Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
MBUNGE AMINA MZEE & TAUHIDA GALLOS: DODOMA MJINI ICHAGUENI CCM, HAMTAJUTA KUICHAGUA CCM Wabunge wa Viti Maalum (CCM), Mhe. Amina Ali Mzee na Mhe. Tauhida Gallos Nyimbo (MNEC) wamewasihi Wananchi...
1 Reactions
12 Replies
286 Views
Msichoke, kila hatua ikemeeni kama haitendi haki. sasa kampeni , wapinzani wanaonewa sana, serikali , polisi for that matter, imeonesha ushenzi mkubwa. Wakemeeni na kumtanguliza mungu wa...
1 Reactions
2 Replies
166 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe anaingia Jimbo la Kyela kwa ajili ya kuwanadi wagombea wa Chama chake kwenye Uchaguzi wa wenyeviti wa serikali za mitaa...
2 Reactions
27 Replies
783 Views
Wabunge wa Vyama Vyote wametawanyika nchi nzima kufanya kampeni za Vyama vyao kasoro wale wabunge 19 wa Viti Maalum waliotokea Chadema Hii inamaanisha nini? Mlale Unono 😀
4 Reactions
27 Replies
720 Views
Wananchi wa Mwanza wagoma kutawanyika baada ya Tundu Lissu na John Pambalu kumaliza mkutano, wawasindikiza Lissu na Pambalu kwa maandamano hadi hotelini walikofikia, Pambalu atoa neno la shukrani.
11 Reactions
15 Replies
940 Views
Ni kawaida manabii kutokukubalika kwao. Lipi linalotokea kwenye kuelekea chaguzi za 2024/25 kuwa ni jipya leo? Kwamba walienguliwa wagombea, kukavurugwa kampeni, wakakamatwa wapinzani, nk...
2 Reactions
27 Replies
685 Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro kimeendelea kuvuna wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaojiunga na CCM. Hayo yamefanyika wakati wa kampeni...
0 Reactions
1 Replies
176 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema usiku huu saa 12:54, Viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, wameachiwa bila masharti na Polisi Mkoani Songwe...
3 Reactions
36 Replies
2K Views
https://m.youtube.com/watch?v=eanCBuc_oGs
5 Reactions
4 Replies
381 Views
SHEMSA MOHAMMED: CHAGUENI CCM KWA MAENDELEO, AMANI NA USTAWI WA TANZANIA Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Ndugu Shamsa Mohammed ameendelea na Kampeni za Uchaguzi wa...
0 Reactions
0 Replies
162 Views
Niliwahi kusikia miaka ya zamani lissu akimtweza baba wa taifa mwalimu nyerere Nikamueleza rafiki yangu kuwa huyu mtu hatafanikiwa kisiasa Tanzania,he will end up like siasa za mtikila Mtikila...
0 Reactions
2 Replies
190 Views
Mkuu wa mkoa wa kwanza alituhumiwa tukio la unyanyasaji kingono lililomhusisha RC Simiyu. Mamlaka kwa makusudi zikamwacha ofisini Sasa hivi viongozi wa Simba wamelalamika hadharani kwamba...
12 Reactions
41 Replies
2K Views
Kwa afya ya nchi yetu na chama chetu hususan katika kipindi hiki cha uchaguzi, alichofanya huyu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ni kama anataka kukuharibia. Ikikupendeza mpumzishe kwanza. Kwa sasa, mpira...
8 Reactions
52 Replies
2K Views
"Mtashurutishwa kutii ratiba, kanuni na sheria za nchi bila shuruti mpaka lini chadema yangu? Vijana wanatukana viongozi wa nchi wanaachwa tu? Nani atatupenda chadema, na nani atatuheshimu sisi...
1 Reactions
1 Replies
241 Views
Top 10 African countries with the highest debt to the IMF in Q4 of 2024 Rank Country Total IMF Credit Outstanding as of 09/27/2024 1. Egypt 9,450,430,014 2. Kenya 3,022,009,900 3. Angola...
3 Reactions
86 Replies
2K Views
"Tunajua mna tatizo kubwa la uhamiaji. Hata mimi walishawahi kunisumbua, wakaniambia mimi si raia wa nchi hii na kunitaka nipeleke vyeti vya babu yangu aliyemzaa babu yangu. Lengo lao lilikuwa...
2 Reactions
5 Replies
424 Views
Kila nikiingia Facebook, nakutana na tangazo la Tulia Trust Foundation Mikopo online ambapo tangazo hili linatangaza kuwa Foundation hiyo ya Tulia inatoa mikono online. Sina interest ya kujaribu...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Jeshi la Polisi leo tarehe 22 Novemba, 2024 katika Pori la Halungu lililopo Wilaya ya Mbozi wamevamia Msafara na kumkamata Mwenyekiti wa Chama Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe pamoja na Viongozi...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Mtanikumbuka kwa mema na Siyo kwa mabaya alisema kipenzi Cha Wanyonge, Shujaa Mwendazake Daktari Magufuli Kampeni Bila chombeza hazinogi hivyo Dr Mwigullu kala muhindi hadharani kuchangamsha...
7 Reactions
21 Replies
667 Views
Back
Top Bottom