Tangua ujio wa Chadema zaidi ya miaka thelathini iliyopita, ni haswa chini ya uongoze wa Mzee Mbowe kumekuepo na snitofahamu kati ya viongozi wanohoji na ambao ni wasomi dhidi ya viongozi ambao...
Wakuu,
Lema ameyasema haya baada ya uchaguzi wa kiongozi wa chama mkoa wa Arusha, mnyukano wa CHADEMA jana unazidi kuweka fukuto. Mambo yanazidi kuwa moto.
====
Lema asema bora watu 10 wenye...
Mimi ni CCM lakini namkubali sana Tundu Antipas Lisu tangu akiwa mwanaharakati za Mazingira na baadaye Siasani.
Ujumbe huu wa Rais Trump utamfaa sana Tundu Lisu katika nyakati Hizi Ngumu...
Akiwa Ikungi Singida Shujaa Magufuli Mwaka 2020 aliwaambia Wazee Kuwa alitamani kufanya KAZI na Tundu Antipas Lisu na alishamuandalia Cheo kizuri lakini Lisu alikataa na kusema atagombea uRais...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akihojiwa na Kituo cha NTV cha Kenya amesema “Upinzani unahitaji kuwa na Uongozi wenye maono makubwa na yasiyokuwa na mawenge tofauti na ilivyokuwa hapo...
Ikumbukwe kuwa ni takribani 20% ya wananchi ndio walisema wanapendelea mfumo wa vyama vingi uanzishwe nchini na 80% waliukataa kwa madai kuwa kwa wakati ule taifa halikuhitaji na wala halina...
Huwezi ukaudanganya umma siku zote.
Kwa vyovyote vile ilijulikana kuwa Kutakuwa na Uchaguzi wa SM mwaka huu na mwezi huu. Lakini inashangaza kuona CDM wapo kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa...
CHADEMA haipo salama hata kidogo kutokana na kuwepo kwa matabaka ndani ya chama hicho yana wakatisha tamaa wanachama wa chini wenye mapenzi ya dhati na chama hicho. Ni ajabu sana kuona ndani ya...
Au tusubiri na press conference ya Mwenyekiti wa CHADEMA taifa ili kuthibitisha kwamba CHADEMA imegawanyika vipande au makundi matatu yanayojitegemea?
Nakumbuka niliwahi kukomenti mahali kwenye...
Mimi sio mfuasi wala mwanachama wa CHADEMA, Ila kwenye Kushauri nitamshauri. Mkichukua ushauri wangu sawa, mkiukataa sawa pia.
Mbowe amekua mwenyekiti kwa miaka zaidi ya 20. Kwa maana kabla...
Chadema imejengwa katika Misingi ya kibepari na Ubepari una kanuni zake
Freeman Mbowe ataendelea Kuongoza Chadema Ili ifikie Malengo iliyojiwekea
Atakapong'atuka basi Bilionea Sugu Moto Chini...
Ni hilo tu
Mbowe ulishatangaza 2023 unastaafu na Mungu wa mbinguni alisikia pia Dunia ilisikika.
Mungu anasema Ukiahidi Timiza.
Mungu wa mbinguni mfanyie Wepesi Freeman Mbowe wa Chadema 😀
Pia...
Kwa muda mrefu sana, CHADEMA wamekuwa wakilaumu kukwama kwa maridhiano kwa sababu ya CCM kutokukubaliana na madai yao mengi. Jambo hili liliwashangaza Watanzania wengi wanaofuatilia siasa, kwani...
Kipindi cha Kikwete alileta mapnduz makubwa mno kwenye siasa za nchi yetu kwenye siasa za upinzani, Uhuru wa kuongea na baada ya kuongea, n.k.
Siwezi kusema kikwete alikuwa mkamilifu kwenye...
https://m.youtube.com/watch?v=n0BhBYsZeyw
Dkt. Grace Magembe naibu katibu mkuu OR TAMISEMI awapa ukweli waandishi wa habari na serikali kwenda kijiditali katika kuelimisha umma wakati wa semina...
Akizungumza kwa niaba ya Baraza la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dkt. Fredrick Shoo, ametoa wito kwa...
Tanzania ni nchi iliyojaliwa utajiri mkubwa lakini ikaishia kuwa maskini tokana na kuwa na watawala au maafisa mafisadi. Tokana na kifo cha hivi karibuni cha Lawrence Nyasebwa Mafuru, acha...
Utunzaji wa mazingira na kupambana na mabadiliko ya tabianchi ni masuala muhimu kwa maendeleo ya nchi yoyote, hasa zile zinazokabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa, kama ilivyo kwa...
Baraza la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) limewataka wananchi kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27. Wito huo umetolewa na Askofu Mkuu wa...
Salamu zangu zikufikie Mh. Majaliwa, pole na kazi, ningependa kujua ni nini kimekusibu, kutoka mbele na kukemea suala la mauaji na utekaji ndani ya inchi yetu?
Mbona mwanafunzi akipotea huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.