Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakuu, Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi...
8 Reactions
85 Replies
3K Views
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea...
0 Reactions
1 Replies
306 Views
Siasa siyo tu harakati za kutafuta madaraka au mamlaka; ni juhudi za kimkakati na kiakili. Kwa namna nyingine, tunaweza kusema ni mchezo halisi wa akili. Mafanikio katika siasa yanahitaji ujuzi...
3 Reactions
21 Replies
598 Views
Vijana wanajifariji eeeh maisha popote ilimradi mkono uende kinywani. Kijana bila aibu na kimeza chake cha matunda anasema Mimi nina degree. Are you mad? Kama ungetaka kuwa muuza matunda...
5 Reactions
35 Replies
900 Views
Wakuu, Ngoja tuone hayo matamko ya CHADEMA na CCM yatakuja na kitu gani! ==== Rais na Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Sera za Kimataifa-Afrika (CIP-AFRICA), Mheshimiwa Balozi Omar Mjenga...
0 Reactions
1 Replies
160 Views
Kwema Wakuu! Ingawaje Mimi ni mtibeli msabato lakini hiyo hainifanyi nisione mazuri ya madhehebu na dini zingine. Sisi wasabato tunajinadi na huenda kwa sehemu tunajulikana kwa kufuata maandiko...
5 Reactions
11 Replies
487 Views
Tumeshuhudia uchaguzi uliojaa uchafu wa kila aina, kuanzia kanuni za hovyo kabisa za kusimamia uchaguzi, uandikishaji wa wapiga kura bandia, uenguaji wa wagombea, mpaka utengenezaji wa kura...
1 Reactions
2 Replies
189 Views
Nikiwa kama mpenda demokrasia ya kweli na mtu niliyefadhaishwa na namna chaguzi zetu zinavyoendeshwa. Ningependa kuchangia yafuatayo kwa chama cha CHADEMA, chama hiki angalau kinabeba matumaini...
1 Reactions
3 Replies
210 Views
Habari wakuu. Katika kupitapita mtandaoni nikakutana na haya matokeo ya uchaguzi kwenye moja ya mitaa l, Wilaya ya Ubungo. Nimeangalia naona kama namba sizielewi. Labda nyie mnisaidie Hiyo
6 Reactions
14 Replies
2K Views
1. KUTOSIMAMA NA VITI MAALUM 2020 KIMKAKATI Baada ya uchaguzi kuisha na kushindwa kwa anguko kubwa Zaid yani hakuna mbunge hata mmoja kutoka CDM alieshinda. Wakasusia matokeo ya uchaguzi na kusema...
0 Reactions
0 Replies
89 Views
Kuishinda CCM ,sio jambo dogo sababu kwanza wameshikilia dola , wana wanachama watiifu wengi ,na pesa pia .lakini wakifanya yafuatayo kwa katiba hii wanaweza shinda :- 1.Wawa hamasishe na...
0 Reactions
5 Replies
299 Views
Wakuu, Niseme tu kwamba nashangazwa na wingi wa matakamko ya polisi siku mbili hizi, yaani ni bandika bandua! PIA SOMA - LGE2024 - Kigoma: Vijana wawekwa chini ya ulinzi kwa wizi wa kura...
1 Reactions
6 Replies
341 Views
Wakati CHADEMA Leo wanafanya Kikao cha kamati kuu nimeona niwakumbushe maneno ya Trump kwamba Waafrika ni mabingwa wa Kujidanganya wenyewe kisha wanaua Uwezo Wao wa Kuwa na Fikra mpya Trump...
2 Reactions
0 Replies
176 Views
Mimi ni raia huru, naipenda nchi yangu, kuna mambo yanasemwa mitaani na wananchi kuhusu chaguzi zetu za sasa. Pia nimefanya uchunguzi kidogo maeneo mbalimbali ( hasa mkoa wa MWanza) kwa siku za...
2 Reactions
3 Replies
268 Views
Nauliza tu kama ile nguvu ya Sugu tuliyoaminishwa anayo kisiasa ndio hii? Je, atatoboa 2025 Ubunge mbele ya Dkt. Tulia PhD? Mlale unono
2 Reactions
10 Replies
642 Views
Mwenyekiti wa Makampuni ya Barrick amesema amefurahishwa na maamuzi ya Mahakamani ya kutupilia mbali Shauri lilopelekwa na Wanaharakati wa Tanzania ambao Walioshitaki kampuni hiyo Kwa kile...
3 Reactions
29 Replies
1K Views
Wenyeviti wa mitaa, vijiji, vitongoji na wajumbe wa halmashauri ya kijiji kundi maalumu wanawake na mchanganyiko wameapishwa katika kata tofauti tofauti za wilaya ya Makete mkoani Njombe Uapisho...
0 Reactions
0 Replies
174 Views
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Watanzania wote kuungana na kushirikiana mara baada ya uchaguzi wa serikali kufanyika kwa amani. Akizungumza kwa niaba ya Baraza hilo, Katibu...
2 Reactions
32 Replies
931 Views
Kwa namna uchaguzi ulivyofanyika ni wazi kwamba CCM wametambua wananchi wengi siyo wakiamini kwenye sanduku la kura. Alianza JPM alipoona wananchi wanacheka naye lakini inapokuja upinzani...
1 Reactions
1 Replies
169 Views
Back
Top Bottom