Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe, ameomba mwongozo kuahirishwa kwa Bunge ili kutoa nafasi ya Wabunge wote kujadili matukio ya utekaji watu yanayoendelea. Akiomba Mwongozo kwa Naibu Spika...
69 Reactions
730 Replies
77K Views
Ili aendelee kuwa Mwenyekiti wa Uvccm hakutakiwa kuzidi umri wa Miaka 30 kwa utaratibu wa wakati ule (Niko tayari kusahihishwa), labda Wabadili kipindi hiki. Baada ya kuona Umri unamtupa Mkono...
9 Reactions
31 Replies
2K Views
Kamanda Muliro nafahamu unasoma hapa jukwaani. Inawezekana mmejiundia ama kujijengea kasumba kwamba wanasiasa wanafurahia kazi yenu ya kutumia nguvu bila mizania. Mmekuwa mkiwakandamiza na...
18 Reactions
37 Replies
2K Views
Mwl. Nyerere alishituka Ile 80% waliokataa vyama vingi nchini. Sio wananchi ni viongozi makada wa CCM ndio waliokataa mifumo ya kidemokrasia hadi leo? Je ni maelekezo au ni Falsafa ya 4R kutoka...
0 Reactions
0 Replies
150 Views
Kamanda Muliro amesema jeshi la polisi linamshikilia Dereva aliyepiga kelele za kutekwa na kusababisha Wananchi kuwashambulia Watumishi wa TRA Dereva huyo anashikiliwa kwa sababu za kiuchunguzi...
13 Reactions
206 Replies
11K Views
Uchaguzi umekaribia , ni vyema wagombea wa Upinzani wakawekwa wazi mapema watanzania tuwatathimini na kuwachambua. Tundu Lissu ndiye mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi, yupi unadhani pia anaushawishi?
1 Reactions
15 Replies
574 Views
Rwandan news agency criticizes Tanzanian government`s big brother role BBC Monitoring Africa May 29, 2013 Text of report entitled President Kikwete says Rwanda territory was part of Tanzania in...
2 Reactions
137 Replies
20K Views
Nitashanga na nitajiuliza mara kujiuliza kama kuna mwana ccm au mtu yeyote atamjibu Mzee Warioba. Pili sio kila Mzee ni wakumjibu Jaji Warioba ameona mengi na anonyesha amekuwa kiongozi alie...
7 Reactions
12 Replies
714 Views
Baada ya mkeka wa teuzi Kutoka mchungaji Msigwa amesema ana Imani kubwa sana na Rais Samia na kwamba hajutii kuhamia CCM kwani haina mbadala. “Nimechunguza, Nimetafiti, Nimetafakari...
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Ukiona Marathon Utasikia Samia Ukiona Bonanza Utasikia Samia Ukiona tuzo au tamasha la muziki Utasikia tamasha. Na aina zingine nyingi za matamasha Kwa mgongo wa jina la Rais. Maswali. Je, hii...
9 Reactions
57 Replies
1K Views
Hapa namzungumzia zaidi Professor Palamagamba Kabudi. Huyu nguli wa sheria amekuwa ni mtu wa kuteuliwa na kutenguliwa au kuhamishwa na kurudishwa alikotoka na kuhamishwa tena kwenda kwingineko...
7 Reactions
15 Replies
972 Views
HIi nchi tuna pesa ya kuchezea, kuna wakati vyeo vinatolewa siyo kwa sababu eneo hilo linahitaji mtu, bali kwa sababu kuna mtu fulani anatakiwa apewe uongozi, ndipo nafasi inatengenezwa. Fikiria...
5 Reactions
14 Replies
579 Views
Jambo wana Jamii Forums, Natarajia mu wote mko poa sana. Leo ningependa kujadili kidogo kuhusu historia ya siasa ya Tanzania. Siasa ya Tanzania imeshuhudia mabadiliko mengi tangu nchi ipate uhuru...
0 Reactions
2 Replies
200 Views
Habari zilizotufikia ni kwamba Mwanasheria Mkuu wa Tanzania, Jaji Mark Bomani amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Septemba 11, 2020, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Mtoto wake amethibitisha...
13 Reactions
207 Replies
26K Views
Kuna mtindo mpya wa polisi napengine idara zingine za usalama kuvizia, kukimbiza raia wenye tuhuma za makosa. hata high profile citiezen ambao wangeweza kupigiwa simu na wange report kituoni bila...
1 Reactions
0 Replies
197 Views
Jaji Warioba akiongea na waandishi wa habari leo Desemba 4 amesema haya Ukiona mjadala wote uliofanywa tangu 2019 mpaka sasa, na imani iliyokuwapo kwamba uchaguzi wa mwaka huu (2024) hautofanana...
11 Reactions
89 Replies
4K Views
Wakati kwao wewe linaweza kuwa jambo la kawaida kuona Shule zikiwa karibu yako, kwa wakazi wa kata ya Nyamagoma shule ya Sekondari ilikuwa inapatikana umbali wa zaidi ya Kilomita 40 ambazo watoto...
1 Reactions
5 Replies
191 Views
Baada ya kusoma maoni ya baadhi ya wenzetu humu ilipotangazwa ajali ya gari iliyowahusisha wabunge, nimepigwa butwaa na kuibua maswali. Mosi, kwanini wabunge wanachukiwa hivi? Pili, wafanye nini...
9 Reactions
125 Replies
4K Views
Viongozi na wanachama 6 wa CHADEMA Ngazi ya Kata ya Muganza akiwemo Tumain Petro, Mwenyekiti BAVICHA wa Sasa wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi wakati wa tafrija ya Kusherehekea kukamirika kwa...
2 Reactions
16 Replies
410 Views
Salaam, Shalom!! Nimekaa hapa natafakari, kipi Hasa ni Rahisi, 1. Umma wa Watanzania unadai viongozi waliopo IGP, Waziri wa mambo ya ndani ndugu Masauni wajiuzulu au wafukuzwe nafasi zao Kisha...
1 Reactions
44 Replies
1K Views
Back
Top Bottom