Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kuna kasumba moja ya wanasiasa hasa upinzani na wanaharakati wamekua wanaikosoa serikali, au mifumo mibaya ya uongozi, ubovu wa katiba ya sasa kupitia mitandao ya kijamii na makongamano ya wao kwa...
0 Reactions
0 Replies
180 Views
Kama hujuma wanazofanyiwa Wagombea wa upinzani katika uchaguzi wa serikali za mitaa hazima baraka za Kiongozi wa Nchi, nashauri yeye mwenyewe awaite viongozi wa vyama vya upinzani kisha asikilize...
1 Reactions
11 Replies
442 Views
Oktoba 28, 2024 katika msiba wa msaidizi wa Mwamposa, Steven Mengele maarufu kama Steve Nyerere alitambulishwa kama mtu anayeongoza protocol Ikulu pale msibani. Ilikuwa bahati mbaya au ni...
17 Reactions
89 Replies
5K Views
Serikali hizi zetu za kulakula bila kujali wananchi. Ukijiuliza ni kwanini wanasiasa tu machawa ndiyo wana nunuliwa magari ya milioni 300 na mia nne kwa kazi za kufuta wagombea wa vijiji wakati...
1 Reactions
2 Replies
328 Views
Ilianza msiba wa King Kiki kuwekwa picha ya Mama, sasa naona hadi Msiba wa Kariakoo. Je, huu ndio utaratibu mpya? Picha haina uhusiano samahani nini.
2 Reactions
21 Replies
908 Views
Mbona naona kama wakoloni walikuwa wanaleta maendeleo kwa kasi kwenye nchi zetu, Walikuwa wanajenga reli, shule na vituo vya afya. Walikuwa wanajenga viwanda muhimu vya uchakataji. Walikuwa...
32 Reactions
123 Replies
3K Views
Shehe Ponda ameweka nukuu inayosema; Ukitaka kuangamiza taifa lolote Duniani usitumie Mabomu wala Nyuklia bali Ua Mfumo Wao wa Elimu Ili wawape nafasi mbumbumbu nao watajiona wamefanikiwa Ndipo...
30 Reactions
106 Replies
3K Views
Kufuru inawezekana kabisa Mungu sometimes huwa anazijibu mapema. msikilize huyu mama wa CCM huko zanzibar akimkufuru Mungu wa Mbinguni. Amekufa lini? ===== Zawadi saleh Makame alitoa kauli...
12 Reactions
42 Replies
2K Views
Sijajua mjukuu wa baba wa Taifa la Zanzibar Fatma Karume ana ugomvi gani na Rais wa IPU mh Dr Tulia Ackson Mwansasu PhD Maana anamshushia shutuma mbalimbali kule Ukurasani X Inawezekana Kweli...
19 Reactions
234 Replies
8K Views
Hongera sana mh. RC wa Arusha, Paul Christian Makonda. Binafsi nakukubali sana hasa kwa mambo makuu 5 ambayo ni:- I. Ubunifu II. Usimamizi III. Ufuatiliaji IV. Ujasiri V. Kutokukubali...
1 Reactions
14 Replies
512 Views
Nimeona taarifa nyingi za pole ila sijasikia tamko lolote kuhusu fidia watakazolipwa wahanga wa ajali hiyo.
0 Reactions
3 Replies
239 Views
https://www.youtube.com/live/hM2imb4c6lE?si=k17W_0YvvGSkfLRI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na...
1 Reactions
48 Replies
2K Views
Sehemu kubwa ya watanzania ni waoga sana kwenye kupambana hadharani na CCM. Lakini watanzania hao hao ni mafundi wabobevu kwenye kuilaumu CHADEMA. Na watanzania wengi sana ni rahisi na wanaona...
14 Reactions
58 Replies
1K Views
Japo bado tunaombeleza, tunapaswa kuanza kutafuta suluhu ya mabalaa kama haya ambayo nimekuwa nikiyasikua huko kwa majirani zetu Kenya, India na hata Nigeria. Sasa yametufika. Kwanza, nani...
2 Reactions
8 Replies
444 Views
Nimesikiliza sehemu ya mahojiano kati ya mkuu wa mkoa wa Arusha Makonda na waandishi wa habari. Jambo mojawapo aliloulizwa ni tuhuma dhidi yake za ukiukwaji wa haki za binadamu, majibu yake...
0 Reactions
0 Replies
235 Views
Rais Dkt. Samia akiagana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo tarehe 16 Novemba, 2024 kabla ya kuelekea Rio de Janeiro nchini Brazil kwa ajili ya...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Salaam za Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi: 1. Shukrani Kwa Wananchi kwani Wao ndio walikuwa wa kwanza kufika na kuanza Uokoaji 2. Shukrani Kwa Vyombo vyote vya uokozi vinavyoendelea na kazi ya...
4 Reactions
35 Replies
902 Views
Najuwa kelele ni nyingi kila Kona, kila chawa na kila mlamba asali 5 tena. Ila nataka kuwakumbusha kama vile hamkujuwa yule ajaye na yule aondokaye ndivyo itakavyo kuwa 2025. Kama Taifa mtajifunza...
10 Reactions
40 Replies
2K Views
Tanzania kuna shida gani? Kaghorofa kamoja kanaihangaisha nchi tangu jana? Hii serikali inaweza jambo gani?
3 Reactions
6 Replies
355 Views
https://www.youtube.com/live/vyP3aX84nHw?si=XkBNYCZhDqiFYwCB PICHA NA MATUKIO YA UZINDUZI WA ILANI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, VIJIJI NA VITONGOJI Huu ni Ukumbi wa Hakainde Hichilema; upo...
2 Reactions
11 Replies
659 Views
Back
Top Bottom