Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kitambo sasa sijawasikia Hawa nguli wa Fedha na Uchumi Alhaj Assad na Alhaj Lipumba Wako wapi? Dominica njema 😃🌹
0 Reactions
0 Replies
111 Views
Kwa wale ambao ni wanachama, mashabiki na wapenzi wa CCM ambao sio viongozi katika chama au serikali mnananufaikaje kwa sasa na uwepo wa CCM na mnafikiri mtapoteza nini siku ambayo CCM haitakuwepo...
1 Reactions
1 Replies
130 Views
Katika Mikutano ya kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Chadema wanadai Rais anawahonga Maaskofu Chadema wanasema kuna Askofu kahongwa tsh 150 million na baada ya muda akaanza kumsifia Rais...
1 Reactions
23 Replies
816 Views
Kuna neno Tanzania na Kuna neno Zanzibar, haya maneno mawili hayana shida, yako vizuri tu na yanaeleweka ila unapojaribu kuyaweka kwenye sahani moja ndipo utaona utata wake. Utata usiomithirika...
0 Reactions
4 Replies
297 Views
Toka mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulipoanza, tumeshuhudia mambo mengi ya hovyo yakifanywa na TAMISEMI, chini ya Waziri Mchengerwa, kuanzia kutunga kanuni mbaya za kusimamia uchaguzi...
4 Reactions
9 Replies
334 Views
Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa Wanajamavi, watu wenye...
11 Reactions
116 Replies
28K Views
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Ndg. Shemsa Mohamed, ameendelea na kampeni yake ya kutafuta kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, akizungumza na wananchi na vijana wa UVCCM...
0 Reactions
1 Replies
256 Views
Mgombea wa CCM kwenye Uchaguzi wa serikali za Mitaa ndugu Mfaume Zuberi amesema Katika Uongozi wake atasisitiza Wananchi kuzishika Amri 10 za Mungu tena Wapigie mistari Amri ya 4 hadi 8 Zuberi...
0 Reactions
3 Replies
172 Views
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA taifa John Pambalu akiwa mkoani mwanza wakati wa kufanya kampeni kuwanadi wagombea wa chama chake kuelekea uchaguzi serikali za mitaa amesema vijana wamesoma...
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,hii leo ameweza kusafiri kwa usafiri wa treni ya kisasa kabisa...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Usisahau pia kwamba alilala Polisi baada ya Mamluki RPC wa Songwe kutumikishwa na CCM kwa lengo la kudhoofisha Kampeni za Chadema Sasa angalia Hapa Mbeya Mjini, Baada ya Mikutano mingine 8...
5 Reactions
13 Replies
797 Views
Kama kuna Mtanzania asiyeamini uwepo wa Mungu , na hasa kwa Wananchi ambao wameshuhudia mambo mengi sana ndani ya nchi hii kwenye Utawala wa Kikatili wa awamu ya Tano , Basi bila shaka Mtanzania...
11 Reactions
45 Replies
6K Views
Kila mtu anaweza kuwa na mema yake au mazuri yake lakini kwa kumbukumbu ya kifo mpaka anakuja kukata roho mwendazake alipitia mateso makubwa sana. Mimi kinachoniumiza zaidi ni unafiki, na...
13 Reactions
44 Replies
4K Views
Kesho Samia yuko kwa wataalamu wa serikali za mitaa, Mzumbe. Tena kaenda hapo kipindi cha uchaguzi wa mitaa. Kwa nini kijiji kiwe shida kama ni mchakato wa ugatuaji? Hakuna new thinking ili...
0 Reactions
0 Replies
203 Views
Kesho mh. Rais atakuwa katika mahafali ya Mzumbe University. Niliwahi kufika hapo, majengo yao yanakufanya uvute kumbukumbu za High School, au primary schools, hakuna ghorofa. Thinking aloud...
0 Reactions
4 Replies
374 Views
Tulishazoea miaka ya nyuma, nafasi zinatangazwa kwa ajili ya wanaotaka kusimamia Uchaguzi. Leo ni takribani wiki moja kabla ya uchaguzi, hakuna tangazo lolote la Tume Huru ya Uchaguzi kuhusu...
1 Reactions
15 Replies
529 Views
Jana ilifanyika dua ya kumuombea mfanyabiashara hayati Yusuph Manji katika viwanja vya Karimjee na mmoja wapo ya watu mashuhuri waliokuwepo ni Jakaya Kikwete, Rais mstaafu wa awamu ya nne. Katika...
14 Reactions
113 Replies
10K Views
Hiki chuo kama kinachukuliwa poa, sawa na Mzumbe "ilipoondolewa" Katika majukumu yake ya serikali za mitaa. Kwanza, nashauri chuo cha mipango kifanyiwe study, hakuna maendeleo bila mipango. Tume...
0 Reactions
3 Replies
266 Views
Wakuu, CCM na polisi, bila manyanyaso kwa wapinzani mnaweza kutoboa kweli? ===== Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread...
11 Reactions
40 Replies
2K Views
Wakuu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Tundu Lissu akizungumzia zoezi la uokoaji wahanga wa ghorofa lililoporomoka Kariakoo November 21, 2024 mkoani Mara amesema anashangaa kuona watu...
20 Reactions
89 Replies
3K Views
Back
Top Bottom