Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Tuko live kwenye mkutano wa Viongozi wa Chadema na Jukwaa la Wahiriri wa habari. Mambo yanayozungumzwa humo ni mazito sana. Tundu Lissu anasema kuna hali isiyo na usawa ktk kugawa majimbo sehemu...
14 Reactions
76 Replies
2K Views
NI UKIUKWAJI WA KATIBA AU MAJINA YAMEFANANA KATI YA MSEMAJI WA JWTZ NA HUYU MTEULE WA NEC YA CCM? JPM JITOKEZE KUUELEZEA UMMA KUHUSU UTATA HUU. Msemaji wa JWTZ ni Kanali Ngemela Lubinga. Katibu...
27 Reactions
310 Replies
37K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa Tundu Lissu akizungumza wakati wa mkutano kati ya CHADEMA na Jukwaa la Wahariri (TEF) unaofanyika siku ya Jumapili Machi 2, 2025...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Lissu amesema "Tutatembea nchi nzima kuwaambia Watanzania hamuwezi mkawa mnaenda kupiga Kura kwenye chaguzi za kutoana Kafara, tuungeni mkono kubadilisha taratibu za Uchaguzi" Kupata taarifa na...
2 Reactions
11 Replies
532 Views
Wakuu, Kwenye mkutano huu wa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi na Wahariri unaofanyika leo tar 14/07/2023 akielezea mkataba na uwekezaji wa bandari, Balile anaegemea upande wa serikali kabisa. Akiwa...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Nani anaaminika na kukubalika zaidi ndani ya chadema na anaweza kua na nafasi nzuri zaidi ya kupewa fursa ya kubeba jukumu hilo muhimu la kupeperusha bendera ya chama hicho, kati ya mwenyekiti wa...
2 Reactions
30 Replies
752 Views
  • Redirect
Video mjongeo inayotrend Tiktok na X ikionyesha jinsi wanajeshi wa Tanzania walivyokuwa wakikaguliwa kwenye mpaka wa Rwanda na Congo wakati wakurudi Tanzania wakitokea kwenye misheni ya kulinda...
0 Reactions
Replies
Views
https://www.youtube.com/live/OFc_2MInLSo?si=01-pw3HvWrVbJbkX Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, ametoa maoni yake kuhusu hali ya ndani ya Chama cha Demokrasia na...
11 Reactions
80 Replies
3K Views
Yaani ukisikiza maswali yao ni ya kishabiki na utoto mwingi wakati viongozi wa Chadema kila hoja walikuwa na data za kuonyesha. Hata maswali ya kisheria watu wa Media wamekuja na vijimameno ya...
6 Reactions
4 Replies
202 Views
  • Redirect
Huyu mtu ni smart sana kichwani ,ana maarifa,ujasiri mzalendo, pengine kuliko wandishi wote Tanzania . Maswali yake anayouliza I'li uelewe lazima uwe umewai soma cub Mungu akubariki sana .
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
4 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Ukweli ni kwamba Chadema Haina mamlaka ya kuzuia uchaguzi uliopo kikatiba Endapo wakijaribu vyombo vinavyolinda katiba likiwemo jeshi na mahakama zitakuwa sahihi kuwashughulikia Wananchi pekee...
0 Reactions
Replies
Views
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
5 Reactions
21 Replies
596 Views
Naanza na hii 👇👇 https://www.instagram.com/p/DFieFuRt3Dw/?igsh=MWxweHVlbHV5enB1cA==
3 Reactions
90 Replies
2K Views
Habari wana ndugu Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi. Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke...
30 Reactions
106 Replies
13K Views
  • Redirect
This is the trending video on Rwandan social media showing Tanzanian military officers at the Rwanda-DRC border office in Rubavu. They were repatriated from Goma after M23 seized control of the...
3 Reactions
Replies
Views
Igweee nimekaa na kuwaza sana nakusoma comment za waja nyingi sana ila jambo nimekuja kugunduwa JK ana akili sana tena sio wakumchukua poa. JK ni mwanajeshi mstaafu nje ya Urais na anakumbuka...
1 Reactions
4 Replies
526 Views
Joto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana ! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye...
23 Reactions
129 Replies
4K Views
=== Chuo Cha Usimamizi wa Fedha na Biashara CBE nchi Tanzania kimemtunuku Mhe David Zacharia Kafulila ngao ya heshima kwa uchapakazi wake uliotukuka kwa Taifa lake la Tanzania. Mkuu wa chuo...
26 Reactions
127 Replies
3K Views
Zamani awamu za nyuma, kulikuwa na wazee wa Dar es salaam. Hawa mara kwa mara wangeweza kufanya vikao na mkuu wa nchi kuhusiana na mambo mbalimbali ya nchi. Awamu iliyopita ni kama walipuuzwa na...
0 Reactions
5 Replies
222 Views
Back
Top Bottom