Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Watanganyika wenzangu someni andiko hili mtapata faida na maana kubwa acheni kuhadaiwa na viongozi wa kisiasa wanataka kuigeuza nchi yetu shamba la Bibi.🩸🩸🩸 Kwanza kabisa napenda niwashukuru...
2 Reactions
2 Replies
735 Views
Tanzania ni nchi ambayo mtu analeta mashite za kubeti anaitwa mwekezaji wakati kazi yake ni kwenda vijijini kuchukuwa pesa ! Kuna wachina wanamachine za ku bet wanaitwa wawekezaji...
1 Reactions
2 Replies
202 Views
DCI ni Mkurugenzi wa Upelelezi Jinai DPP ni Mkurugenzi wa Mashtaka Mlale unono 😀
1 Reactions
2 Replies
133 Views
Nimekiangalia hiki kikatuni, na kuunganisha alichokisema Jaji Warioba kwenye mkutano wake na wanahabari, kimenitafakarisha Sana. Wewe unaona kama kuna ukweli fulani kuhusu hil katuni? Tujadiliane.
12 Reactions
38 Replies
2K Views
Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile 1969-2024 Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) anasikitika kutangaza kifo cha Mbunge wa Kigamboni, Mheshimiwa Dkt. Faustine Ndugulile kilichotokea usiku wa...
56 Reactions
580 Replies
54K Views
Wananchi wa kata ya kiutu wilaya ya Arumeru, Mkoani Arusha wameandamana na kufanya kikao na Diwani wao wa kata hiyo Malaki Marambo Kwa lengo la kushinikiza kumkataa Mwenyekiti wao Hashim Saitabao...
0 Reactions
7 Replies
431 Views
Hivi sasa nchini kwetu imekuwa ni jambo la kawaida sana kusikia Polisi wamemkamata Mbunge fulani wa upinzani na kumweka ndani Polisi na baadaye kumpeleka mahakamani na kumfungulia mashitaka ya...
28 Reactions
115 Replies
8K Views
Uongozi wa ACT Wazalendo umekamilika kuanzia chini hadi juu kabisa Cha ajabu Zitto Kabwe ameendelea kuwa msemaji mkuu wa Chama Ngoja niipitie Katiba yao kwanza 🐼
1 Reactions
5 Replies
252 Views
Poliosi wazuia mikutano ya Chadema nchi nzima Saturday, 27 November 2010 06:41 IGP Said Mwema Waandishi Wetu HALI bado si shwari baina ya Jeshi la Polisi na Chadema baada ya chombo hicho cha...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Tafakuri Jadidi: Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba? Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya...
4 Reactions
52 Replies
3K Views
Kweli tumetoka mbali sana kisiasa jamani. Huyu mlinzi wa raia na mali zake aliwezaje kuwa na ujasili wa kumtamkia mgombea ubunge kuwa hata afanye nini kamwe hawezi kuupata huo ubunge? Kumbuka...
10 Reactions
73 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM umelaani vikali mauaji ya ndugu Michael Kalinga. Ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa UVCCM Tawi La Machinjioni Makongorosi...
7 Reactions
102 Replies
3K Views
Ni ushauri tu maana kwa mfano Dar es salaam au Dodoma walipigana Vita gani Kadhalika nasisitiza sherehe za Mapinduzi Zanzibar ziwe za kudumu kwa sababu ni kumbukumbu ya damu za mashujaa...
2 Reactions
3 Replies
139 Views
Na Mwandishi Wetu MAITI ya kada na wakala wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) aliyepotea wakati wa uchaguzi wa Igunga imeokotwa katika pori la Magereza ikiwa imeharibika vibaya. Kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Siasa bora ni zile zinazolenga maslahi ya wananchi na maendeleo ya taifa kwa ujumla. Zinahakikisha utawala bora, uwazi, na uwajibikaji. Baadhi ya sifa za siasa bora ni: Utawala Bora: Serikali...
1 Reactions
2 Replies
196 Views
Salaam Wakuu, Awali, ikidaiwa kwamba Mwalimu Mkuu (REGIUS MARTIN KAWIMBE Simu Namba *****75299) wa shule ya Msingi Izinga iliyopo kata ya Wampembe, Jimbo la Nkasi Kusini, Halmashauri ya Wilaya ya...
6 Reactions
59 Replies
4K Views
Kwa mujibu wa takwimu za Bodi ya takwimu ya Uganda,Tanzania imetajwa kuwa Nchi iliyoongoza Kwa Uwekezaji Nchini Uganda ambapo zaidi ya asilimia 80% ya wawekezaji wa Kigeni walitoka Tanzania...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Tanzania ni nchi ya maajabu sana vyuo vimejaa siasa. Mtanzania mzalendo kama Salim Bakhresa sijasikia vyuo vikitaka kumpa PHD ya heshima badala yake inawapa wanasiasa ambao hawana sifa. Salim...
2 Reactions
1 Replies
218 Views
NIPO SALAMA ndugu zangu Baada ya TUKIO la KUWATOROKA Waliojiita POLISI, Pale Landmark Hotel, Ubungo, Dar es salaam. "Kama Magaidi Wanakamatwa kwa namna ile, Nadhani kuna shida kubwa kwa Vyombo...
20 Reactions
56 Replies
5K Views
South Sudan, ripoti ikionyesha uchumi wao utakuwa kwa 27.2% kufikia 2025, japo katika 2024 inflation yao ni 120% Libya, wikitarajiwa uchumi kukua kwa 13.7%, inflation iko 2.4% Senegal, uchumi...
2 Reactions
16 Replies
471 Views
Back
Top Bottom