Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nape hakumung'unya maneno, alisema wazi kuwa si rahisi mtu kushinda kwa kura wakati ipo namna kumtagaza aliyeshindwa kupitia watangaza matokeo. It seems falsafa hiyo ya Nape ndiyo Chama...
1 Reactions
4 Replies
206 Views
Makalla: Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mheshimiwa Dkt Faustine Ndugulile, Mbunge wa Jimbo la Kigamboni na Mkuu wa WHO AFRICA.
1 Reactions
5 Replies
445 Views
Afisa uchaguzi jimbo la Iringa mjini, Bernard Mwaituka, akitolea ufafanuzi kwa njia ya simu kupitia kipindi cha Kiyoyozi cha Nuru FM juu ya madai yaliyotolewa na CHADEMA kuhusu hujuma...
0 Reactions
1 Replies
188 Views
Jana tumepata wasaa wa kushuhudia Uchaguzi wa Serikali za mitaa tuliosubiria kwa muda mrefu. Licha ya kuwa umefikia idadi ya chaguzi Tisa (9) Toka uanze kufanyika hapa nchini lakini bado kuna...
0 Reactions
0 Replies
100 Views
Lema alidai CHADEMA watashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa na kuahidi kupambana. Pamoja na sisi wanachama kudai ya kwamba CHADEMA isishiriki huo uchaguzi lakini bado Viongozi hao akiwemo Lema...
4 Reactions
13 Replies
591 Views
Kuiondoa CCM ni sawa na kupoteza muda kwasababu chama kingine kitakachochukua nafasi ya kuongoza kiuchumi kitakuwa kina tumia mfumo huu wa sasa. Sina elimu ya juu kama great thinkers wengi humu...
10 Reactions
66 Replies
1K Views
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeshinda katika mitaa yote minne ya Kata ya Osunyai Jr, ambapo matokeo ya mitaa hiyo ni kama ifuatavyo: 1. Osunyai 2. Mtaa wa Jr 3. Kirika B 4. Ngusero
3 Reactions
3 Replies
392 Views
Rais Samia anashiriki Sherehe za Kamisheni na Maafisa Wanafunzi Kundk la 05/21 BMS na Kundi la 71/23 - Regular https://www.youtube.com/live/uuq-aF1HXbY?si=OQc1YOXG3AfhD2Ou
0 Reactions
1 Replies
210 Views
Kwa jicho la kichawa unaweza kufurahia yanayoendelea, lakini kiukweli upendo, umoja na mshikamano wa watanzania vinadhoofu kila siku. Historia itakuja kutuhukumu kwa kutochukua hatua stahiki...
3 Reactions
23 Replies
671 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti. Lucas Hebel Mwashambwa, Mama...
2 Reactions
24 Replies
732 Views
Mchawi wa Vyama vya Upinzani siyo CCM bali ni Viongozi wao wa juu Msipoliona hilo Mtakuwa mnawalaumu polisi bila Sababu kila Siku Ni hilo tu 🐼
3 Reactions
3 Replies
140 Views
Hi ni muhimu kuweza kuwafikia watu wengi hasa vijijini. Nasema hivyo kwa sababu Kata yangu hapakuwepo na mgombea wa CHADEMA na it seems watu hawana mwamko na CHADEMA kwasababu hakuna...
3 Reactions
17 Replies
387 Views
I humbly ask and think is it a third wave of COVID-19? Or is it just another wave of compulsory intoxication of key leaders and popular personnel to justify something bigger? I have to go in a...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Mkoa wa Singida upo kanda ya kati, ukipakana na mikoa ya Manyara upande wa kaskazini, Dodoma mashariki, Iringa na Mbeya kusini, Tabora upande wa magharibi na Shinyanga. Mkoa wa Singida una ukubwa...
1 Reactions
6 Replies
643 Views
Wakuu Hapa mori ilipanda Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai, alikumbana na hali ngumu jana katika kijiji cha Nasipaoriong, eneo la Endulen, karibu na kituo cha Ormekeke. Wananchi...
1 Reactions
0 Replies
338 Views
Chama cha ACT Wazalendo kimesema Wakala wao katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, TINGA TOGORO KERANGA kutoka Kata ya Hunyari, Kijiji cha Mariwanda, Kituo cha Kilimani alifanyiwa fujo kwa...
0 Reactions
0 Replies
217 Views
Salaam Wakuu, Nimesikitishwa sana na Kitendo kilichofanywa na Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kinachogombea, kuingilia Mchakato wa Uchaguzi Serikali za Mitaa. Huwa amekuwa...
5 Reactions
31 Replies
1K Views
Wanabodi Ni juzi Ijumaa niliuliza humu Kigugumizi cha nini kwenye Uraia Pacha? Shuhudia unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani. Miradi, mijengo ya maana ingeota kama uyoga, leo nakutana na...
14 Reactions
79 Replies
3K Views
Taarifa kamili hii hapa Vijana waliovalia Sare zenye nembo ya Chama cha Mapinduzi kama wanavyoonekana kwenye Picha wamevamia Nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Nkasi kaskazini Mkoani Rukwa Mhe...
30 Reactions
252 Replies
8K Views
Wakuu, Ili kuzifikia nyuzi hizi kirahisi, hapa utapata orodha yote ya mikoa inayoshiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, ambamo ndani yake utapata links za matukio yote yanayojiri katika...
2 Reactions
13 Replies
11K Views
Back
Top Bottom