Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi...
20 Reactions
160 Replies
4K Views
Habari wanajamii. Tangu Lissu atangaze Nia ya kugombea uenyekiti kumetokea kelele za kila aina. Mara ni kirusi ndani ya CHADEMA, mara anafadhiliwa na Msigwa, mara anampango wa kuhamia CCM nk...
11 Reactions
70 Replies
2K Views
Je hii ni haki? Ni sahihi wafungwa kukodishwa wakalime MASHAMBA ya vigogo wa nchi hii?je MALIPo wanayokodishiwa kama ng'ombe wa KULIMia mnayapokeaje? Ni mapato au? Je yule mfungwa alie fia...
1 Reactions
4 Replies
302 Views
Kuelekea kuanza kwa zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la mpiga kura Mkoani Iringa imeelezwa kuwa kuna vituo vipya vipatavyo 140 vimeongezwa. Taarifa iliyotolewa leo Desemba 15, 2024 na...
0 Reactions
0 Replies
141 Views
Kila siku wapinzani hasa wana CHADEMA huchukizwa pale viongozi wake wanapowekwa selo kwa makosa madogo madogo au kwa makosa ya kusingiziwa. Lakini si mara nyingi tukiona wapinzani wakilaani...
1 Reactions
12 Replies
348 Views
Nizahiri sasa Tindu Lisu amejipanga na wafuasi wake wanaomuunga mkono iwe jua iwe mvua ni lazima agombee na awe mwenyekiti wa CHADEMA Pia mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe naye...
2 Reactions
37 Replies
927 Views
MWENYEKITI WA CCM MKOA WA SIMIYU NDG. SHEMSA MOHAMED ASHIRIKI HARAMBEE KANISA LA KKKT NA KUCHANGIA MILIONI 33.2 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Ndugu Shemsa Mohamed...
0 Reactions
2 Replies
209 Views
Mwenyekiti wa wakati wote na wakudumu wa Chama kikuu Cha Upinzani nchini Tanzania Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe huenda akang'atuka kwenye nafasi hiyo ya ngazi ya...
21 Reactions
171 Replies
8K Views
Kwa wale waliobahatika kusoma gazeti la Mwanahalisi la leo kwenye kichwa cha habari nanukuu" Askofu huyu katumwa na nani?" mwaandishi kaandika kuwa kikwete alinukuliwa kwenye mikutano yake ya...
8 Reactions
254 Replies
31K Views
Kampeni za Vyama vingine kumtaka Mbowe aendelee na Uongozi zilianza kitambo sana Jaribu kufikiria Chadema hii yenye Watu kibao eti ni Mbowe na bintiye Nicole pekee ndio walifanikiwa kuvuka...
13 Reactions
43 Replies
1K Views
Tundu antipasi Lisu amekuwa mwiba na mkali kweli kweli kwenye siasa za Tanzania Ukali wake huo mpaka rais wa nchi mama Samia Suluhu Hassani akaamuru SIMBA mmoja machachari mbugani kuitwa jina la...
3 Reactions
9 Replies
448 Views
Chadema ni Chama Cha mtaani Kwa sababu kina Mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa na hakina Halmashauri hata Moja inayoongoza Sasa Mh Tundu Antipas Lisu aliyeongoza Taasisi kubwa kama TLS atashindwaje...
2 Reactions
8 Replies
291 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu wakati akitangaza nia ya kugombea Uenyekiti wa CHADEMA Taifa amesema CHADEMA haina budi kurudisha utaratibu wa ukomo wa Madaraka kwani utaondoa...
9 Reactions
113 Replies
4K Views
Mbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini? Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo...
6 Reactions
62 Replies
2K Views
Siasa za Tanzania na zile za South Africa zinaufanano kwa mbali hasa kwa vyama vya CHADEMA na EFF. Mosi ni itikadi zao zilizojikita mizizi kwenye harakati za kutetea wanyonge. Pili ni...
0 Reactions
1 Replies
170 Views
Tunaposema Tanzania inahitaji viongozi wenye maono,malengo na uzalendo wa kweli tunamaanisha. Ni juzi tu train ya umeme imeanza kazi huku Stigler gorge ikiwa imeanza kuchangia kiasi cha megawatt...
32 Reactions
194 Replies
6K Views
Makosa ya CDM 2015 yamekitafuna sana chama. Si mbowe wala Lissu ambao wanajua wanachokitaka. Walichitufanyia 2015 kutuletea EL maumivu waliyotusababshia, Mungu tu ndo anajua.
1 Reactions
7 Replies
183 Views
Harakati ndani ya Chadema zinachangamka siku hadi siku.. CCM wamepuuza siasa za majadiliano na maridhiano ndani ya CDM na nje ya CDM.. Sio ACT wala vyama vidogo kwamba vinapatiwa ahueni...
2 Reactions
35 Replies
1K Views
Kuna mpango wa Mwenyekiti wa Chadema Mh.Freeman Mbowe wa kulipwa mamilioni ya fedha ili Viongozi wa Chadema waache kumsema Mr. Monduli kuwa ni fisadi. Mhe. Zitto Kabwe anajitahidi kwa kila hali...
42 Reactions
996 Replies
108K Views
Wakuu, Wananchi tuna amani, muda wote ni mwendo wa kububujikwa machozi ya furaha kwa nzuri anayofanya kipenzi chetu Mama Dokta (zitamke mara 9 sikumbuki namba yote) Kipenzi cha Wote Jemedari...
1 Reactions
12 Replies
397 Views
Back
Top Bottom