Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Muungano wa Ulaya umeachia orodha iliyoimarishwa ya mashirika ya ndege yanayodhaniwa kuwa hatari, na kuyakataza kufanya kazi ndani ya anga la EU. Sasisho hili la hivi karibuni linajumuisha Air...
2 Reactions
54 Replies
2K Views
Inasemekana, barua inayelezea kinagaubaga sababu mahususi za msingi za kuahirishwa kwa uchaguzi huo wa ndani Chadema, tayari imewasilishwa na kupokelewa kwenye taasisi mahususi, inayohusika na...
2 Reactions
46 Replies
1K Views
Tanzania imeandaa Dira Mpya ya Maendeleo ya 2050 ambapo utekelezaji wake utaanza rasmi mwaka 2025/26 baada ya kujadiliwa na kupitishwa na Bunge kabla ya Rais kuidhinisha rasmi. Kwa Sasa Serikali...
1 Reactions
70 Replies
2K Views
Hellow!! Leo mtaani kulikuwa na shamrashamra za kutosha wakati Mwenyekiti wa mtaa Mteule katika mtaa ninaoishi alipoitisha kikao kuwashukuru wananchi Kwa kumchagua. Sasa umati uliojitokeza ndio...
4 Reactions
2 Replies
257 Views
Wakuu, Sijaelewa hii, Steve anapewa heshima hivyo (japokuwa sijaelewa hii "Protocol kutoka Ikulu" inamaanisha nini) inamaa gani? Kwamba Steve ni nani mpaka anaongoza ujumbe toka Ikulu? Wajuvi...
0 Reactions
22 Replies
1K Views
Nimewashangaa sana Chadema kusema kwamba Dira ya Taifa 2050 iangazie mazao machache ya biashara Ili yazalishwe Kwa Tija sanjali na kuangazia Mabadiliko ya kiteknolojia. Kwa mchango huu ni wazi...
0 Reactions
6 Replies
192 Views
Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa. CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha...
11 Reactions
49 Replies
1K Views
Ni kikao chenye Ajenda mbili tu. Hapa Viongozi wakuu wa Chama Wakisalimiana kabla ya kikao hicho kuanza Na hapa ni Hotuba ya Mwenyekiti mbele ya Wajumbe wa Kamati Kuu Usiondoke JF kwa...
14 Reactions
81 Replies
3K Views
Wakuu, Haya si maneno yangu ni maneno ya mwenyekiti wa chama cha DPP, Philipo John Fumbo. Fumbo anawaambieni mzae kwa sababu Tanzani ni tajiri. Maneno haya alishawahi kusema kiongozi mmoja...
0 Reactions
16 Replies
324 Views
Baaada ya uchaguzi wa serikali za mitaa , nimesikia viongozi toka taasisi za kidini hususa Wakikemea mchezo mchafu uliochezwa na CCM. Sijawahi kusikia kiongozi wa dini ya kiislam akikemea rafu...
0 Reactions
5 Replies
163 Views
Please Moderator msiunganishe huu uzi maana mtakuwa mmefeli big time. First of all naipongeza serikali Kwa kufikiria wazo la kuwasaidia wasanii kuhusu kutibiwa magonjwa ya moyo Hili wazo sio...
0 Reactions
2 Replies
200 Views
Wakuu, Hivi haya mambo ya usawa wa kijinsia yatawezekana kweli? ================ Katibu Mkuu wa chama cha Sauti ya Umma SAU, Majaliwa Kyara amesema ili kulinda maadili, kuimarisha malezi na...
1 Reactions
7 Replies
206 Views
Mara zote naunga mkono Serikali kukopa na Kwa kweli Iendelee kukopa Kwa sababu Nchi zote zilizoendelea zinakopa sana. Hoja ni aina gani ya mikopo? Mikopo ya dizaini hii sikubalini kabisa...
4 Reactions
42 Replies
1K Views
Rais Samia Suluhu amesema wasifu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi unatosheleza kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Ukurugenzi wa...
7 Reactions
146 Replies
8K Views
Inasemekana kuwa mbunge wa Simanjiro Mh. Christopher Ole Sendeka amepigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa Simanjiro. Amekimbizwa hospitali katika juhudi za kupambania maisha yake. Taarifa...
13 Reactions
236 Replies
22K Views
RAIS SAMIA AZIPANDISHA HADHI RUFIJI NA GEITA. Na Malick Maliki, Chamwino Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Rais wa Jamhuri ya...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
09 December 2024 Maadhimisho ya uhuru wa Tanzania makala maalum Makala ya Kimataifa by Carlos Mureithi wa: Gazeti tajwa kimataifa la The Guardian Tanzania opposition laments its ‘naivety’ over...
0 Reactions
20 Replies
885 Views
wana JF hongereni kwa kusimamia ndoto zenu! Dg zangu. Wachambuzi wa matajiri wa marekani, wamemtabiri bilionea ELON MUSK aka GAME CHANGER mmiliki wa Tesla,space X Star link na n.K, atakuwa...
1 Reactions
1 Replies
171 Views
Hizi dini ni ushamba na umbumbumbu wa hali ya juu na zinatufanya maskini wa kutupwa. Imagine unatafita pesa kwa jasho halafu unaenda kumtajirisha let say mwamposa au padre anaye shinda bar na...
5 Reactions
16 Replies
367 Views
Nafuatilia kinamna siasa za nchi hii. Ni siasa za kihuni sana. Siasa ambazo wanasiasa wanaamini hawawezi kuishi bila siasa. Hawawezi kuishi bila kuwa chama tawala. Hawawezi kujitegemea bila Dola...
6 Reactions
14 Replies
893 Views
Back
Top Bottom