Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Chama cha ACTwazalendo kimetoa wito kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, kusimamia maelekezo yake kuhusu rufani za wagombea ili...
0 Reactions
2 Replies
164 Views
Tusinyamaze Kimya Tupaze sauti, hili ndio ombi langu kwenu Hapo Kenya ilianza hivi hivi na sasa wanauwana na kutokana kila iitwapo Leo Ni hilo tu 🐼
4 Reactions
76 Replies
2K Views
Wakuu Kumbe CCM wakiwatishia wapinzani ni sawa tu lakini Waoinzani wakiwatishia CCM, viongozi wake wanaenda hadi kwenye vyombo vya habari kulialia Hivi karibuni nimemuona Mkurugenzi wa...
0 Reactions
1 Replies
294 Views
Ni baada ya lema kusema kuwa CCM inafanya mpango na ACT WAZALENDO ili kukifanya kiwa chama kikuu cha upinzani USSR
1 Reactions
19 Replies
823 Views
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amempandisha CHEO Mpambe wake (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri nakuwa...
34 Reactions
137 Replies
13K Views
Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police...
5 Reactions
51 Replies
2K Views
Kwanza kabisa Video hii tukiiangalia kwa jicho la uchambuzi na kiudadisi kuna vitu vinatia wasiwasi, pengine tukio hilo limetengenezwa kimkakati kwa ajili ya masrahi ya watu flani. Aina mtu...
7 Reactions
83 Replies
4K Views
Wakuu, Kwahiyo wale walioenguliwa kwa kigezo hiki wanakuwa ndio wamerudi kwenye kinyang'anyiro au ndio wameondolewa hivyo hivyo kwa uonevu? ==== Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za...
1 Reactions
20 Replies
831 Views
Kwa mujibu wa takwimu za Bodi ya takwimu ya Uganda,Tanzania imetajwa kuwa Nchi iliyoongoza Kwa Uwekezaji Nchini Uganda ambapo zaidi ya asilimia 80% ya wawekezaji wa Kigeni walitoka Tanzania.Soma...
4 Reactions
20 Replies
708 Views
Wakuu, Siku ya leo akiwa anaongea na wanahabari, Godbless Lema amesema kuwa haamini kama ACT Wazalendo wana uwezo wa kufikisha au kusimamisha wagombea zaidi ya 2000 nchini. Soma pia: Lema wa...
1 Reactions
3 Replies
365 Views
Wakuu, Mnaweza kuta CCM ni chaneli ya vituko na vichekesho huko duniani. Kwani Vimbwanga vinaendelea katika kipindi hiki ambacho taifa linaelekea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Hivi...
0 Reactions
8 Replies
483 Views
Tanzania ni nchi ya amani! Haiwezi kuwa na matukio ya utekaji! Neno la "mkubwa" ni kama "Sheria". Imeshatamkwa kwamba kinachoitwa utekaji nchini ni "vijidrama" tu. Ndiyo maana Sativa...
2 Reactions
3 Replies
204 Views
Wakuu, Inashangaza pale unakuta kichwa cha habari kutoka online TV kinakuwa kama kaandika Lucas Mwashambwa, nilikutana nayo juzi wakati nataka nichukue risiti wakawa wamefuta bana. Kwa jinsi...
1 Reactions
4 Replies
221 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nikiri wazi na kwa dhati ya Moyo Wangu kuwa Rais Samia ni kiongozi Ambaye namkubali sana utendaji kazi wake,uchapa kazi wake, unyenyekevu wake,upendo wake kwa watanzania...
15 Reactions
190 Replies
5K Views
Wakuu, Hivi mna uhakika hawa viongozi wanaoteuliwa na Rais huwa wanafanyiwa vetting kweli kabla ya kupewa vyeo? Wakati nazunguka leo mtandaoni nimekutana na clip ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Kenani...
1 Reactions
11 Replies
456 Views
Utekaji unaweza fanyika katika nyanja mbili, Moja igizo { Drama } au utekaji halisi Tanzania tumeshindwa Kutofautisha tukio halisi naa Igizo { Drama } hatujui kabisa maana ya Utekaji { Kidnaping...
9 Reactions
58 Replies
6K Views
Mkuu wa mkoa wa Tanga Balozi Batilda Burian Batilda Burian amewataka viongozi wote ambao wana nafasi za kusimamia michakato ya uchaguzi,kusimamia agizo la kutumia 4R za Rais Samia katika kufanya...
0 Reactions
4 Replies
305 Views
Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (Katibu Mkuu Kiongozi)
28 Reactions
469 Replies
54K Views
Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mhe. Edward Ole Lekaita amemkabidhi Mwanafunzi mwenye ulemavu wa miguu Kitimwendo alipotembelea Shule mpya ya Msingi Nguzosita iliyojengwa kwa gharama ya zaidi ya...
0 Reactions
0 Replies
176 Views
Uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 ENEO LA UCHAGUZI IDADI CCM UPINZANI WOTE CCM PEKEE MITAA 4,265 4,265 3,256 1,009 VIJIJI 12,274 12,274 5,879 6,395 VITONGOJI 63,863 63,863 20,000 43,863...
0 Reactions
13 Replies
516 Views
Back
Top Bottom