Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kibiti mkoani Pwani Juma Kassim Ndaruke ametoa rai kwa wa Umoja wa wanawake wa Chama cha Mapinduzi Kibiti kusimama kidete na Rais Dkt Samia Suluhu...
0 Reactions
0 Replies
97 Views
Jengo la Shule ya Msingi Nsololo lililoezuliwa paa limetelekezwa Walimu wanakaa chini ya miti Nimefika Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora, kuna jambo limenisikitisha na baada ya kuwauliza Wenyeji...
0 Reactions
4 Replies
483 Views
Lissu amesema watatumia njia mbalimbali kuzuia uchaguzi, ameeleza pia no reform no election maana yake siyo kususia uchaguzi. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila...
7 Reactions
57 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza...
2 Reactions
16 Replies
237 Views
Leo nimekusikiliza ukiongea kwenye kikao kazi cha wakuu wa taasisi za umma Dodoma. Umeongea mambo mengi mazuri, makubwa na ya msingi kwenye hotuba yako ya ufunguzi. Umezungumzia changamoto...
1 Reactions
1 Replies
149 Views
Naomba nitofautiane na watu wengi wanaoshangazwa na Mgombea wa ccm kuanza kampeni miezi 12 kabla ya uchaguzi, unapoanza kampeni mwaka mmoja kabla ya uchaguzi unatoa nafasi kwa Wananchi wakuchoke...
7 Reactions
22 Replies
638 Views
Ziara ya Dkt. Florence George Samizi, Mbunge wa Jimbo la Muhambwe yazidi kupamba moto Jimboni akiongozana na Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Wilaya na Sekretaileti ya CCM Wilaya ya Kibondo chini ya...
0 Reactions
1 Replies
70 Views
Je, ni dhamira na nia yake njema kwa Taifa letu pekee? Au ni kwa namna alivyofanikiwa kuliunganisha taifa kwa falsafa yake ya 4Rs na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu? Au ni...
6 Reactions
74 Replies
1K Views
  • Redirect
Kuna video clip inasambaa mitandaoni mwanajeshi wa Tanzania akishachiwa na police wa Rwanda hakika Mimi kwangu niliona ni kawaida tu Maana umeingia nchi ya watu lazima waangalie kama hauna kitu...
0 Reactions
Replies
Views
LIGI Kuu ya Wanawake (WPL) inatarajiwa kusimama kwa takriban wiki moja kupisha michuano ya Samia Women Super Cup inayotarajiwa kuanza kesho, kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha. ...
4 Reactions
4 Replies
235 Views
Hivi kuweka free and fair election ni kitu kimewashinda KABISA? KWAMBA hii nchi Ina milikiwa na CCM? Huwa napata mashaka sana ndani ya icho chama kama Kuna wasomi walio eleweka na walio na...
13 Reactions
40 Replies
599 Views
Wakuu Katibu Tawala Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mahida Waziri Amekabidhi zawadi ya Mitungi ya Gas kwa kutoka kampuni ya Taifa Gas na Kiwanja kwa washindi wa shindano la Kupika Pilau...
1 Reactions
4 Replies
204 Views
Hivi ndivyo Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu alivyomuelisha Kada wa ccm Balile wa Jukwaa la Wahariri Lissu amedai kwamba Watumishi wa Tanzania wanawajibika kwa Rais na wanaweza kutimuliwa kazi...
4 Reactions
22 Replies
629 Views
Wana madai ya Msingi sana. UHALISIA ULIVYO Kiukweli mazingira yaliyopo kwasasa katika chaguzi zetu hayatoi nafasi kwa upinzani kushinda nafasi yeyote ile isipokuwa kwa hisani, huruma...
4 Reactions
35 Replies
727 Views
Picha mbalimbali zikimuonesha Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akishiriki shughuli ya mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya...
2 Reactions
2 Replies
139 Views
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema kumekuwa na mwitikio mkubwa kwa wananchi kujitokeza katika vituo mbalimbali vya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaofanyika mkoani...
0 Reactions
0 Replies
61 Views
Wakuu Umoja wa Madereva na Makondakta wa Daladala Mbeya Jiji (UDEKO) umetoa wito kwa Mbunge wa Mbeya Mjini na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, kugombea...
0 Reactions
3 Replies
105 Views
Balile na pascal Mayalla hawana weledi katika uandishi wa habari. Naomba waendelee na siasa za kusifu na sio habari.
4 Reactions
11 Replies
400 Views
Wale wezi wa kura wasioheshimu sanduku la kura,wanaishi kwa mbeleko Msijione washindi kwa wizi wa kura kimsingi mnaua morali ya wapiga kura kushiriki katika chaguzi mbalimbali hapa nchini...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
  • Redirect
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa mara nyingi amelalamika juu ya Wizi wa kura wakati wa uchaguzi na hasa uchaguzi wa 2019, 2020, 2024. Sasa ni wakati muafaka wahusika wakatoka HADHARANI kukanusha kwa...
1 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom