Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Sheria, Kanuni na taratibu zimetungwa kwa ajili ya chaguzi za Serikali za Mitta. Iweje leo tunaziacha na kufuata uamuzi wa mtu binafsi. Kama mgombea kakosea sheria, kanuni na taratibu kwa nini...
0 Reactions
0 Replies
111 Views
Ni wiki sasa tangu nione kukatika kwa umeme maeneo mbali mbali hapa Dar. Hivi navyoandika hapa mtaani nilipo umeme umekatika na jana pia ulikatika najiuliza je, kuna mgao? Kama kuna mgao kwa...
2 Reactions
2 Replies
298 Views
Tukiangalia tulipojikwaa mwaka 2019 na 2020 ni hakika Bwana yule alivuruga kila kitu, haya mengine yote yaliyotokea baadaye na yanayoendelea kutokea ni matokeo tu uvurugaji wa 2019-2020...
15 Reactions
77 Replies
2K Views
Bwana Mushi; 1. Una elimu gani 2. Umri wako 3. Uzoefu wako kwenye biashara 4. Unafanya biashara Gani? 5. Utafanyaje ukichaguliwa, kutokuingiza siasa kwenye biashara? 6. Ni nini msimamo wako...
1 Reactions
7 Replies
330 Views
Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua Mheshimiwa Mohammed Chande Othman, Jaji Mkuu Mstaafu wa...
0 Reactions
38 Replies
1K Views
Umefika muda wa Tundu Lissu kuanzisha chama chako maana inaonekana Chadema kuna viongozi wanaangalia maslahi yao bali siyo ya nchi. Hawana tofauti na mafisadi wa CCM, naamini utaondoka na...
5 Reactions
46 Replies
1K Views
Ukiachilia mbali hekima na busara za kiuongozi na kimamlaka kumpitia mbali, saikolojia na uzalendo wake ni wa mashaka zaidi ukilinganisha na hao wengine japo nao familia ziko ughaibuni. Hana...
4 Reactions
49 Replies
1K Views
Hii ndio Taarifa mpya kwa sasa aliyoisambaza kwa vyombo vya habari. Makamu Mwenyekiti wa sasa wa Chadema ni Tundu Lissu, ambaye kama ataitaka tena nafasi hiyo basi atalazimika kupambana na Wenje...
12 Reactions
82 Replies
4K Views
Kwa kadri miaka ilivyozidi kusonga mbele, imani yangu kwa CHADEMA imeendelea kupungua. Nilivyokuwa nikikua kisiasa na kuchambua kwa undani zaidi kuhusu mfumo wa uongozi wa ulimwengu wa kisasa –...
1 Reactions
2 Replies
286 Views
People's power! Bila shaka Mh. Tundu Lissu ni mzima wa afya njema. Pole na kulipigania hili pendwa taifa hili. Mwanasiasa mwenye msimamo mikali zaidi Tanzania, mzalendo namba moja Tanzania...
1 Reactions
4 Replies
248 Views
Msaidizi wa MEMBE 'Allan' anachokizungumza baada ya KUREJESHWA na WATU wasiojulikana. Akizungumza kwa namna alivyoachwa njia panda ya Segerea amesema “Nilishushwa sehemu ambayo niliona ni sehemu...
19 Reactions
213 Replies
24K Views
Hii naomba Serikali kupitia @wizara_elimutanzania , @owm_tz @ormipango_uwekezaji waone hili. Nchini Tanzania sasa hivi kuna tatizo kubwa sana la upungufu wa Accomodation Hostels kwa Wanafunzi wa...
1 Reactions
2 Replies
371 Views
Wakuu, Taarifa nilizozipata punde zinaonyesha ndugu Allan Kiluvya ametekwa jana usiku maeneo ya Mbezi. Allan anadaiwa kuchukuliwa na watu takribani 7 waliokuwa na silaha. Benard Membe ambaye...
37 Reactions
371 Replies
54K Views
Rais Wangu na Mwenyekiti wa chama changu kwanza Pole kwa kazi nzito unazofanya Kuhusu mauaji wanaokupa Report wamekudanganya! Clip ya Slaa kuhusu Chadema kuteka katibu wake ni jambo la kisiasa na...
24 Reactions
60 Replies
3K Views
Ukweli usiofichika ni kwamba Tundu Lissu ameshakataliwa na mfumo wa serikali hata mfumo wa CHADEMA. Tundu Lissu ni mtu ambaye muda na dakika yoyote anasubiri kutupwa nje ya CHADEMA kama alivyo...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Tundu Lissu amekuwa akihusishwa na matukio na matamshi ambayo yamezua mjadala ndani ya CHADEMA. Miongoni mwao ni kauli yake kwamba tayari amekusanya fomu za urais kwa uchaguzi wa 2025, jambo...
7 Reactions
43 Replies
3K Views
Ukija kwa sasa nje ya Nyerere ambaye aliweza kukiri makosa yake kadhaa na kukosoa chama chake! Naona mwingine anayeweza kuthubutu ni Tundu A Lissu, CHADEMA ni chama tegemeo la Ukombozi kwa...
1 Reactions
6 Replies
434 Views
Endapo Chadema itarudia Ujinga wa 2015 wa kubadili Gia angani kwa Tundu Lisu basi wajue sisi Watanzania wapenda Demokrasia hatutakubali Kuna tetesi kwamba wale mawaziri wawili machachari...
0 Reactions
4 Replies
282 Views
Wanajukwaa hiki kijembe cha Kigaila moja kwa moja kinamlenga Msigwa, anasema kamwe usifikirie kwa kutumia tumbo, maana njaa ikishahamia kichwani ni shida.
0 Reactions
3 Replies
257 Views
Naona Lissu anawatukana viongozi wenzake kwa lugha za mafumbo. Kama anajiamini si awaseme hao anaodai wanapokea fedha? Kwanini aendeshe siasa za majungu? Nashauri kamati kuu imuite ajieleze, na...
0 Reactions
6 Replies
205 Views
Back
Top Bottom