Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Katika awamu hii kuna sekta nyingi zimeharibiwa badala ya kuboreshwa ili ziwe na mchango chanya kwenye uchumi na maisha ya Wananchi. Kusipofanyika mabadiliko ya haraka, kadiri tutakavyoenda, kila...
126 Reactions
328 Replies
29K Views
Mh Rais Samia Shikamoo. Hongera kwa kazi ya ujenzi wa Taifa la Tanzania. Pia Hongera kwa kuwa Rais wa kwanza Mwanamke sisi kama watanzania tunajivunia kwa kuwa hii inadhihirisha Vyombo vyetu...
26 Reactions
78 Replies
7K Views
Kabla ya yote naomba kuwapa pole Wafanyabiashara wenzangu wa Kariakoo kwa kuangukiwa na jengo, nimeguswa moja kwa moja na ajali hii kwa sababu nina washirika wangu wa kibiashara wamepata janga...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ametajwa kuongoza Kampeni za Uchaguzi wa serikali za Mitaa Mjini Tarime. Taarifa ya Chama Chake iliyosambazwa kote Duniani hii hapa
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Viongozi wa afrika bila shaka wanashida vichwani mwao, watu wao wanakufa , wakiwa na majanga mabalimbali wanaingiza siasa,wakati wa uchaguzi wanaona wa thamani sana, lakini wakati wa majanga...
7 Reactions
60 Replies
1K Views
Leo vyombo vyote vya habari vipo busy kupost clip za RC Arusha akieleza miezi sita ya uongozi wake. Vyombo vyote vimeachana na vifo na majanga ya ndugu zetu huko Kariakoo......kwamba kuanguka kwa...
2 Reactions
12 Replies
364 Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema Chanzo cha vurugu na mapigano kwenye Mkutano wa Chadema wilaya ya Arusha mjini ni Naibu Katibu mkuu Benson Kigaila na Vijana wake...
2 Reactions
16 Replies
732 Views
Watanzania, msikubali kufanywa wajinga kwa mtu mmoja kuhamisha mjadala unaohusu maisha ya watu na kuwaletea vihoja vyake ili mvijadili na muache hoja za msingi zinazohusu maisha ya watu na utayari...
3 Reactions
16 Replies
503 Views
Mkuu wa nchi yuko Sao Paolo Brazil, huenda akaja na kocha mwingine maana tulipanda kwa ngazi tunashuka kwa lift viwango vya FIFA Jk jana amewasili nchini Brazil, cha kushangaza nchi nyingi...
0 Reactions
123 Replies
9K Views
Nimetafakali na kuwaza sana zaidi ya wagombea elfu 16 za wagombea wa vyama vya upinzani walikosea kujaza form. Cha ajabu form hizo ziliandikwa kwa k Swahili. Lakini cha ajabu CCM walijaza kwa...
0 Reactions
5 Replies
270 Views
======= Habari wakuu, Ile kamati iliyoundwa na Nape Nnauye ya masaa 24 inawasilishwa leo, baada ya kuzungumza historia ya tatizo, msemaji anasema wamejaribu juhudi zote za kumpata mkuu wa mkoa wa...
49 Reactions
706 Replies
85K Views
1. Makonda kwa nini ulienda clouds kudai story ambayo Si yako? Hujasomea journalism, sio employee wa Clouds na Wala sio mmiliki. Tabia uliyoionyesha Ni ya kuidhalilisha Serikali kwa kujihusisha na...
10 Reactions
92 Replies
9K Views
Jana kazi uliyofanya ni kubwa sana. Kazi ya kulaani na kusema uvamizi ule ni najisi pamoja na kuunda Tume ya uchunguzi ni jambo kubwa sana. Nimesikia ulivyohojiwa na BBC umesema wewe siyo mamlaka...
18 Reactions
84 Replies
10K Views
Mnamo tarehe 23 mwaka 2017 Mbunge wa Mtama Ndugu Nape Nnauye alitishiwa bastola hadharani na mtu asiyejulikana. MARCH 23, 2017, Rais John Magufulli aimteua Harrison Mwakyembe, aliyekuwa Waziri wa...
10 Reactions
120 Replies
13K Views
Wakuu, Hivi karibuni Msemaji mkuu wa Serikali amejitokeza kuzungmzia uwepo wa taarifa potofu na za uwongo katika kipindi hiki cha Uchaguzi kwa kusema kuwa historia inaonesha kuwa katika kipindi...
1 Reactions
11 Replies
466 Views
Mwaka 2006 Jengo la Chang'ombe Inn liliporomoka pale Keko! Wakati huo Serikali ya Awamu ya nne ilikiwa ndio kwanza ya moto. Chini ya Waziri Mkuu Edward Lowasa iliundwa Tume ! Tume ilifanya kazi na...
10 Reactions
29 Replies
898 Views
MBUNGE AMINA MZEE AFUNGUA MAFUNZO YA MAKATIBU UVCCM, AGAWA SIMU JANJA NNE ZA USAJILI WANACHAMA KIELEKTRONIKI Mbunge wa Viti Maalum Vijana Tanzania, Mhe. Amina Ali Mzee tarehe 16 Novemba, 2024...
0 Reactions
2 Replies
159 Views
Mawaziri wakiwa eneo la tukio kuendelea kuokoa wahanga
4 Reactions
36 Replies
1K Views
Toka muda wake wa kukaa madarakani Kama mwenyekiti wa chadema Taifa uishe Mh. Mbowe haonekani popote nchini, huku watu wakisubiri uchaguzi wa Mwenyekiti Mpya utangazwe inje ya Mbowe. Mbowe na...
0 Reactions
28 Replies
1K Views
Watanganyika amkeni, hao wanasiasa na matapeli wa kidini kama shoo na wenzake wanagawana maokoto. Bado na ninyi mnawaamini na kuwapa sadaka na michango kujaza matumbo yao.
0 Reactions
3 Replies
168 Views
Back
Top Bottom