Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Majibu yaliyotolewa na Kamati leo tarehe 15 Novemba, 2024, ambapo hakuna mgombea yeyote aliyeshinda katika majibu hayo ya mapingamizi kwa sababu zilizoambatanishwa ikiwa ni rufaa hizo...
1 Reactions
72 Replies
2K Views
Nimeshangazwa na chama cha ACT-WAZALENDO siku ya kesho wanaenda kuzindua ilani ya chama chao kwajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa uchaguzi upi? Kwa wagombea wepi? Katika jukwaa ili kuna...
0 Reactions
16 Replies
608 Views
Makamu Mwenyekiti CHADEMA upande wa Bara, Tundu Lissu, ameweka wazi aina ya watu wanaostahili kuwa viongozi ndani ya chama chao. Akizungumza leo Novemba 13, 2024 mkoani Singida wakati akifungua...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Waziri mkuu na Makamu wa Rais mstaafu ambaye pia Makamu Mwenyekiti wa CCM mstaafu Mzee Malecela amemtembelea Mbobezi wa Kyoto Prof Mwandyosa nyumbani kwake Matema Beach Mbeya Prof Mwandyosa...
4 Reactions
60 Replies
3K Views
Kwanini JK hana raha kabisa Kama ilivyokuwa mwanzo? Au katengwa Maana Kuna kauli kaitoa karibuni kwamba ukitaka nchi itulie ishi vizuri na wazee Pia akatoka kauli kusema sio kila mzee ni...
25 Reactions
75 Replies
5K Views
Wakuu, Millard kafanya mahojiano na bonge kueleza kwa undani kilkchotokea. Tunamjua Millard🌚🌚... mnasemaje wakuu? Wazee wa kusoma kuread between the lines na kuangalia body language, ukiangalia...
5 Reactions
67 Replies
3K Views
Aristotle, the great philosopher, alisema unaweza kuainisha serikali zote duniani katika haya makundi sita. Mimi binafsi naona nchi yangu ipo kwenye Oligarchy.
0 Reactions
1 Replies
119 Views
Tanzania imechukua hatua stahiki za kuimarisha ufanisi wa mfumo wake wa kodi, ili kukuza uwekezaji na biashara na mataifa mbalimbali duniani. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
0 Reactions
1 Replies
306 Views
Leo tarehe 15/11/2024 jamii ya wapemba imetambulika rasmi Kama raia na wamepewa vitambulisho vya Taifa la Kenya. Hivyo wapemba wote wanaoishi kwenye Kaunti ya Kwale, Lamu, Kilifi na Mombasa...
2 Reactions
12 Replies
659 Views
My Dear Brother, Dont do it, just dont.. Hawa marafiki na wapambe ulio nao kwa sasa ni watu fake sana, having listened to their speech, rhetorical statements and sentiments.... They cant take...
15 Reactions
24 Replies
1K Views
Ndugu zangu hii nchi yetu haitakiwi iwe hivi ilivyo sasa. Kuna Watanzania wengi wajanja na wabunifu na Mungu katupa mengi. Sasa inashangaza kama wananchi tunakubali tu mambo ya ajabu ajabu...
1 Reactions
0 Replies
136 Views
Mimi The Palm Beach si mwanachama wa CHADEMA ila ni mpenzi na mfuasi wake na nakiunga mkono kwelikweli chama hiki... Ni wazi kuwa Kuna mgogoro mkubwa kati ya Mwenyekiti Freeman Mbowe na Makamu...
12 Reactions
85 Replies
4K Views
Katika ulimwengu wa siasa, tunazoea kusikia kuhusu demokrasia kama mfumo mkuu wa uongozi. Lakini je, umewahi kusikia kuhusu demarchy? Huu ni mfumo wa kisiasa usiohusisha uchaguzi wa moja kwa moja...
0 Reactions
2 Replies
190 Views
Tunategemea muda na saa yoyote Mahakama Kuu, kutoa hukumu ya kesi iliyofunguliwa na mawakili wasomi wakiongozwa na Bob Chacha Wangwe juu ya kupinga TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za...
10 Reactions
119 Replies
5K Views
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Salum Maulid Salum, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya kongamano la nne la kitaifa la Watanzania wanaoishi nje...
15 Reactions
43 Replies
5K Views
Wana Jf habari za kwenu. Tulihimizwa sana tujiandikishe na elimu ikatolewa kwa wingi sana. Tulielewa tulioelewa tukajiandikisha Sasa tunahimizwa tukashiriki uchaguzi tukawachague viongozi...
0 Reactions
4 Replies
250 Views
JF simameni katikati, hapa hajatajwa mtu.. Nikirudi kwenye mada, Kama kuna mtu wa ngazi yoyote anatoa maagizo wagombea wa upinzani wanyanyaswe kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa, ombi langu...
10 Reactions
40 Replies
802 Views
Nakumbuka mwaka jana au juzi Star link walitaka kuja kuwekeza Tanzania. Nape na watendaji wake wa TCRA, Star link walipigwa danadana hadi hawajawekeza bongo. Sababu zilizotolewa na Nape na...
1 Reactions
7 Replies
276 Views
Uganda wamekuwa wa kwanza kwa EAC kufuzu Afcon Ila cha kunishangaza huku Uganda sioni Mseveni akitajwa polote pale. Na raia wako kimya kana kwamba hakuna kilicho tokea. Nikajisemea sasa ingekuwa...
12 Reactions
27 Replies
1K Views
Kwanza tukumbushane kuwa Hizi ni Zama za Trump ambapo Yatima Hadeki Hivyo basi Chama langu Pendwa CCM achaneni kabisa na Machawa Tengeneza akina Mafuru ( Wachapa Kazi Bila kutaka Kujulikana na...
5 Reactions
42 Replies
764 Views
Back
Top Bottom