LISSU Lissu, mwana wa siasa mashuhuri kweli, Aliyejaa uthubutu, mwepesi wa maneno, Kwa haki ulisimama, sauti ya wanyonge, Leo tunakuaga, moyo mzito na huzuni. CHADEMA...
4 Reactions
15 Replies
476 Views
Habari zenu wana JF wenzangu, bila kupoteza muda ngoja niende kwenye mada husika ili kuwarahisishia wasomaji wasiopenda kusoma maandishi mengi. Ni hivi... baada ya mama mwenye nyumba kufanikiwa...
14 Reactions
149 Replies
7K Views
Hapa anajifanya anatoa ushauri na blaa blaa kibao ila yote hii ni nongwa maana Hawa ndio walitamani Kila kitu kiporomoke Ili wapate pa kumnangia mwanamke mwenzao 😁😁😁😁 Unajaribu kujiuliza hayo...
9 Reactions
132 Replies
5K Views
Ndugu wana bodi. Kupitia vyanzo vyangu makini vya kimtandao nimepokea taarifa kuwa kamati kuu ya CHADEMA imefanya uamuzi kwa kupiga kura. Uamuzi wa kupendekeza nani awe mpeperusha bendera mkuu wa...
14 Reactions
364 Replies
34K Views
Kuna viashiria vingi vya chama chenye nguvu na wafuasi wengi. Mojawapo ya viashiria hivyo ni wingi wa watu wanaojitokeza wakati chama hicho kikifanya michakato yake ya ndani kama vile uchaguzi...
1 Reactions
1 Replies
258 Views
Kwa yanayotokea CDM hakika zitto anaijua SIASA na demokrasia sintoshangaa kama siku moja kitengo kitaamua kumpa nchi maana ameonyesha ni mwana demokrasia sana Note: Ni mstaafu wa Chama chake Cha...
4 Reactions
14 Replies
426 Views
CHADEMA na CCM niliwaambia ni chama kimoja. Hata huyu mnayemuita Lissu ni tajiri mkubwa tu Ila yeye alichofanikiwa ni Ku-play low key na kuendana na watu wanaoitwa wanyonge, hii mbinu pia alikuwa...
0 Reactions
0 Replies
108 Views
Katika muendelezo wa kutupa makombora, vijembe, hasira na kuonyesha namna CHADEMA ilivyojaa ubabaishaji na uhuni uhuni pamoja na kukosa viongozi wenye kuheshimika na kutoa muongozo. Mchungaji...
3 Reactions
75 Replies
3K Views
Back
Top Bottom