Ndugu zangu Watanzania,
Ifike mahali kama Taifa tusikubali kila kifo kipite hivi hivi au kuacha mambo yaende hivihivi kana kwamba hakuna kilichotokea vile au kusema ni Mapenzi ya Mungu au kuona...
Mwenyekiti Mteule wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo, Severin Mushi ameahidi kuhakikisha anatatua changamoto za wafanyabiashara hao akishirikiana nao pamoja na serikali jambo litakalosaidia...
Na Nulphin Charles Heche, Mtwara
Katika hali ya kushangaza Freeman Mbowe ameonyesha nia ya kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA licha ya kuongoza kwa zaidi ya Miaka 20. Wanachama wengi...
Askari Forodha hufanya KAZI saa 24 na Usiku ndio muda Mzuri wa kukamata magendo
Nimekutana nao sana miaka ile ya 1990s mwanzoni palipokuwa na uhaba wa Sukari na BIA
Sukari iliingizwa kwa Magendo...
1. Mwantakaje Haji Juma - MBUNGE WA BUBUBU
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 7563
Historia ya elimu
- Pwani Mchangani Secondary School: CSEE: 1986 - 1988: Secondary School
- Pwani...
1. Haji Makame Mlenge - MBUNGE WA CHWAKA
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 7563
Historia ya elimu
Ukongoroni Primary School: CPEE, 1977 - 1985
Mikunguni Technical Secondary School...
1. Ramadhan Suleiman Ramadhan - Mbunge wa Chakechake
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 4136
Historia ya Elimu
Madungu Primary School and Michakaini Secondary School: CPEE, 1992 -...
1. Mbarouk Juma Khatib - MBUNGE WA BUMBWINI
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 11240
Historia ya Elimu
Makoba Primary School: CPEE, 1975 - 1982
Uzoefu wa Kisiasa
Chama Cha Mapinduzi...
1. Salim Mussa Omar - MBUNGE WA GANDO
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 3390
Historia ya Elimu
Diploma University of Dar-es-Salaam Computing Center 2011 - 2013
Certificate...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Makamishna wa Jeshi la Polisi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt...
Hili ndio gazeti ambalo bila shaka lilipewa fungu kujaribu kuonyesha kwamba Chadema kuna Mgogoro
Sasa tunaliomba basi kwamba hata haya ambayo yamesemwa na Chadema leo yachapishwe Kesho kwenye...
1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
Ndugu zangu TANROAD niwaombe sana mtuonee huruma na vigari vyetu na usalam pia. Kilichofanyika barabara ya Morogoro kwenda Dodoma mbele ya hotel ya Flomi karibu na kituo cha kupozea umeme hapo...
Uhamiaji na Changamoto za Kijamii Wilaya ya Chunya
Katika kipindi hiki, tumeweza kushuhudia mabadiliko makubwa katika hali ya uhamiaji nchini Tanzania, hasa katika maeneo ya vijijini kama...
Mwenye wasifu pls atuwekee hapa.
Huyu Mzee ana jambo gani ambalo limemfanya adumu katika vipindi vyote vya uongozi wa nchi hii? Amekuwa zaidi ya Wassira!
Hebu mnaomfahamu mtujuze kuna nini kwa...
Tetesi za Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, kugombea uenyekiti wa chama hicho zikiendelea kusambaa, maoni mseto yameibuka miongoni mwa wanachama.
Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la...
Kijana Benedikiti Ngonyani amekamatwa na polisi kwa kusambaza ujumbe katika mitandao ya kijamii kuwa mkuu wa majeshi amelishwa chakula chenye sumu.
==============================
SERIKALI...
MAELEZO KUKAMATWA KWA MARTIN MARANJA MASESE (MMM)
Alikamatwa akiwa eneo la mahakama ya mwanzo Tarime Mjini mnamo saa 6:00 mchana.
Alijitokeza mtu mmoja na kumuita MMM na kumwambia kuwa...
WAZIRI WA UJENZI MHE. ABDALLAH ULEGA AANZA KAZI, ASISITIZA USHIRIKIANO
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Abdallah Ulega, amepokelewa wizarani na kulakiwa na watumishi wa Wizara, wakiongozwa na Katibu...
Mkuu wa Wilaya ya Moshi, James Kaji, amesema hatawavumilia watumishi wazembe na kuagiza majina ya waliokwepa kushiriki maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika yawasilishwe kwake mara moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.