Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
CCM yarejesha aliyoyafanya 2015 na 2020 kwenye u haguzi mkuu na serikali za mitaa. Hakuna asiyejua kuwa chini ya uongozi wa Hayati JPM wapinzani walienguliwa almost everywhere mpaka wabunge wengi...
0 Reactions
1 Replies
208 Views
Wakuu, Hivi karibuni mwanaharakati wa haki za binadamu na mwanamitandao maarufu nchini Tanzania Godlisten Malissa amefanya mahojiano na kituo cha Jambo na kugusia mambo mbalimbali yanayoendelea...
0 Reactions
0 Replies
187 Views
Wasimamizi wa vituo vya kujiandikisha wapiga kura wanalipwa 350000, kwa mmoja ,kituo kimoja wakiwa wanne ni zaidi ya 1.2m ,kwa nchi nzima ni mabilion ya pesa !! Kwanini mnathamini mchakato na sio...
2 Reactions
2 Replies
174 Views
Wakuu, Wakati sarakasi za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zikeindelea kushika kasi, CHADEMA nao wameendelea kukisuka chama chao. Hivi Karibuni Omary Toto amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa...
0 Reactions
2 Replies
332 Views
Salaam Wakuu, Kama Mnavyokumbuka, May 3, 2012, aliyekuwa Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete alimteua Mwenyekiti wa wa NCCR-Mageuzi, james mbatia kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
8 Reactions
68 Replies
3K Views
Nimesoma kwamba katibu wa CCM wa wilaya ya Kilolo ameshambuliwa na kuuwawa kwa risasi na watu wasiojulikana. Hivi karibuni huko Songwe kulikuwa na tukio jingine la katibu wa CCM kuvamiwa wa watu...
8 Reactions
35 Replies
3K Views
Tundu Antipas Lisu anaposema Chadema imejaa Rushwa ni lazima aeleweke na Wazalendo wote Rushwa ya kwanza ni Wabunge wa Viti Maalum Wabunge hawa aka COVID-19 wamo Wenza wa viongozi wa juu Pili...
2 Reactions
10 Replies
398 Views
Wakuu, Baada ya kuangalia huku na huko nimegundua hii video ni kutoka Uchaguzi wa 2015, hizi ahadi ni kama zile za 'Ndio Mzee' kwenye wimbo wa Prof. Jay.😂😂 Kwa kiwango cha uchawa kilichoongezeka...
0 Reactions
9 Replies
428 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:- 1. Amemteua Bw. Nehemia Kyando Mchechu, kuwa Msajili wa Hazina. Kabla ya uteuzi huo Bw. Mchechu...
16 Reactions
215 Replies
25K Views
Wakuu, Kwani kampeni tayari zimeshaanza? Hivi karibuni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), na Mbunge wa Isimani, William Lukuvi, ametangaza mpango wa kujenga mabwawa...
0 Reactions
0 Replies
163 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameibua wasiwasi juu ya uwezo wa vyombo vya usalama nchini kuchunguza kesi za mauaji na utekaji zinazoshika kasi hivi karibuni. Lissu amesisitiza kuwa...
10 Reactions
26 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Mtumishi wa Mungu Mchungaji Peter Msigwa amesema ya kuwa CHADEMA ina wanachama Laki 4 pekee nchi nzima. Ambapo katika kuthibitisha madai hayo ameweka na ushahidi.hivyo...
7 Reactions
74 Replies
2K Views
Imeshangaza nilivosikia katibu wa CCM Nchimbi akisema Chama chenye wagombea wengi cha upinzani ni ACT kwamba kina wagombea Zaid ya 3000 Me nimetoka Ngara hadi Dar sijaona mtaa wala Kijiji chenye...
1 Reactions
9 Replies
404 Views
Kuna baadhi ya viongozi wana vyeo ila hawazijui katiba, sheria za nchi, kanuni, miongozo, na taratibu. Elimu iendelee kutolewa, na kila mwenye kujua jambo amfundishe mwenzake. Tusome Katiba ya...
0 Reactions
1 Replies
254 Views
Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa. Kanali Mlunga alijipatia umaarufu...
8 Reactions
46 Replies
4K Views
Chama chetu kina utaratibu ambao unatutaka watu wote ndani ya chama kufuata na kutii ilani, katiba, kanuni, miongozo, na taratibu zetu zote. Chama kinakataza unafiki na fitna; kinataka ukweli. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
150 Views
Baadhi ya Watia Nia Uenyekiti wa Mitaa na Vitongoji mliomwaga mihela ya rushwa mkapenya mmezienda kinyume taratibu za CCM na kuikiuka sheria iliyopelekwa bungeni na Rais na kupitishwa, mnatajikiwa...
0 Reactions
1 Replies
267 Views
Tumekuwa tukiruhusu baadhi ya wajanja, majangili, manyang'au, na matapeli walio na sura ya unyenyekevu wavae sare za chama, wagombee uongozi, huku tukipuuza malalamiko ya wanyonge. Tumeasi viapo...
0 Reactions
1 Replies
167 Views
Wakuu Ipo siku sisi kama watanzania tutaruhusu nchi yetu iingie katika kipindi kigumu zaidi Cha kiutawala ambapo tutajikuta tumeruhusu kutawaliwa na mtu asie mtanzania halisi bila sisi kujijua...
1 Reactions
6 Replies
311 Views
Mwenyekiti Kanda ya Kaskazini na Mjumbe wa Kamati kuu - CHADEMA Godbless Lema amesema kama yeye angekuwa Rais wa Tanzania basi angeondoa hotel zote zilizojengwa porini. Kama serikali ingefikiria...
10 Reactions
65 Replies
3K Views
Back
Top Bottom