Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Zile Kauli za kijinga za eti tusitumie Madini Hadi vizazi vingine ndio vije kutumia zitakuja kuwaliza watu sio mda. Toto Russia avamie Ukraine imepatika fursa ya bei ya Makaa ya Mawe kupanda na...
0 Reactions
15 Replies
906 Views
Heka heka za uchaguzi zinaendelea nchini Tanzania, Maajabu hayakosekani Mtandaoni IKIWEMO JF, CHADEMA wanaandikwa sana kuliko CCM, CHADEMAna Act ya zitto walau kule X ndo balaa kabisa. CCM kama...
1 Reactions
9 Replies
353 Views
Mimi nimtanganyika Zanzibari naiskia kwa vyombo vya habari TU ila ninauliza Huko Nako mpaka Kizimkazi Kuna uchaguzi wa Serikali ya MTAA kweli? MBONA kuko kimnyaaa hivi? Kupata taarifa zote za...
1 Reactions
3 Replies
333 Views
Wakuu, Hivi huyu anafanya nini uraiani na bado ni kiongozi wkati alituambia wazi kabisa yeye ni wale watu wasiyojulikana wanaopoteza watu? Polisi mnazidi kutuangusha, yaani kila siku mnajipaka...
1 Reactions
14 Replies
560 Views
Katika hatua muhimu ya kisiasa na kijamii, Umoja wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) umekuwa na uzinduzi rasmi wa Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu katika Mkoa wa Kilimanjaro...
1 Reactions
1 Replies
282 Views
"Kama mnavyosikia kote wagombea wameenguliwa hata hapa kwetu Ikungi hali ni hivyohivyo, lakini mwamba huu hapa Tundu Lissu umefanya kazi na kazi ya wananchi mwakani nikuchagua Diwani, Ubunge...
3 Reactions
16 Replies
956 Views
Wasalaam. Zaidi ya miaka 60 tangu Tanzania iwe chini ya mtawala CCM lakini kila uchaguzi mpaka leo ahadi za CCM ni kuleta maji, kujenga barabara na kujenga zahanati. Ni wakati sasa watanzania...
0 Reactions
8 Replies
372 Views
Wakuu, Vuguvugu la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa limeendelea kuwa kali. Hivi karibuni Dotto Biteko ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya (CCM) Taifa ametoa tahadhari kuwa hata...
0 Reactions
2 Replies
240 Views
Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu imesema inatarajia kubadilisha Sheria iliyokuwa inaagiza mkopeshwaji kukatwa asilimia nane (8) ya Mshahara ili mkopeshwaji aanze kukatwa asilimia 15 ya Mshahara ili...
0 Reactions
376 Replies
45K Views
Wanabodi, kilichotokea leo kwenye kuapa kwa yule muhitimu wa Mzumbe na IFM ni ushahidi tosha kuwa hakuna elimu Mzumbe na IFM Ukweli ni mchungu sana. Kuna vyuo vilipandishwa hadhi ya kutoa shahada...
34 Reactions
273 Replies
38K Views
Pamoja na yote Mzungu ni mtu aliyenyooka sana! Mzungu kawekeza sana kwenye suala la utawala bora ambapo kupitia utawala bora amejenga Taasisi na mifumo imara sana zinazosimamia mambo na...
43 Reactions
143 Replies
4K Views
Hivi unakuja kunipigia kelele za kumchagua mwenyekiti wa mtaa kwa sifa za Royal Tour? Au kukaribishwa kuhudhuria mkutano wa G20? Na awali nilidhani ni huyu tuu aliyekuja kuzindua kampeni huku...
0 Reactions
0 Replies
227 Views
Wakuu, Huu ndio muda wa kujipendekeza kwa kila mtu mradi wapate kura, safari hii mkienda na kwa waganga mtupigie pia na picha. Msiwafiche fiche wakati tunajua na huko mnafika, kweli uongozi mtamu...
1 Reactions
7 Replies
373 Views
Wakuu, Akiwa kwenye kampeni siku ya leo Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema CHADEMA haitosusia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu kama ilivyosusa mwaka 2019 na kusema pamoja...
0 Reactions
1 Replies
303 Views
Ukitazama hii picha kiongozi huyu ameonyesha hisia na hamasa kubwa katika kuhakikisha anatimiza majukumu yake bila kujali hali aliyokuwa nayo. Nyie! kuna watu wanavipenda vyama vyao katika kila...
0 Reactions
3 Replies
495 Views
Wakuu, Hivi vichwa vya habari lazima director na mhariri mkuu atakuwa Lucas Mwashambwa tu, afu wana undugu na Tlaatlaah :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKWlaugh: Mnatumia nguvu kubwa...
3 Reactions
10 Replies
446 Views
Wakuu, Safari hii kweli mambo magumu kwa CCM, mbinu za kijasusi zote zinatumika kuomba kura, bado kugeuza macho tu kama akina Zuchu :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: Kupata nyuzi za kimkoa...
0 Reactions
0 Replies
196 Views
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Pamoja na Mikutano kadhaa aliyohutubia leo, Mwenyekiti wa Chadema amefika Mbalizi na kuwaomba wananchi wachague Wagombea wa Chadema ili kuepuka laana ya Mungu...
2 Reactions
16 Replies
499 Views
Wagombea wa CHADEMA na TLP Mtaa wa Tandale Kwa Tumbo wamekubaliana kuunganisha Nguvu ambapo Mwenyekiti kutoka TLP apewe Kura na Wajumbe Wote kutoka Chadema wapewe kura kisha wataunda serikali ya...
3 Reactions
17 Replies
473 Views
Ni mfume dume au wanawake hawaaminiki nyani ya vyama vya siasa? au muundo wake ni kwamba mwanamke marufuku kamati kuu Taifa? Mungu Inusuru CHADEMA na mpasuko 🐒 Mungu Ibarki Tanzania
2 Reactions
9 Replies
343 Views
Back
Top Bottom