Hii ndio Taarifa Mpya kutoka Mwananchi
---
Ramadhan Iddi Shaaban anayedaiwa kutekwa na kuuawa kikatili enzi za uhai wake
Familia ya Ramadhan anayedaiwa kutekwa, kuuawa kikatili yamlilia Rais...
Tumekua tukishuhudia utekaji wa watu nchini vikifanywa na eti wasiojulikana! Hawa wasiojulikana ni watanzania ambao huenda wamejiambatanisha na vyama vya siasa, hata hivyo ni CCM tu ndiyo ina...
Sema tu Waziri Wetu wa Mawasiliano wakati ule hakuwa na maono ya mbali
Nadhani Jerry Silaa atakwenda na Nyakati za sasa Bila kuwa na kigugumizi
Ahsanteni Sana 😃
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo:
1. Amemteua Bw. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya...
Mratibu wa Kitaifa wa THRDC, Wakili Onesmo Olengurumwa ameyasema haya katika ukurasa wake wa mtandao wa X
"Wagombea wote warudishwe kama makosa ni makosa madogo madogo, lakini ninauliza swali kwa...
Chadema siyo mkusanyikowa malaika, ni wanadamu and all humans are fallible no human being is infallible!
Ukilijua hilo, hotuba yako ya jana Singida, sishangai kuona kuwa kuna watu walitegemea...
Simlaumu sana mwalimu ila nahisi njia ambayo iliitumia kuwaongoza rais wake ndiyo imeleta haya aisee ujamaa unamfanya mtu awe muoga na na kutengeneza kizazi za watu wanafiki wanafiki tu hii nchi...
Wakuu,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses...
Freeman Mbowe siyo Malaika ni binadamu na anakosea kama wengine
PLC ya Mbowe iko stage ya mwisho ie declining
Labda niwakumbushe
1. Mbowe peke yake alibadili Gia angani na kumtosa Dr Slaa huku...
Maoni haya yachukuliwe na Serikali kwa Ajili ya kufanyia.maamuzi ya kisera.
Binafsi naunga mkono hoja Kilimo Cha Bangi Kibiashara na Kwa masharti Kwa Baadhi ya maeneo ya Nchi na nimewahi shusha...
Wakuu,
Mchengerwa alitekeleza agizo la chama bana, kupuuzia haya mambo madogo madogo maana demokrasia yetu ni changa:BearLaugh: :BearLaugh:
Kupata habari za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa...
Vijana wa sasa wamekuwa waoga sana wa kudai haki zao tofauti na kizazi kile cha wapigania uhuru kama kina Nyerere, Obote Kenyatta Kamuzu Banda, Mugabe nk.walitetea haki kwa nguvu zao zote waziwazi...
Je, nchi yetu bado ni nchi ya amani? Sio watu wameamua kuwa watulivu na ideology ya CCM kuwa Tanzania ni kisiwa cha amani ndo inatawala?
Nini hatma ya Tanzania endapo wananchi watachoka...
Mijini na vijijini manung'uniko yametawala!
Watumishi wa umma wanaonekana wana furaha lakini mioyoni wanaugulia maumivu!
Hata tabasamu za wengine zinaweza zikawa na tafsiri tofauti. Labda ni...
zimekuwepo kauli za mazoea kwa nchi ya watu wenye kuwaza zaidi ya kufikiria na kuridhika kuwa wamefikia hatua ya juu ya kufikiria sawasawa. nchi hii ni TANZANIA. utawasikia viongozi pamoja na raia...
Mimi ni mfuatiliaji mkubwa wa masuala ya kisiasa hapa nchini.
Nimeona zoezi la maandalizi ya uchaguzi wa viongozi Serikali za mitaa lilivyoanza na linavyoendelea.
Pia nimesikiliza matamko ya...
Inawezekana kabisa nia ya 4RS ipo dhahiri kupitia CCM Lakini ni vyema vyama vyote kuzingatia taratibu tulizojiwekea katika uchaguzi.
Inashangaza mgombea umeelezwa wazi kuwa iwapo hujatendewa haki...
Ikitokea Mungu katuongoza na kufika salama 2025 na ikatokea Rais Samia akatangaza nia ya kugombea Urais kupitia CCM nitamchagua bila kupepesa macho, kwa sababu:
i) Anajiamini. Licha ya kuwa ni...
Kwa kiasi kikubwa, wanafanana mambo mengi sana, ikiwa ni pamoja na maneno mengi matupu yasiyo na ushawishi.
Ni watu wenye hulka za ubinafsi, ku-outoshine na ku-othwart mabosi zao hadharini...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania badala ya kulilaumu Jeshi la Polisi kuhusika na matukio ya utekaji na mauaji, ni vema wakajiuliza kwanini matukio hayo yanatokea kila inapokaribia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.