Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Giza Giza Giza Giza linafanya vizazi vipelekwe pabaya Vikao vinaendelea kinachojadiliwa ni tofauti na wanachowaambia watu! Kwa kifupi Time is best judge and it will tell! Kikao kinaendelea Kwa...
1 Reactions
42 Replies
2K Views
Kama unataka kuwa mwanasiasa maarufu Tanzania basi wewe onesha unapambana na CHADEMA. Kuna wakati Mzee Wasira aliomba kura ndani ya CCM kwa hoja kwamba yeye ndiye mwenye uwezo wa kupambana na...
19 Reactions
91 Replies
3K Views
Hawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mliopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi? Waganga njaa hawa, kwa kifupi hata Rutto atabaki...
8 Reactions
50 Replies
2K Views
Kamati Kuu ya Chadema imekutana kujadili mambo kadhaa Taarifa zaidi ya kinachojadiliwa itakujia baada ya Kikao hiki. Usiondoke JF
7 Reactions
68 Replies
3K Views
Kuna vyama vya kuvipa Madaraka Ila siyo CHADEMA 1. Hii ilifaa aandike katibu, kuna hoja pia kua mmesusia chama mmemwachia Mrema. 2. Siku zote mnatuadress kwa press conference kwann hili...
10 Reactions
31 Replies
837 Views
Sote ni mashahidi kwamba Tundu Lisu ni mbinafsi mno. Hapendi, haheshimu wala kuzingatia dhana ya uwajibikaji wa pamoja ndani ya taasisi yake mwenyewe. Ratiba za mkutano yake na hata contents za...
1 Reactions
6 Replies
239 Views
GT wa JF naomba mnisamehe kwa kuwaharibia mood zenu kwani kuna huu ufisadi wa mradi wa bilioni 150 ambao tunaambiwa kuwa JK ame sign huko USA Sasa mkitaka kujua kama huu ni ufisadi wa kutisha...
32 Reactions
421 Replies
84K Views
Kesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe. Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu...
4 Reactions
54 Replies
2K Views
Hii ni kauli isiyosahaulika toka Kwa Mwenyekiti wa 4 wa CCM na Rais wa awamu ya 4 wa Tanzania Dr Jakaya Mwisho Kikwete aliyoitoa mwaka 2010 kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka huo. Alitoa kauli hiyo...
2 Reactions
8 Replies
699 Views
Ndugu zangu Watanzania, Speaker Wa Bunge Mstaafu Mheshimiwa Job Ndugai Ameibukia Jiji La Tanga akiwa Ameongozana na Madiwani Mbalimbali kutoka halmashauri ya Wilaya ya Kongwa . Ambapo yeye...
2 Reactions
5 Replies
388 Views
Kila siku mnazungumza mnadanganywa, ni hivi mazungumzo katika mambo ya Kijamii upende usipende ni lazima, niwape mfano, leo Mashariki ya Kati, Israel wanapiga na Palestina na Hezbollah, Watu kwa...
7 Reactions
25 Replies
1K Views
Je, unakubaliana nayo hii tweet ?
32 Reactions
49 Replies
2K Views
Bagonza akiwa amemkumbatia Lissu Kwenye Uwanja wa Kayanga, Karagwe, 2020. Kuhusu sababu mojawapo ya uzushi angalia tofauti kati ya urefu wa kidole cha pili na kidole cha nne, ambapo duara A ni...
5 Reactions
137 Replies
14K Views
Kiukweli mahudhurio ya Wananchi bila kujali dini zao Kwenye Mkesha wa Funga Mwaka " Chako ni Chako" pale Kwa Mtume na Nabii Mwamposa yameonyesha Wazi yeye ndiye Moyo wa Taifa hili Kwa sasa...
6 Reactions
68 Replies
2K Views
Haya ndio Maajabu ya Tanzania! Anaye enziwa Bibi Titi hata vipeperushi vyake Hakuna! ukiacha Bango la kuvutia watu ili waje kwa wingi Hotuba zote zimejaa sifa kwa Mchengerwa, Chawa wote wa...
0 Reactions
13 Replies
472 Views
Kibu ameheshisha taifa , tumpongeze
2 Reactions
3 Replies
259 Views
Tundu Lissu alipewa nafasi ya kugombea Urais wa JMT! kuna nafasi kubwa kama hiyo ndani ya nchi? Then Unaponiambia kuwa Lissu hafai kuwa mwenyekiti wa chama ambacho hakina hata wanachama 3M...
1 Reactions
11 Replies
397 Views
Ukituatilia mambo mengi ya serikali yaavyoendeshwa utakubaliana na mimi hii nchi mambo mengi yanaendeshwa kimchongo Watu walioko serikalini hawana uwezo wa kufikiria miaka 3 mbele itakuaje...
11 Reactions
43 Replies
1K Views
Hii ndio Taarifa mpya ambayo Chama hicho kimesambaza Duniani Kote leo hii Je Na yeye anataka kutangaza nia ya Kugombea Uenyekiti? Usiondoke JF kwa Taarifa za Uhakika.
4 Reactions
12 Replies
736 Views
Habari ya shirika letu la ndege kuzuiwa kutumia anga la nchi za Ulaya ni habari kubwa sana. Kwa mshangao mkubwa sijaona wala kusikia chombo chochote cha habari cha ndani kuripoti habari hii. Kumbe...
3 Reactions
16 Replies
665 Views
Back
Top Bottom