Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Najiuliza tu, kwa nini Lissu hajawahi kwenda Tanga kuhani msiba wa Mzee Kibao, na katika hotuba zake,mbali na kugombania madaraka ya uenyekiti na urais, hata hajawahi kuwataja akina Soka?
2 Reactions
21 Replies
771 Views
Ndugu zangu Watanzania, Hivi Dunia Jamani kuna watu wana Hela,kuna watu wana pesa,kuna watu wana Fedha. Watu wana hela mpaka unajiuliza wao wanazipata wapi wakati kuna watanzania wanafanya kazi...
-2 Reactions
32 Replies
925 Views
Tundu Lissu pamoja na kupendekeza ukomo wa viongozi katika chama cha CHADEMA amependekeza suala la ukomo wa ubunge na udiwani, Viti maalum CHADEMA. Lissu anasema ubunge wa viti maalum ilikuwa...
0 Reactions
1 Replies
264 Views
Ni maoni yangu lakini simjui hanijui na hatujuani ila angefaa zaidi ya Prof.Janabi 👇👇 I had the honor of officiating the first-ever training on Biosafety Cabinet Certification at the Eastern...
2 Reactions
30 Replies
915 Views
Kufuatia Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama, mimi ningekuwa Mbowe wala nisingechukua hata Fomu ya kugombea, bali ningemuunga mkono kwa kutangaza hadharani tena kwa...
1 Reactions
18 Replies
599 Views
"Bila CCM imara nchi itayumba", Mwl Julius Nyerere. Hakika baba wa taifa aliona mbali. Ninakishauri chama pendwa CCM kama baba wa demokrasia nchini kukisaidia chama rafiki CHADEMA chini ya...
1 Reactions
11 Replies
354 Views
Wakuu mjumbe hauwawi,Msigwa anasema safari hii Mwamba kapatikana 😁😁😁👇👇 Mwamba wa ACT Wazalendo anawa zoom tuu 😂😂👇👇 https://x.com/zittokabwe/status/1867117457988636793?t=u2ZhhSonhiMhl-S92nDa8A&s=19
1 Reactions
12 Replies
348 Views
Kama isingekuwa Mungu. Mimi na wengine wengi tusingekuwa na uwezo wa kuishi Hebu angalia tu jinsi mambo yalivyo. Nini kinaendelea? Niambie inakuaje hapa Tanzania bado watu wengi wanapinga...
0 Reactions
0 Replies
114 Views
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X. Zitto Kabwe amesema bundi ametua kwa majirani na kuahidi kusuluhisha vita.
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Nimependa na kukubali sana hatua ya Lisu kugombea uwenyekiti. Anagombea akija na siasa za akina Dr. Slaaa. Anaibuka siku moja baada ya kuwa meza moja na mwenyekiti. Natamani kumwona nani...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Mchakato wa kuwapata waandishi wa daftari la kudumu kwa Mbeya mjini ni wa hovyo kuliko kawaida. Hii ni rushwa ya waziwazi inafanyika. Watu waliomba ajira na waliopita wapo. Kwanini msitoe majina...
1 Reactions
8 Replies
385 Views
Kiwira privatization scandal: THE Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) has returned the official file of TANPOWER Resources Limited, the controversial private company set...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Huu uchaguzi kufanyika vibaya na udanganyifu wa maridhiano umemaliza enzi za sasa za nchi yetu kutokujielewa. Kama nchi Tanzania ni nchi inayoendeshwa kwa udanganyifu na uongo uongo. Sasa baada...
4 Reactions
5 Replies
262 Views
Wanabodi, Nimekutana bandiko hili humu JF Mnyukano Chadema ,mbunge Aida amkataa Lisu Gazeti la jamhuri la leo limekuja na taarifa inayoelezea majibizano ya Tundu Lisu na mbunge wa Nkasi kupitia...
11 Reactions
105 Replies
5K Views
1. Lisu kwa upumbavu wako umipa CCM ushindi! 2. kulikuwa na haja gani ya kuitisha press? 3. kama ulisema mara 100, kuwa hutagombea Uenyekiti, leo umegeuka Jiwe, ni kuwa HUAMINIKI...
5 Reactions
48 Replies
2K Views
Muleba. Iko dhana kuwa ili Tanzania ipige hatua kimaendeleo inahitaji kiongozi anayethubutu kufanya uamuzi mgumu hasa kuwawajibisha viongozi wabadhirifu na wazembe, lakini Kamanda wa Polisi...
4 Reactions
260 Replies
27K Views
MALALAMIKO YEYOTE DHIDI YA KIONGOZI YEYOTE YAFANYIWE UCHUNGUZI KISHA YAWEKWE WAZI Nilisikika huko ndotoni nikiwa nakoroma kama simba nikaanza: Nakumbuka Aprili 2019, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia...
1 Reactions
0 Replies
123 Views
Kumekucha Twaha Mwaipaya na Yeriko Nyerere wamempongeza Tundu Antipas Lisu kwa kutangaza kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa Boni Yai ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani na Mlinzi wa...
6 Reactions
41 Replies
2K Views
Wakuu, Mnakumbuka yule Mwenyekiti wa CHADEMA mkoani Dodoma ambaye siku ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa alikimbia na daftari la wapiga kura akidai kuwa kuna hujuma zimefanyika? Inaonekana sasa...
0 Reactions
4 Replies
270 Views
Swali: Kwa mfano, amesema elimu itakuwa ni ya bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu. Lakini pia amesema anauchukia sana umasikini na amechukua makundi ambayo yamebeba idadi kubwa ya Watanzania...
0 Reactions
258 Replies
47K Views
Back
Top Bottom