Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli. Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye. Ndio maana karibu na uchaguzi...
9 Reactions
105 Replies
2K Views
Mwanaharakati huru, Cyprian Musiba, amewataka wasanii wa Tanzania kutumia ushawishi wao kutangaza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
97 Views
Kuna wakati, mambo mabaya hutokea yakiwa yamebeba dhamira njema. Watu wa imani wanalifahamu hili. Yawezekana ukawa unataka kusafiri kwa basi, usiku ukaugua ghafla, ukasikitika sana kwa sababu...
5 Reactions
9 Replies
215 Views
Mheshimiwa Rais popote ulipo, na mheshimiwa Awesso, ni miezi mitatu sasa hatujui maji wakazi wa Ubungo Kibangu mtaa wa Kajima tunaomba msaada wenu viongozi wetu hali ni mbaya sana. Tuna miezi...
2 Reactions
25 Replies
515 Views
Robert Amsterdam naye ni wakili wa Bobi Wine.... Imenikumbusha kipindi kile cha kukaribia uchaguzi....zile NGO's ambazo zilitumiwa kupitisha fedha kutoka kwa wafadhili kwenda kwa CHADEMA....na...
0 Reactions
2 Replies
357 Views
Ninaishauri serikali ya Tanzania kupitia Bunge, kutunga na kuingiza Sheria ya mitaala mipya ya elimu kwenye katiba ya nchi. Huu ni hatua muhimu katika kuhakikisha mfumo wa elimu unakuwa thabiti...
2 Reactions
6 Replies
162 Views
Wakuu, Natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja. Taarifa mpya inaonyesha kwamba huu mpango wa Chadema Kuchangia chama chao unaoitwa Tone Tone ni balaa! Ni kama...
32 Reactions
167 Replies
6K Views
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu, Machi 3, 2025 amefuturisha watoto yatima na watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu jijini Dar es Salaam. Pia, Rais Samia amepata fursa ya...
7 Reactions
33 Replies
684 Views
Salaam Wakuu, Toka kampeni ya Tone Tone izinduliwe kumekwa na changamoto ya mtandao ambao haieleweki eleweki. Wakati wameshazindua na wakawa wanaitana mbele kila mmoja kuhamasisha watu wake...
2 Reactions
3 Replies
195 Views
Kipenzi cha wana Mbeya mama anayejitoa kwa kiasi kikubwa sana katika kuwahudumia wananchi wake na Tanzania kiujumla Dk Tulia Ackson. Ameendelea kufanya makubwa hadi duniani. Leo...
1 Reactions
6 Replies
232 Views
  • Redirect
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifuturisha Watoto Yatima na Watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 3 Machi, 2025
1 Reactions
Replies
Views
Uganda wako serious na PPP --- This is fantastic news! The groundbreaking step on the Kampala—Jinja Expressway PPP Project marks a huge leap forward for our infrastructure. we're confident that...
9 Reactions
36 Replies
615 Views
  • Redirect
Trump kapiga pini bila watu kujiandaa. Ulaya nayo na Japani wanaenda kupita mulemule bila watu kujiandaa . Watu wameshitukizwa !!.
4 Reactions
Replies
Views
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake This is a special thread and a tribute to the late J.P.M. Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama...
81 Reactions
6K Replies
129K Views
Utangulizi Tanzania, kama nchi nyingine nyingi duniani, imekuwa ikikabiliwa na changamoto za uchaguzi, ikiwa ni pamoja na tuhuma za udanganyifu wa uchaguzi (electoral fraud). Hali hii inachangia...
1 Reactions
1 Replies
99 Views
Je kwanini Maridhiano na 4R zime mshinda Raisi Samia? Kati ya sababu hizi 1. Raisi Samia alikuwa hana nia alitumia muda kujiweka sawa 2.Raisi Samia alizidiwa na makada vigogo ambao hawataki...
4 Reactions
15 Replies
354 Views
Kuna baadhi wameanza kulia kweli kweli kwa kwikwi wakilaumu suala hili, but my opinion our Neighbor, aingie mkataba wa win win situation, ili US Ifaidike na DRC Ifaidike, badala ya kuwa mali...
9 Reactions
50 Replies
2K Views
Na Mwandishi Wetu – Songea Leo hii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameendelea kurudia madai yale yale yasiyo na mashiko kuhusu mfumo wa uchaguzi na usawa...
-1 Reactions
53 Replies
1K Views
Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa. Tukumbuke Makonda ni nani Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo...
54 Reactions
185 Replies
27K Views
Wakuu, Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paulo Chacha, amemwagiza Katibu Tawala wa Mkoa kumsimamisha kazi Meneja wa Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA) Mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, kutokana na...
9 Reactions
50 Replies
3K Views
Back
Top Bottom