Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakuu Huko Goba, wagombea wa CHADEMA wenye kazi rasmi wameenguliwa kwa madai kwamba shughuli zao hazitambuliwi kama kazi rasmi za kiuchumi. Hii ni tofauti na wagombea wa CCM ambao, licha ya...
1 Reactions
11 Replies
599 Views
Anti-drugs police have arrested a man believed to be the country's most wanted drug kingpin. Ali Khatibu Haji, popularly known as Shikuba, was arrested at Julius Nyerere International Airport...
0 Reactions
108 Replies
60K Views
Tundu Lissu amesema kitendo cha waziri January Makamba kusingizia kwamba ametumwa na Rais Samia kushusha bei ya mafuta iliyopitishwa na Bunge ni kinyume cha sheria na ni uhaini kwa Rais wa nchi na...
35 Reactions
182 Replies
17K Views
1. Tuwe wakweli, Tamasha la Kizimkazi lilifana haswa. Wasanii kama wote, burudani ndo usiseme. Kwa sasa Kizimkazi Festival ndio Tamasha kubwa Afrika. 2. Hakika Dunia imeona ukarimu wa...
6 Reactions
18 Replies
797 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nawaambieni muda wote na siku zote kuwa RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi muda wote anafanya kazi kwa ajili ya kuwatumikia watanzania,muda na wakati wote...
1 Reactions
6 Replies
610 Views
TAARIFA KWA UMMA KUAHIRISHWA KWA ZIARA YA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ILIYOKUWA IFANYIKE NCHINI CUBA Havana, 07 Novemba, 2024 Wizara ya Mambo ya Nje...
15 Reactions
102 Replies
7K Views
Hali ni mbaya sana kuelekea kwenye uchaguzi wao serikali za mitaa. Ukiachilia mbali kule kuchezea daftari la wapiga kura kwa: Kuongeza majina bbandia Kuongeza majina ya waliopotea Kuongeza majina...
12 Reactions
23 Replies
1K Views
Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu...
53 Reactions
216 Replies
12K Views
Kupotea kwa kundi hili ni vema kukawa fundisho kwa Mamluki Wachumia Tumbo, Wanaotutisha na kutukana humu JF, Hii ardhi ya Mungu tunapaswa kuikanyaga Taratibu mno ili tusitumbukie. Nawakumbuka...
8 Reactions
32 Replies
852 Views
Wagombea wangu wote wameenguliwa. Waliobaki ni wale wanaobebwa na serikali ambao sisi wananchi hatuwataki. SITOPIGA KURA KUWACHAGUA WALIOCHAGULIWA TAYARI
2 Reactions
20 Replies
393 Views
Wakuu wakati joto la uchaguzi likiendelea kushamiri, Padre Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ameendelea kuhoji maswali mazito kuhusiana na jinsi mchakato...
0 Reactions
0 Replies
340 Views
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali...
7 Reactions
44 Replies
1K Views
Hii ni fact kutokana na uzoefu wa mahali pengi duniani na hata ccm kwenyewe huwa rais anapotumikia muhula wake wa mwisho ni kipindi kigumu sana kiuongozi. Kuna kuwa na mambo mengi sana...
6 Reactions
11 Replies
835 Views
Wakuu, Kama mmeona hivi karibuni kumekuwa na mbinu ya kuwaondoa wapinzani kwenye uchaguzi kwa vigezo tofauti tofauti ikiwemo kuweka taarifa zisizo sahihi kwenye fomu za kugombea. Huyu ni mgombea...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Wenzetu wanagombea kwa uzalendo na kuleta maendeleo. Tanzania watu wanagombea kulinda malizao na kujitajirisha. Tusishangae Raisi mzima ana unga mkono wizi wa mwenyekiti wa kijiji kwenye nchi...
0 Reactions
4 Replies
204 Views
Jeshi la Polisi Wilaya ya Same limetangaza kusitisha mikutano ya hadhara ya Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, ambayo ilitarajiwa kuanza Novemba 13, 2024. Hatua hii inakuja...
0 Reactions
1 Replies
231 Views
Wakuu, Hivi karibuni nimeona video moja ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Makambako, Hanana Mfikwa akizungumzia kutumia viongozi wa dini kuwahamasisha wananchi kwenda kupiga kura. Mfikwa...
1 Reactions
11 Replies
274 Views
Salaam Wakuu, Hadi sasa hivi vyama vyama zaidi ya 10 vya Upinzani venye nia ya kuiondoa CCM madarakani, vipo kimya kana kwamba hakuna kinachoendelea. Je, vimefueahhishwa na mchakayo wa Uchaguzi...
2 Reactions
10 Replies
572 Views
Wakuu, Mambo ni moto kila sehemu, ni mwendo wa kuengua tu na kubakisha wa kupita bila kutoa jasho. ===== Viongozi na Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika Jimbo la...
1 Reactions
2 Replies
251 Views
Pamoja na mambo mengine yote siasa ni majadiliano, au mgogoro wa hoja baina ya watu, vyama katika kutafuta kutwa madaraka au mamlaka. Mtazamo wa mwanafilosofia aitwae Aristotle kuhusu siasa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom