Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wakuu, Drama za mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda zinaendelea. Hivi karibuni amesema kuwa kwa Arusha ni marufuku kwa wafanyabiashara kupandisha bei za bidhaa mkoani Arusha "Katika mkoa huu...
1 Reactions
12 Replies
194 Views
Natamani kuona CHADEMA ambayo hata ikikumbana na mitikisiko, watu wanatafuta suluhu ndani kwa ndani bila kuvurugana wala bila kurudisha harakati nyuma sabab watu ambao kwakawaida huondoka chadema...
1 Reactions
10 Replies
301 Views
  • Redirect
13 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Wadau hamjamboni nyote? Nukuu ya Mkuu mkoa Arusha Mheshimiwa Paul makonda akiwa jijini humo
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu Huko Arusha, Mkuu wa Mkoa huo, Paul Makonda amesema kuanzia Jumatatu Machi 3, mpaka Machi 7 kila Mwanaume wa Arusha am-post mpenzi au mke wake kwenye mitandao ya kijamiii kuonesha upendo...
4 Reactions
98 Replies
3K Views
  • Redirect
Hakika mama anaupiga nwingi, kwa sasa tunasubiri simu za Samia Lucas Mwashambwa umeshajipatia yako? johnthebaptist
8 Reactions
Replies
Views
Kuna namna nchi yetu ipo jalalani tena pakubwa mno. Jana nilipoona mjadala kati ya Chadema na wahariri wa vyombo vya habari nikajikuta nakumbuka haya: 1. Hivi mara ya mwisho kuwa na mjadala wa...
1 Reactions
3 Replies
181 Views
Wanaosema Tanzania tuna utamaduni wa chaguzi na twende tu hivyo hivyo hata kama tunajua kabisa kura hazijesabiwi kabisa toka 2019. Lissu na team yake wametoa data za kila kitu lakini cha...
2 Reactions
5 Replies
159 Views
Mhe. Dkt. Florence George Samizi, Mbunge wa Jimbo la Muhambwe amekua Mgeni Rasmi kwenye uzinduzi wa kuelekea maadhimisho ya kumi na moja {11 ya siku ya Wanyamapori Duniani ambayo kitaifa...
0 Reactions
0 Replies
71 Views
Mwenyekiti wa Chairman Mh. Tundu Lissu ni kiongozi wa chama aliyebeba maono ya wengi humu JamiiForums. Ni maono ya kuiona Tanzania ikipiga hatua. Tofauti na kiongozi wengi wa serikali na CCM...
11 Reactions
28 Replies
560 Views
  • Redirect
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Wakati napitia mitandao mbalimbali ya kijamii leo, nimefanikiwa kumuona huyu mwanajeshi wa Tanzania anayelinda amani huko DRC akipekuliwa vikali...
2 Reactions
Replies
Views
Kauli mbiu ya Chadema ya "No Reform, No Election" imetolewa tena kwenye mkutano na wahariri. Hata hivyo, msimamo huu si wa kisheria, wala hauna mantiki ya kidemokrasia. Katika mazingira ya sasa...
2 Reactions
13 Replies
405 Views
Mwaka 1994 nilitumia wiki nzima kutoka Dar mpaka Chidya secondary, mwaka uliofuata nikahama shule, mto rufiji ilikuwa balaa, Mkapa aluvyoingia madarakani akajenga daraja. JPM kwa kinywa chake...
10 Reactions
50 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Huu ni zaidi ya upendo ndugu zangu watanzania ,haya ni mahabaa ambayo watanzania wanampatia Rais Samia. Huu ni upendo wa kukabidhi moyo kwa Mtu. Kwa hakika watanzania...
6 Reactions
115 Replies
2K Views
Tanzania Yakanusha Madai Usafirishaji wa Silaha Kwenda DRC |Tanzania Denies Weapons Shipment to DRC https://m.youtube.com/watch?v=tFlpuW29ygw The statement also dismissed claims that the vessel...
0 Reactions
0 Replies
201 Views
Ukitaka kujua future ya Taifa lolote angalia vijana wake! Fikra zao na priorities zao! Yaani wana maarifa sahihi? Leo nimejaribu tu kufanya kautafiti kadogo kuhusu tofauti iliyopo baina ya vijana...
10 Reactions
54 Replies
1K Views
Ktk hali ya kawaida, kwa wanasiasa wenye tamaa ya madaraka na uroho wa kutumia vibaya rasilimali za Wananchi sio rahisi mwanasiasa kusema bora tuache kwanza uchaguzi aliyepo aendelee ili apate...
2 Reactions
5 Replies
229 Views
Aliyemuelewa huyu mheshimiwa Babu Tale meneja wa Wasafi ambaye kwa sasa ni mbunge,aeleweshe na wengine
10 Reactions
57 Replies
7K Views
Akiwa anachambua kauli ya No Reforms No Election, Zungu ambaye ni mchambuzi maarufu wa siasa nchini amesema na mtangazaji wa kipindi cha Morning Bantu cha ST Bongo amesema: "Kama...
2 Reactions
22 Replies
679 Views
Back
Top Bottom