Kwenye Somo la Chemistry tulisoma kitu kinaitwa Buffer na PH.
Yaani kemikali ikiwa kali inabidi uizimue kwa kuweka chemikali nyingine inayoitwa Buffer ili kupunguza ukali wa kimiminika hicho...
Kumbe ni kweli umekuwapo mvutano mkubwa kati ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na Makamu wake Tundu Lissu.
Lakini mvutano huo sio ugomvi kama mnavyo aminishwa na wapiga propaganda wa CCM...
Source Mtanzania.
Msajiri wa vyama vya siasa nchini Tanzania bwana John Tendwa inadaiwa anakalia ofisi hiyo kimakosa huku mkataba wake wa ajira ukiwa umeshakwisha kwa maana hiyo anaendesha ofisi...
Leo katika kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV, mzee John Tendwa ambaye ni msajili (mlezi) wa vyama vya siasa nchini amekosoa harakati mbalimbali za kisiasa zinazoendeshwa na CHADEMA nchini...
Katika sehemu nyingi za dunia jamii zimekuwa zinawajenga au kuwatengeza wanaume kuwa viongozi kimfumo kwa kipindi chote cha maisha ya binadamu.
Tukichukulia jamii zetu mtoto za sasa kwa mfano...
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.
LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani...
Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa...
Kila siku nasema kuwa akili ni nywele.
Ukiwa na akili timamu, utajua tatizo ulilonalo ni lipi na utaweka na kutekeleza mipango sahihi ya kulitatua hilo tatizo.
Wenzetu Kenya waligundua wana...
CCM ni akili kubwa sana halafu wengi wanauliza kwanini huwa tunatoa Fomu Moja katikati ya Mihula ya Rais wa JMT
Ni simple, huwezi kumpambanisha Amiri Jeshi mkuu na mwanachama mwingine yoyote...
Kumekua na mijadala miingi mitandaoni zikimtaka Mwenyekiti wa CHADEMA Ndugu Mbowe kuondoka madarakani kwa kisingizio cha kuwa amekaa mda mrefu na hata kusema hana jipya tena kukipeleka chama...
Asubuhi ya Leo nimewiwa kuwaachieni Neno hili Kutoka katika Injili kama alivyoandika Mathayo Mtakatifu mwenyewe akimnukuu Yesu Kristo alipowaketisha na kuwaambia " Nitampiga Mchungaji na kondoo wa...
Ndugu Yericko Nyerere , naona mrija wako upo hatarini kukatwa .
Baada ya ujio wa Tundu Lissu ndo tujaua ukweli ikiwa kilimo cha Bamia kinalipa hadi mtu kujenga hekalu na maghorofa.
Kanda ya Pwani-Boniphace Jackob atasimamia shughuli ya kumshona Lissu bila ganzi.
Kanda ya Nyasa-Sugu, the bilionea, atamng'oa Lissu jino bila ganzi. Kwa kujipanga na wajumbe wake.
Kaskazini...
Baada ya Lissu kutangaza nia yake ya kugombea Uenyekiti wa wa Taifa wa Chama Cha Demokrasia na Maendelleo (CHADEMA), mitandaoni kulichafuka na kunaendelea kuchafuka kwa maoni ya watu fulani...
Amos Makalla amewataka CHADEMA wamalize migogoro ndani ya chama chao na wasiwahadae Watanzania kwa kuwasingizia TAMISEMI, na kuwalaumu Chama cha Mapinduzi (CCM) bali wajilaumu wao wenyewe...
Tutateka, kutekwa, na kutekana hadi lini
Na Nkwazi Mhango Fyatu Mfyatuzi
Japo kadhi hii inaonekana kuzoeleka kama siyo kukubalika, fyatu sikubaliani na jinai hii. Siku hizi, katika kaya yetu...
Naonakuna genge limejikita kusema Mbowe asigombee, huu ni upuuzi mkubwa sana kufanywa na wanachama wa chama kinajiita cha demokrasia.
Katiba yao inamruhusu agombee, kwa nini Mbowe asiachwe...
Ukiangalia kwa jicho la ndani utaona kuna mawazo kinzani juu ya hili swala la utekaji.
Serikali inasema hilo jambo halipo na watu wanajifanyisha tu maigizo ila utekaji haupo. Rejea kauli ya Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.