Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kiukweli nimefarijika kuona Mwenyekiti Mbowe anafanya Mikutano kwa kutumia Usafiri wa barabara na kuokoa Mamilioni waliyokuwa wanalipa Kenya Kwa watu wa Chopa Tena ni jambo jema Mikutano yake...
2 Reactions
10 Replies
358 Views
Ndato Rungwe imesimama, mapokezi ya mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe. Ni mwendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Serikali za Mitaa mkoa wa Mbeya Kuengua Wagombea, kumewakosesha fursa ya...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Tanzania hakuna vyama vya upinzania vyote ni ma agent wa CCM Sema ndani ya upinzani Kuna baadhi ya watu makini ambao ningekuwa na uwezo ningevifuta vyama vyote vya upinzani na kuanzisha chama...
9 Reactions
24 Replies
757 Views
Uongozi wa umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Songwe, umevitaka vyama vingine vya siasa kudumumisha amani katika kipindi chote cha kampeni pamoja na siku ya uchaguzi wa...
0 Reactions
1 Replies
143 Views
Baada ya kuona makamanda wameikimbia ngome yao muhimu kama Moshi na Arusha wakati wa ufunguzi wa kampeni basi hii ni ishara rasmi kuwa CCM imedhibiti vilivyo ngome hii. Ndio maana Mbowe kaanzia...
1 Reactions
13 Replies
524 Views
Chama cha ACT Wazalendo kimeendelea kuimarisha kampeni zake za uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kufanya mkutano wa hadhara uliofanyika katika Mtaa wa Mtakuja, Kata ya Vingunguti, Jimbo la...
0 Reactions
0 Replies
124 Views
Siasa ni Sayansi Hatimaye Mdude Nyagali kaingia kwenye 18 za Chama Dola Wakati Viongozi Wote wa Chadema wakiachiliwa yeye ameendelea Kushikiliwa Uingiapo Siasani uwe na Maarifa ya kutosha 😀
4 Reactions
57 Replies
2K Views
Ukimsikiliza RPC wa Songwe na kama Utamuelewa basi wewe utakuwa na akili nyingi kuliko hata Yesu Kristo au Mtume Muhammad, kiukweli haeleweki na anatumika tu kama ilivyo ada Bali Kinachofichwa na...
10 Reactions
44 Replies
2K Views
Unajua inasikitisha sana, sijui wanasiasa wa upinzani wanajali zaidi ruzuku au kushika dora? Haya manyanyaso hayatakuja kuisha sababu wanaowatuma polisi kuwanyanyasa wapinzani ni makada wa CCM...
1 Reactions
1 Replies
199 Views
Mkutano wa asubuhi leo Novemba 23, 2024 uliofanyika katika Kijiji cha Ipinda, Kata ya Kyela, Mbeya na kuhutubiwa na mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe Mbowe amesema chadema inasimamia...
1 Reactions
4 Replies
338 Views
Naona Mabeberu yameingia kazini tena. Kampuni ya Montero imeazimia kuishitaki serikali ya Tanzania ikikusudia kudai fidia kutokana na kupoteza mradi wake wa utafiti wa madini wa Wigu Hill...
5 Reactions
97 Replies
8K Views
Mkutano wa asubuhi leo Novemba 23, 2024 uliofanyika katika Kijiji cha Ipinda, Kata ya Kyela, Mbeya na kuhutubiwa na mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe Pia, soma: LGE2024 - Songwe: Viongozi...
2 Reactions
2 Replies
381 Views
Niaje waungwana Yani nchi hii imekosa kabisa viongozi wabunifu ambao wanaweza kukaa chini na kubuni kitu au jambo la maana, na lenye tija kwa faida ya taifa. Unakuta nchi ina Rais, Makamu...
9 Reactions
48 Replies
2K Views
Hivi karibuni Rais Samia Suluhu Hassan ametoa hotuba ya kihistoria kwa kuuliza maswali magumu katika mkutano wa G20, ambapo akiwa anasikilizwa na Rais wa Marekani, Joe Biden, Rais wa China, Xi...
6 Reactions
54 Replies
2K Views
Huyu Diwani, Kila wakati anagombea udiwani ,Sasa ni zaidi ya miaka 40 akiwa Diwani. Mwenye CV yake tafadhali,inawezekana ni msomi mkubwa.
0 Reactions
3 Replies
201 Views
1. Jeshi la Polisi Kulinda Mikutano ya Kampeni, Raia na Mali zao Kusimamia Ratiba ya Mikutano. 2. Vyama vya Siasa Kuzingatia Sheria Kanuni, Miongozo na Ratiba ya Uchaguzi. Kuepuka Rushwa...
0 Reactions
0 Replies
390 Views
Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Mh Augustino Senga amesema imetokea ajali mbaya mkoani kwake iliyopoteza maisha ya watu watano Ajali hiyo imehusisha Bajaj na Lori Kubwa aina ya Scania Source...
1 Reactions
8 Replies
440 Views
Wakuu, Vijana hawa waelewa na wenye akili ndio akina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah na ChoiceVariable? :BearLaugh: :BearLaugh: ==== Kupata taarifa za kimkoa kuhusu Uchaguzi wa Serikali za...
5 Reactions
18 Replies
565 Views
Wakuu, Upinzani wakifanya hivi kwenye maeneo ambayo wagombea wa chama kimoja wapo wameenguliwa watafanikiwa kuwazidi CCM? ==== Naibu Waziri Kivuli wa Viwanda na Biashara wa Chama cha...
0 Reactions
6 Replies
366 Views
Hivi sijui kukosa ushauri au nini yaani CCM wanavyowafanyia hivi CHADEMA ndiyo mnavyozidi kuipa nguvu Chadema na kuipa promo kuuzika kwa wananchi nyie CCM mnaona mnaikomoa lakini kiuhalisia ndivyo...
0 Reactions
0 Replies
128 Views
Back
Top Bottom