Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kwa mujibu wa Renatus Mutabuzi mawasiliano nje kidogo ya mji hakuna. Hii inashangaza hata vodacom haioni kuwa charity starts at home?Kweli wana igunga hata picha hamuoni? Yaani mngechagua hata...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Latest UPDATES: Waliochukua fomu hadi sasa Chadema 12 CCM 13 CUF 1 kama ifuatavyo; CHADEMA (Mwisho wa kuchukua fomu kesho trh 16/8) 1. Kajua Sebastiani 2. Marco Amos 3. Kahema John, 4. Buzinza...
0 Reactions
171 Replies
18K Views
nimekua nikifuatilia uchaguzi wa Igunga kwenye televisheni mbalimbali toka asubuhi lakini cha kushangaza ile tunayoifahamu kama televisheni ya Taifa ndo kwaanza haitoi hata updates ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
star tv waanza kurusha matokeo na wameahd kukesha. Nawakilisha
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Naomba sana sana kwa Mwenyezi Mungu CHADEMA ishinde, maana hayo ndiyo matokeo yatakayoifanya serikali ya CCM ianze kuwekeza katika kuwahudumia wananchi zaidi kuliko kujitajirisha kama wanavyofanya...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Cdm inaongoza mpaka sasa zaidi ya ccm kwa kura 293. Ktk vituo 24
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Uchaguzi wa Igunga utaamuliwa siku chache zijazo. Mshindi atashinda siyo kwa uzuri wa hoja tu bali pia kwa mbinu na mikakati. Kama nilivyosema kwenye makala nyingine uchaguzi wa Igunga utaamuliwa...
12 Reactions
85 Replies
8K Views
Natuma salamu za pongezi kwa hatua na mafanikio yaliyofikiwa na Chama Cha CHADEMA katika uchaguzi wa Igunga. Hizi ni salamu za awali kwa yale matukio na mitihani mliyokwisha-ishinda kuelekea...
14 Reactions
211 Replies
22K Views
  • Closed
Upigaji kura unaendelea huko Igunga. Watu wengi wamejitokeza na kura zinaendelea katika hali ya amani na utulivu. Waliojitokeza kwa wingi ni wazee na kina mama. -------------------CLOSED: KUPATA...
12 Reactions
852 Replies
69K Views
Wakati vyama mbalimbali vikipigana vikumbo kufunga kampeni zao Igunga, chama cha updp kilichavuna na kukamilisha kwa mafanikio makubwa lengo lao kuu la kujitosa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Diwani wa CDM Ndg Nanyaro Ephata alitekwa yeye na mwenzake mmoja aitwaye Boniface na kupelekwa kusikojulikana. Wakiwa njiani kurudi hotelini ghafla walivamiwa na watu ambao walikuwa katika Toyota...
0 Reactions
100 Replies
9K Views
Kwa kawaida upigaji wa kura humalizika saa kumi jioni na kinachofuata huwa ni kuhesabu kura,kuna uwezekano mkubwa kesho umeme ukakatwa kwa hila za kujenga mazingira ya wizi wa kura,hatutaki fujo...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Shy-Rose Bhanji baada ya kushindwa kutekeleza sera sasa tunatumia mpaka watoto kwenye propanganda..hii ni aibuuuuuu....igunga tunapelekeshwa siyo siri banaaa... — nimejaribu kuweka picha za...
0 Reactions
61 Replies
8K Views
Wana JF nashindwa kusahau janga la znz heti kwasababu ya uchaguzu Igunga, na kwakua nimeshindwa kusahau hili, imenifanya nijiulize mambo kadhaa moja, hivi ktk majanga ya namna ya znz vyama wajibu...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Mgombea ubunge jimbo la igunga kupitia CUF amepata ajali. Kwa mjibu wa matangazo ya tbc taifa, bw mahona kapata ajali wakati anaelekea kupiga kura mara baada ya gari lao kugongwa na pikipiki. Kwa...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
wakuu nimemaliza kuangalia taarifa ya habari ya saa nne asubuhi katika kituo hiki cha televisheni,nilitegemea habari ya kwanza ihusu uchaguzi wa igunga,lakini hakuna habari yoyote iliyorushwa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
wana JF haya ni maoni yangu na ninafikiri ndio utakaokuwa ukweli wenyewe; kutokana na nguvu kubwa waliotumia chama tawala ccm katika uchaguzi mdogo wa Igunga, kwa maoni yangu mimi chama cha...
0 Reactions
88 Replies
9K Views
KAMPENI za uchaguzi mdogo katika jimbo la Igunga, zimezidi kupamba moto baada ya Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), kujiapiza mbele ya wananchi kuwa atakunywa sumu iwapo chama hicho...
0 Reactions
105 Replies
10K Views
kumekuwa na tuhuma kila tunapokuwa na uchanguzi hapa nchini hasa zinazo husu kuchakachuliwa kwa matokeo. Nilikuwa na waomba wanaJF hebu tujaribu kutoa mawazo yetu ya kujenga, kuwa nini kifanyike...
0 Reactions
106 Replies
10K Views
Leo katika mkutano wa kampeni za lala salama za CUF mgombea ubunge wa chama hicho Lepold Mahona alizipiga kavukavu kavu kavu dhidi ya polisi na baadhi ya wanavijiji na ailzuiwa kuendelea na askari...
3 Reactions
88 Replies
9K Views
Back
Top Bottom