Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Afrika ya Kusini, Mzee Thabo Mbeki akiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi walipokutana Uwanja wa...
5 Reactions
15 Replies
323 Views
Vijana wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa umoja huo, Rehema Sombi wamempigia simu Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wakimkaribisha mkoani humo ambapo...
0 Reactions
1 Replies
158 Views
Paschal Mayalla I. UTANGULIZI Makala ya Paschal Mayala katika gazeti la Nipashe, toleo la Jumapili, tarehe 23 Februari 2025, imenikumbusha matukio ya kisiasa ya mwaka 2022. Tarehe 20 Mei 2022...
15 Reactions
25 Replies
763 Views
Mama hivi , mama vile... unamwangalia huyu unamwona njaa inamsumbua na ameshamkana mama yake kwa sababu ya vipande 30 . Rais si mama wala baba yenu. mama yako akikusikia unaiya ita wa mama wa watu...
1 Reactions
4 Replies
163 Views
Je, ndani ya Chadema kuna dikteta uchwara? Kama yupo ashughulikiwe mara moja kwa maslahi ya taifa.
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Naangalia kikao cha Jukwaa la Wahariri na Lissu. Ushauri tu, kama kuna mtu anaweza kwenda kumtoa Balile akamtoe pale. Anapelekwa na kuchezeshwa sere na Lissu kama Mwanasesere🤣🤣🤣 Yaaani Lissu...
30 Reactions
117 Replies
6K Views
Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kusini, Mhe. Cyril Ramaphosa, akizungumza jambo na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, walipokutana Uwanja wa Ndege wa...
0 Reactions
0 Replies
150 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amesema kuwa maridhiano ndani ya vyama vya upinzani yamekuwa yakileta madhara na kuwajeruhi, na kwamba wamejifunza kutokana na...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
  • Redirect
Hii kitu naiona Mimi peke yangu au wengine mnaona? Kwanza nasema hakuna jeshi Bora na lenye nguvu East and central Africa Kama jeshi la wananchi wa Tanzania kwa sababu ambazo siwezi kuzitaje...
0 Reactions
Replies
Views
=== Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara...
33 Reactions
58 Replies
1K Views
Kama unakuwa msomi na huzijui haki zako za msingi ni heri upokonywe vyeti vyenyewe. Si wasomi wote wataajiriwa na serikali au sekta binafsi ila ni sharti kuwepo na usawa katika ajira. Bila kijali...
0 Reactions
2 Replies
93 Views
Wakuu nipo Live Jambo Tv namsikiliza Mheshimiwa Tundu A. Lissu Juu ya No reform no election akichambua kiundani matatizo ya kimfumo na kikatiba ya Mfumo wa uchaguzi na jukwaa la wahariri Tanzania...
14 Reactions
47 Replies
1K Views
Wakuu, CHAMA cha National League for Democrats (NLD) ,leo jumapili kimetangaza kuanza kwa mchakato wa ndani ya chama wa kuwapata wagombea wa nafasi za Udiwani, Ubunge na Rais kuelekea Uchaguzi...
0 Reactions
14 Replies
324 Views
Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu. Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie...
25 Reactions
229 Replies
4K Views
  • Redirect
Nchi hizi mbili zitunze kisasi hiki muhimu dhidi ya Rwanda. Ukifika wakati sahihi tupige haswa bila huruma.
1 Reactions
Replies
Views
MHESHIMIWA RAIS MUNGU AKIKUPA NAFASI HUWA HAIJIRUDII MARA MBILI na KUMBUKA kwamba anataka wakati wote utumie uta wala wako kwa hekima. 1. Ipe ZANZIBAR UHURU KAMILI kwa kuandika KATIBA ambayo...
2 Reactions
3 Replies
158 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema tangu serikali ya Tanzania ifanye marekesho ya sheria na miongozo yake mbalimbali sasa...
22 Reactions
210 Replies
7K Views
Wananchi wa Jimbo la Muhambwe Mkoa wa Kigoma amefurahishwa na maamuzi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM 2025 yaliyompitisha Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea Urais wa Tanzania katika...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
Mbunge wa Jimbo la Nanyamba Abdallah Chikota ameeleza kukerwa na utitiri wa vyama vya msingi (AMCOS)
0 Reactions
0 Replies
60 Views
Back
Top Bottom