Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakuu nikiri Mimi ni muumini wa haki bila kujali chama chochote Cha kisiasa. Maslahi ya taifa na nchi yetu ndo muhimu zaidi kuliko maslahi ya chama au maslahi ya Kiongozi yoyote kwenye nchi hii...
0 Reactions
23 Replies
706 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bi. Veronika Mueni Nduva, alipofika Ikulu...
16 Reactions
116 Replies
5K Views
Hakika uchaguzi za serekali za mitaa wengi tunafahamiana na nathubutu kusema chaguzi hizi ni "" tega nikutege, mwiba!"" Bwana mmoja katika mtaa wangu, ambaye tunafahamu kweli namaanisha in and...
0 Reactions
0 Replies
194 Views
Resilience Reconciliation Reform Rebuild Ingawa zimeletwa kwa kiingereza, mama alimaanisha kujenga serikali inayojali misingi ya 4Rs inayowakilisha Maridhiano, Uthabiti, Mageuzi na Ujenzi Upya...
2 Reactions
8 Replies
813 Views
Anaandika Twaha Mwaipaya kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X "Kata ya Marangu Mashariki Kijiji cha Lyasongoro Msimamizi wa uchaguzi amewawekea wagombea wa Chama cha Demokrasia Maendeleo...
4 Reactions
16 Replies
880 Views
Salaam Wakuu, Katika Uchaguzi wa 2020, rais Samia kipindi hicho akiwa Makamu wa rais, alisema hata ukipigia kura chama kingine, CCM itashinda. Kwa kinachoendelea kwenye Uchaguzi wa Serikali za...
0 Reactions
6 Replies
365 Views
Wakuu, Vitu vingine mpaka vinachekesha, ni zaidi ya vituko!:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: ===== Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 -...
1 Reactions
3 Replies
344 Views
Bila shaka ni wazima wa afya njema?! Napenda kujua kwa sasa alipo Saisi mama Samia, yupo cuba bado au amerudi Tanzania? Kikatiba nina haki kujua Rais alipo. Mnao juu taarifa tafadhali...
24 Reactions
174 Replies
14K Views
Tundu Lissu akizungumza na waandishi wa Habari Mkoani Singida amesema wagombea wao wengi waliwekewa mapingamizi hata kabla ya majina yao kubandikwa Singida tulisimamisha wagombea takriban 1225...
0 Reactions
1 Replies
240 Views
Ni mwendo wa kuwa chawa tu mpaka uhakikishe kambo yako imefungwa vizuri kwenye mtu uanze kula! ==== Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: Special Thread: Orodha ya...
0 Reactions
1 Replies
172 Views
Inasikitisha sana kuona nchi inayofuata utawala wa kidemokrasia inakumbwa na mambo yasiyofuata sheria, taratibu, na kanuni kila inapofika wakati wa uchaguzi. Wagombea wengi kutoka vyama vya...
0 Reactions
3 Replies
276 Views
Wizara hizo yaani Wizara ya Fedha, Wizara ya Mambo ya Ndani, Wizara ya Ulinzi, Wizara ya Uchumi na Mipango, Wizara ya Mambo ya Nje na Wizara ya Uchukuzi ndizo mawaziri wake Wanahudumu Bara na...
0 Reactions
1 Replies
195 Views
CHADEMA hebu jitathminini. Kama mmeshindwa kulinda haki yenu, kaeni kimya, acha CCM wasonge mbele. Kila kona ni malalamiko ya kuenguliwa kwa Wagombea wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Unakuta...
4 Reactions
42 Replies
846 Views
Mwenyekiti mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma, Aisha Madoga, ameahidi kupambana kuhakikisha wagombea wa chama hicho walioenguliwa katika uchaguzi wa serikali za...
1 Reactions
4 Replies
395 Views
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) katika wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga, hivi karibuni imeficchua kwamba baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wanatoa rushwa kwa wagombea...
0 Reactions
0 Replies
230 Views
Ndugu watawala wa jamhuri ya muungano wa Tanzania bado muna muda wa kujirekebisha. Msipuuzie kelele za umma mtakuja kulia kilio Cha kusaga meno Walinda nchi uchoka kulinda tawala zisizoeleweka...
1 Reactions
1 Replies
180 Views
Mwenyekiti wa CCM, Jimbo la Nungwi, Ali Adibu Mbwana Pia Polisi walisema gari lilikuwa halina Plate Number, mzigo huu hapa Pia soma: ~ Zanzibar: Vijana wawili wauawa na wengine 2 kuumizwa...
0 Reactions
0 Replies
380 Views
If the theory hold kwamba next president atatokea Bara na atakuwa mkristo, na kama utabiri wa siasa za Tanzania utaendelea kuwa sahihi kama ilivyokuwa kawaida ya nchi yetu, kiongozi ambae...
4 Reactions
2K Replies
138K Views
Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania (CHADEMA), Freeman Mbowe amewataka watu chama hicho walinde kura na kuhakikisha hakuna kura inapotea wa inaibiwa katika uchaguzi ujao wa Serikali za...
0 Reactions
5 Replies
454 Views
Wakuu, Ni mwendo wa maigizo tu mpaka kieleweke. ===== Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Itikadi Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, amewaomba wanachama katika maeneo...
2 Reactions
18 Replies
737 Views
Back
Top Bottom