Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwa nini meya wa jiji haonekani mstari wa mbele Katika janga la kibinadamu la kuanguka kwa ghorofa Kariakoo ambalo ni eneo lake kiutawala? Katika maafa kama haya meya alipaswa kuwa mtu muhimu...
7 Reactions
21 Replies
603 Views
"Waganda ni sawa na wagonjwa muda wowote wanaweza kupona na kudai haki zao" "Wakenya ni sawa na mtu aliye lala muda wowote anaweza kuamka na kudai haki yake" "Watanzania ni sawa na MAITI kamwe...
5 Reactions
15 Replies
775 Views
Serikali ya Tanzania imekamilisha upembuzi yakinifu wa kuwezesha Wakazi wa Tegeta hadi Bunju kutumia Usafiri wa Treni. Treni hii itajengwa kuanzia Ubungo Maziwa, Kupitia Mlimani City, Mwenge hadi...
9 Reactions
28 Replies
1K Views
Kariakoo ni Mji mkongwe na ukitaka kujenga ghorofa Basi ujue itapita miaka 100 bila kurudisha gharama ya uwekezaji, Wataalam wa RoI mnaelewa Vizuri Hii ndio sababu maghorofa yote ya kariakoo Yako...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Sheria zilizopo za maendeleo ya miji si mahususi kama Kanuni za Ujenzi, Wakati sheria zilizopo zinahitaji tu jengo kupewa cheti cha kufuata taratibu baada ya kukamilika, Kanuni zinataka jengo...
8 Reactions
33 Replies
866 Views
Maombi yanayoombwa na Waleta maombi ni pamoja na; 1. Mahakama Kutoa ruhusa kwa Waleta maombi kuwasilisha maombi ya kufuta Sheria Ndogo zilizotolewa kupitia matangazo ya serikali Na. 571, 572...
20 Reactions
116 Replies
5K Views
Salaam Wakuu, Tanzania inaelekea kufanya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024. Kwa sasa joto la uchaguzi huo limezidi kupanbda na Wagombea wengi wapo kwenye hatua za kurejesha fomu zao...
1 Reactions
2 Replies
211 Views
Msajili wa Hazina amesema Serikali katika mwaka wa Fedha 2024/25 Serikali Kupitia Hazina inatarakia Kuyafuta Mashirika na Taasisi za Umma 40 ambazo zilianzishwa Kwa minajiri ya kibiashara lakini...
12 Reactions
58 Replies
3K Views
Rais wa JMT, SASHA ametoa hotuba ya kufariji wahanga walioangukiwa na jengo janga lilitokea tar 16/11/2024 mitaa ya Kariakoo. Tukio limetokea Rais akiwa nchini na bado akaona ni muhimu zaidi...
3 Reactions
6 Replies
563 Views
Mkuu! Rejea kichwa cha thread hapo juu. Naamini kuwa u mzima wa Afya hapo magogoni. Naamini kuwa u mzima wa afya sisi huku sio wazima ndio maana tukaamua kukuandikia barua hii kupitia kwa Mtwa...
3 Reactions
78 Replies
18K Views
Tukio la juzi Kariakoo la kuanguka kwa jengo la ghorofa ni tukio la maafa kama si janga kubwa na watu 13 wamepoteza maisha. Mimi ni kati ya watu ambao nimekuwa nikiendelea kumsoma raisi wetu na...
2 Reactions
15 Replies
508 Views
Katika muktadha wa siasa za Tanganyika, ni muhimu kuangazia hali ya kisiasa na kiuchumi ambayo imekuwa ikiendelea. Kwa mtazamo wangu kama raia, naomba nikujulishe kuwa, kwa sasa, Tanganyika haina...
3 Reactions
12 Replies
404 Views
Waziri Silaa akishiriki katika Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025, leo Jumatatu Novemba 18, 2024. Mkutano huu unafanyika kwenye...
1 Reactions
3 Replies
810 Views
Mimi ni mshabiki namba moja wa Israel, ila nimeguswa na tukio la kuanguka kwa Jengo Kariakoo, Jitihada tuliyoweka katika uokozi ni aibu kwetu hasa sisi Watanzania tunaomini sio Nyani. Gaza kwao...
28 Reactions
115 Replies
4K Views
Nadhani kuna shida mahali kwenye tasnia hii. Zembwela ni wale comedian katika habari. Ivona Kamuntu na Salim Kikeke ni magwiji katika tasnia. Ikawaje Zembwela ambaye elimu yake katika habari...
24 Reactions
100 Replies
4K Views
Kariakoo ni sehemu ya kuchuuza vitu ya kimataifa na inapata promo kwa sababu pia tunazungukwa na nchi randlocked nyingi tunazo fanana nazo kama Burundi, Congo, Rwanda, Zambia, Malawi hizo zote ni...
9 Reactions
7 Replies
404 Views
Nafuatilia mkutano wako ITV kwa wananchi uliouita ni Taarifa ya miezi 6 ya utekelezaji wa majukumu ya Serikali mkoani Arusha. Lakini ninachosikia kupitia kwa waandishi kina Zembela uliowaandaa...
1 Reactions
11 Replies
578 Views
Wananajamii forum,heshima kwenu. Ajali ya Jengo Kariakoo kuanguka,kwa maoni yangu kulikuwa kuchelewa kufanya juhudi kwa haraka Serikali hasa JWTZ wakati wa majanga. Vifaa sahihi, watu sahihi kwa...
3 Reactions
13 Replies
953 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimekutana na kufanya mazungumzo na wana CCM wenzangu mitaani .ambapo wana CCM mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameumizwa na kuumia sana mioyo yao kutokana na...
5 Reactions
123 Replies
3K Views
Mshangao na Huzuni kwa Rais Samia Habari za kusikitisha zimeikabili nchi yetu, Tanzania, ambapo watu 13 wamefariki kutokana na jengo lililoporomoka katika eneo la Kariakoo. Hali hii si tu...
0 Reactions
8 Replies
453 Views
Back
Top Bottom