Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Sijajua baada ya Kauli hii ya Freeman Mbowe yule Yeriko Mengele, Boni Yai na Ntobi wataficha wapi Sura zao Mbowe amesema Katika Kipindi chake Cha Uongozi kilichobaki atasimamia nidhamu Ili...
14 Reactions
43 Replies
2K Views
Naona Polisi lipo na kasi ya 5G kuwakamata watuhumiwa waliofanya makosa kwa viongozi wa CCM ila upande wa vyama vingine uchunguzi unachukua muda mrefu sana. Kwani kuna siri gani kwenye chunguzi...
0 Reactions
2 Replies
401 Views
Imagine mpaka leo hii ccm wameshindwa kabisa kujua chanzo cha mapato kilichogharamia press conference ya TAL pale mlimani city.. Sasa wamebaki kuzushazusha tuu.. Mara eti mchungwaji Peter Msiigwa...
34 Reactions
99 Replies
3K Views
https://youtu.be/w9u4GvkTRAQ?si=UFlkcecerJnd2dWH TUNDU LISSU TULISEMA UKATUDHARAU, WAKATUTEKA UKAFURAHI, LEO YAMEKUKUTA, PAMBANA NA WAKORA HAO
0 Reactions
4 Replies
264 Views
Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, amejibu juu ya Mhe. Freeman Mbowe kama atachukua fomu ya Uenyekiti wa Chama hicho, wakati alipokuwa akizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam, ambapo...
3 Reactions
4 Replies
776 Views
Wakuu, Najua mtakuja na motoo kuwashukia askari kuhusu utekaji na mazonge yao mengine, hayo tuyaweke pembeni, hayahusiki kwenye muktadha huu. Hata kama kati yao wapo washenzi (ashakum) naamini...
5 Reactions
67 Replies
2K Views
Kiukweli Moja ya jambo limenifurahisha ni hili la Rais kukubali Dira ya Taifa Kujadiliwa Bungeni na kuidhinishwa na Bunge Ili kuipa Nguvu ya kisheria na uhalali wa utekelezaji wake tofauti na Dira...
3 Reactions
122 Replies
2K Views
Ukimtizama tu usoni unamwona ni mtu ambaye hana akili au uelewa. Jamaa ameamua kuwa Chawa Pro Max. Huwezi ukawa mwana demokrasia ukazungumza haya na huku ulikuwa unapinga kusudio la waliokuwa...
5 Reactions
40 Replies
1K Views
Boniface Jacob Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Pwani; "CHADEMA ni Taasisi imara ambayo imejikamilisha, (mimi) CHADEMA ilivyokubwa mpaka naiogopa, nikiwa na jambo langu naenda kuongea kwa mke...
2 Reactions
2 Replies
351 Views
Binafsi nimekuwa mfuatiliaji wa makala za mwandishi nguli wa mtandao wetu wa jamii forum hususani Jukwaa la Siasa kwa muda mrefu sana. Huyu si mwengine ni Guru la uandishi na ufatiliaji wa mambo...
1 Reactions
1 Replies
220 Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amemwangukia Rais Samia na kumwomba aangalie Kwanini Utekaji ni kwa Wenyeji wa Mkoa wa Kilimanjaro tu?! Lema ametuma Maombi yake Ukurasani X
8 Reactions
48 Replies
2K Views
KUWENI BARAKA, SIO KITUNGUU KUWATOA MACHOZI WENGINE - DKT. BITEKO - Amwakilisha Rais Samia hafla ya kutabaruku kanisa SDA- Magomeni -Ataka watu kutengenezeana furaha badala ya kuumizana -...
0 Reactions
0 Replies
166 Views
Wanabodi Niko hapa ukumbi wa JNCC nikikuletea Live Mkutano wa Wahariri wa Habari, Wahariri wa TEF na Wamiliki wa Vyombo vya Habari, kuihakiki Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050...
1 Reactions
4 Replies
426 Views
Nitawastaafisha so called majaji na kuajiri judges kutoak nchi zilizobobea katika common law jurisprudence Why? 1. Wa hapa wameshakuwa machawa wa CCM, they will never give a righfull judgment...
2 Reactions
9 Replies
300 Views
Kama umemsikiliza vizuri Mbowe utaelewa kuwa hata yeye ameshachoka kuendelea kuongoza Chadema Mbowe anasema " huu ni wakati wa Chadema kushika Dola hivyo tuwe na nidhamu Ili tupate viongozi wa...
0 Reactions
1 Replies
234 Views
1. Nchi kuwa na ufalme haimaanishi kutokuwa na demokrasia. Kuna kitu kinaitwa constitutional monarchy/ufalme wa katiba ambao unadhibitiwa na katiba huu unaweza kuwa utawala wa kidemokrasia kabisa...
5 Reactions
39 Replies
2K Views
Suzan Lyimo amekuwa Mbunge wa Viti Maalum Kwa Kipindi kirefu sana na Sasa ameipa Chadema Jimbo la Kinondoni Nyumba yake yenye Thamani ya tsh million 100 Boniface Jacob Meya wa zamani Ubungo...
9 Reactions
37 Replies
1K Views
Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe kumtelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo. Sumaye amesema hayo...
8 Reactions
129 Replies
10K Views
Kama Fr Kitima ana hofu St Joseph Cathedral inaweza kuvunjwa kupisha Bandari basi Majengo mengi y Serikali kule Kivukoni Yako kwenye Hatari hiyo Ashukuriwe Shujaa Magufuli kwa uamuzi sahihi...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom