Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hawa makada wameishia wapi na watakuwa wapi na upande gani kwenye uchakachuaji ujao mwakani?
1 Reactions
9 Replies
422 Views
Wanabodi! leo tunapo sherehekea maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru, ni maadhimisho ya Tanzania, japo iliyopata uhuru ile Desemba 9, ni Tanganyika na sio Tanzania, maadhimisho ya leo ni maadhimisho...
12 Reactions
135 Replies
9K Views
Wanabodi, Naomba kuuliza, Of late, there has been a lot of hiring and firing kwe ile ofisi yetu nyeti!. Could there be a problem with our vetting systems? . This hirings and firings za DGIS wa...
20 Reactions
87 Replies
16K Views
Naona kama hakuna makala sheheni ambazo zitaelezea hali ya nchi tangu uhuru zilizoandaliwa na kila Wizara/Idara ili kutanua wigo wa ufahamu wa jamii ya sasa. Hata kama zipo, basi kuna taasisi...
1 Reactions
11 Replies
323 Views
Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya...
43 Reactions
445 Replies
21K Views
Ikiwa Leo tunatimiza miaka 63 tokea tupate uhuru wa Kisiasa mnamo tarehe 9. 12. 1961, na Bado Taifa Lina changamoto kubwa juu ya uhuru huo ikiwa imesalia miaka 37 tu kufikia karne Moja. Kwa maono...
0 Reactions
3 Replies
189 Views
Tanzaniza ni muungano wa nchi mbili,kuna Zanzibar na Tanganyika na wote tulipata uhuru nyakati tofauti.Inanichanganya nikisikia watu wanasema miaka 49 ya uhuru wa Tanzania. Msaada wenu...
6 Reactions
436 Replies
39K Views
Siku chache baada ya kufanyika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji hapa nchini, viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) tawi la Mtambani kata ya Mapinga Wilaya ya Bagamoyo mkoani...
0 Reactions
7 Replies
563 Views
Bendera yetu halisi. Ndugu zangu. Maamuzi ya Rais Samia kufuta sherehe za uhuru wa Tanzania ni sahihi kwa wakati huu tunapoelekea kupata katiba mpya na bora. Tanzania haikupata uhuru wake...
4 Reactions
7 Replies
535 Views
Kufuatia mauaji ya kutisha & kusikitisha ya Mzee Ally Mohamed Kibao kada wa CHADEMA Wazee wa kimila wa makabila ya Wamaasai & Wameru wameanza taratibu za kuvunja CHUNGU. Wale wote...
23 Reactions
104 Replies
5K Views
Nimeibusu Ardhi ya Tanganyika kuadhimisha kumbukumbu la Uhuru wetu RIP Shujaa Chifu Mkwawa RIP Mwalimu Nyerere RIP Shujaa Magufuli
1 Reactions
3 Replies
156 Views
huyu anaenda kupigizana kelele na akina Stive Mingele, akina Kingwendu, Bambo, wanamichezo kama akina Mkude na wengineo . Akina Shilole, ,sijui nani na nani. Msomi ambaye alipaswa arudi Chuo...
9 Reactions
64 Replies
3K Views
Wakuu, Inaonekana mambo yanazidi kutokota ndani vya CHADEMA kadri siku zinavyozidi kwenda. Hivi karibuni, Dk. Slaa ameonyesha kukerwa na ukimya wa CHADEMA kuhusu tuhuma za rushwa zilizotolewa...
2 Reactions
38 Replies
1K Views
Tanzania tujiandae na vuguvugu kubwa sana miaka 3 ijayo. CCM Mama Samia kaamua kuwafuata wenye siasa kali na wanao amini wizi wa kura na matumizi ya Polisi kwenye chaguzi. Upinzani wale wanaopenda...
2 Reactions
6 Replies
283 Views
Baada ya CP Suzan Kaganda kuteuliwa kuwa balozi Sasa naona nafasi yake Kama kamishna wa fedha na mipango inaenda kuchukuliwa na mjumbe wa kamati ya fedha ya shirikisho la Polisi wanawake...
1 Reactions
7 Replies
607 Views
Karamu za fahari, mabembe ya kupepea. Na majumba mazuri, wamekwisha jijengea. Watembea kawa magari, hivi zimewazow "Viongozo wa Afrika Wanaotumia mapesa, Wakaogelea anasa, Nayo mitindo ya...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
Imekuwa kawaida viongozi wa CCM kupotosha ukweli kuhusu hoja ya Uhuru. Kwenye hotuba zao nyingi wamekuwa wakiiambia Dunia kwamba Tanzania ilipata uhuru tarehe 09/12/1961. Na hata tunaposherekea...
17 Reactions
42 Replies
3K Views
Zile hofu za Visasi, Teka Teka na mateso mengine havikuwepo wakati wa Kardinali wa Kwanza Africa baba Rugambwa Tutegemee Tunda la Upendo, Uvumilivu, mshikamano na Utu wema Kutoka kwa Innocent...
6 Reactions
26 Replies
1K Views
JUL 25 AZAM TV KIPINDI MAALUM CHA MASHUJAA WA UHURU WA TANGANYIKA SEP 30 AZAM TV MASHUJAA WA UHURU: KISA CHA RASHID ALI MELI Click hapo chini kwenye mshare mwekundu kusikiliza: Mkutano wa...
8 Reactions
113 Replies
17K Views
Watanzania tuwe makini na hawa watu wanaojinadi kama chama kinachotetea maslahi ya watanzania. Chama hiki kimepoteza muelekeo na waliopo wanafanya kazi ya kulinda maslahi yao binafsi. Tumesikia...
6 Reactions
22 Replies
761 Views
Back
Top Bottom