Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Pamoja na umeme kuwa na ugagaziko (Fluctuations) lakini bado wingi wa umeme na ujazo wake kwa watanzania una utata. Swali kwa CCM. Mpaka sasa bwawa la Mwalimu Nyerere linazalisha asilimia ngapi...
2 Reactions
4 Replies
271 Views
Tuko Hapa Kiutumishi kukemea roho za mapepo wachafu wanaosababisha ajali zenye Utata Tutafanya maombi na kausambaratisha vilinge vyote vya Walozi Kisha tunaelekea Dodoma kwenye Mkutano wa...
1 Reactions
5 Replies
364 Views
Tar. 28 mei 1992 wazee kadhaa wa kichaga wakiongozwa na Edwin Mtei na Fillimon Ndesamburo walisajili chama Cha siasa kikipewa jina la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kiligombea nafasi...
5 Reactions
30 Replies
1K Views
Je mbowe kutogombea Mwaka 2020 ni kwasababu aliona Lissu anafaa? Au ni kwasababu ali Hofia nguvu ya Magufuli kwamba itakuwa kazi bure ngoja tuweke mgombea yeyote yule kukamilisha ratiba? Iweje...
7 Reactions
22 Replies
1K Views
Ni katika Kupiga jaramba kabla ya Mdahalo wenu hapo Star tv Mdahalo uko mubashara Citizen TV muda huu Ahsanteni Sana 😂
1 Reactions
0 Replies
129 Views
Imagine mtu kaanza kujaza fomu za makamu Mwenyekiti mwaka jana, leo kaibukia kwenye uenyekiti, ni nini kinamsibu Lissu? Tamaa?
0 Reactions
18 Replies
489 Views
Benson Kigaila mume wa Kunti Majala Mbunge toka muungano wa Covid 19 na Katibu Mkuu wa nne ajae wa Freeman Mbowe endapo Mbowe atashinda Uchaguzi kwa mara nyingine ya nne ili kuongoza tena...
11 Reactions
95 Replies
4K Views
Ndiyo yule aliesema jua mvua Tanzania TLS Itapigania katiba mpya? Ndiyo yule yule aliesema atainyoesha serakali nini TLS Tanzania hii? Au huyu anaepiga madogo vyama vya upinzani kupitia account...
0 Reactions
1 Replies
157 Views
Kufutika ? jibu ni hapana ....CHADEMA haitafutika ila mpasuko wake kwa hizi tofauti za Mbowe na Lissu utakiporomosha sana na kwalo maana yake 2025 ELECTION Tanzania inaingia bila chama strong cha...
1 Reactions
1 Replies
134 Views
Watu waache ubaguzi. Kama enzi za Hayati Dr Magufuli mlifurahi aendelee kutawala endless kwanini ionekane ni kosa kwa Dr Samia kuendelea mpaka atakapoona amechoka mwenyewe? After all wote...
6 Reactions
40 Replies
871 Views
Habari wapendwa. Kama kawaida sisi mitaani kwetu tunaendelea kuchukua hatua madhubuti dhidi ya wenyeviti waliopachikwa. Sisi hatupigi mtu, isipokuwa yeye mwenyewe anaamua kuachia ngazi. Njia...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
Nilitarajia Chuo Kikuu cha SAUT ambacho kimetajwa sana katika mitandao kuhusu tukio la mmoja wa wanachuo, walau kiseme kaneno kamoja kuhusu jamii inayoishi hapo na maadili. Labda pengine kitendo...
12 Reactions
40 Replies
2K Views
Urusi yaonesha nia ya miradi ya pamoja na Tanzania katika nishati, kilimo, utalii - waziri wa Russia https://m.youtube.com/watch?v=7C4qDNifPQ0 DAR ES SALAAM. Oct 28 (Interfax) - Urusi na Tanzania...
5 Reactions
50 Replies
1K Views
Katika majibizano yao huko X zamani Twitter, Martin alimshauri Evarist Chahali arudi Tanzania kuendeleza harakati za kupambanna dhidi ya CCM na sio kubeza na kuwaita Chadema waoga. Evarist...
10 Reactions
87 Replies
5K Views
Habari Jf , ujasiri,upambanaji , uzalendo na uwepo wa mwanasiasa Tundu lissu unafanya wapenda mabadiliko kuanza kufikiria sana utendaji kazi wa Mbowe hasa ukichukulia ni Zaidi ya miaka yuko...
2 Reactions
21 Replies
817 Views
Huyu Tundu Antipas Lisu hotuba Moja tu imesimamisha Mijadala yote ya Siasa Watu wanajadili madini yake tu Hapa Lumumba wengi wanampongeza 😄😄
9 Reactions
46 Replies
2K Views
Watu wengi wanauliza swali la kijinga sana kwamba ni lini Mwenyekiti wa sasa alitangaza atagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chadema Ni swali la kijinga kwa sababu Katiba ya Chadema iko Wazi kwamba...
2 Reactions
7 Replies
277 Views
Tangu jana Lissu aanze kutrend naona kama kumetokea shida ya ghafla ya Mtandao. CCM wanamsaidia Mbowe au?
1 Reactions
0 Replies
92 Views
Chacha wangwe alikufa kifo Cha kutatanisha baada ya kuutaka uwenyekiti chadema Inawezekana maadui walipitia kwenye mgogoro wao wakamfyeka lakini Mbowe hakuona Kama ni kosa!! Zitto kabwe ni kweli...
0 Reactions
6 Replies
212 Views
Back
Top Bottom