Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Tuna chini ya miezi 12 sasa Ili Uchaguzi mkuu ufanyike Hima Mawaziri wote tokeni hadharani mtuambie mmelifanyia nini Taifa la Tanzania Ili mtupe Wepesi wa kumkabili Tundu Lisu kwenye kampeni za...
0 Reactions
4 Replies
129 Views
Tunaipongeza serikali kwa kuajiri madaktari wengi sana mwaka huu hasa tamisemi. Pamoja na hilo kumekuwa na malalamiko mengi sana kwa wale ambao wamesha oa na waliomba kupangiwa katika mikoa...
0 Reactions
14 Replies
485 Views
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Tehama mh Jerry Silaa amekabidhiwa Ofisi ya Wizara yake mpya Jerry Silaa amekabidhiwa Ofisi na Maafisa Waandamizi wa Wizara ========= MAKABIDHIANO YA OFISI KWA...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Jerry Silaa, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limeeleza kutoridhishwa na kitendo cha Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Ndaisaba George Ruhoro Mbunge Wa Jimbo la Ngara Kwa kutambua na kuthamini mchango wa Elimu katika maendeleo ya Taifa ameendelea kupambana ili kuhakikisha mazingira ya Elimu kwa watoto wa...
0 Reactions
0 Replies
133 Views
Assistants Returning Officers ambao wengi ni maafisa watendaji wa kata wakishirikiana na wakurugenzi polisi na usalama waliwashurutisha walimu kuongeza majina ya wapiga kura hewa kwenye vituo sasa...
4 Reactions
3 Replies
296 Views
Nimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania ina Rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme. Sii Baraza la mawaziri wala bunge...
35 Reactions
156 Replies
4K Views
Habarii ndugu zangu Watanzania??, Nilikuaga nachukulia suala la UCHAWA ni la watu wachache wasiojitambuaa Leo nimengudua ndugu yangu Ninaemheshimu Sana na ana Masters kabisa na yeye ni Chawa...
5 Reactions
23 Replies
658 Views
Wale wenzangu na Mimi wa kutafuta green card ndo bas tena baada ya Trump kushinda
1 Reactions
23 Replies
881 Views
Chama cha ACT Wazalendo kimejiandaa kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji kwa kuhakikisha tuna wagombea wa kutosha. Taarifa tunazozipokea zinaonesha kuna hujuma kubwa...
0 Reactions
1 Replies
433 Views
Wadau mtakumbukwa MO Dewji mfanyabiashara mkubwa nchini alitekwa tarehe 11 Oktoba 2018 na kupatikana tarehe 20 Oktoba 2018 Baada ya kupatika Polisi walidai wamemkamta dereva taxi kuwa ndiye...
5 Reactions
29 Replies
4K Views
Katika kuonyesha imani, mapenzi, utii, kumkubali, kumtakia mema yote makubwa na madogo, kumhusudu, kumsifia na kumtukuza, napendekeza rahis wetu mtukufu mwenye maono, mpendwa na mpendeka...
15 Reactions
123 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Amemmiminia na kupongeza Rais mteule wa Marekani Mheshimiwa Donald Trump. ambaye ni...
3 Reactions
49 Replies
2K Views
Haijawahi kuwa sera ya Marekani chini ya Rais wa Republican au Democrats kuchochea wanawake wapewe madaraka katika nchi za Africa, hili jambo watu wanalirudia rudia sana kuonyesha kwamba...
2 Reactions
10 Replies
435 Views
Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Mpina leo tarehe 07 Novemba, 2024 amerejea tena Bungeni kuedelea na vikao vya Bunge baada ya kufungiwa kutokuhudhuria vikao 15. Adhabu iliamuliwa na wabunge wengi...
4 Reactions
33 Replies
1K Views
WAKATI umefika sasa Zanzibar kuondokana na dhana kuwa nafasi za Wanawake Viti Maalum kuwa ni za watu aina fulani pekee na badala yake lazima uwepo ukomo wa kuondosha suala hilo. Tumeshuhudia...
1 Reactions
5 Replies
484 Views
Watanganyika Nawasabahi .Nimekuwa najiuliza Sakata la TUNDU LISSU na MO DEWJI Watu hao Mmoja alipigwa Risasi Dodoma Makao Makuu ya Nchi Mchana Kweupe kwenye Lango la Nyumba aliokuwa anaishi na...
6 Reactions
64 Replies
3K Views
Mkurugenzi wa kampuni ya walinzi waliomsaidia Mo Dewji usiku baada ya kuachiwa na watekaji amsema ,siku hiyo walinzi wa kampuni yake wakiwa kwenye doria za kawaida maeneo ya viwanja vya Gymkhana...
5 Reactions
123 Replies
19K Views
Makusanyo ya mapato ya makampuni ya bia nchini yameshuka kwa karibu asilimia 20, hali inayoonekana kusababishwa na kupungua kwa wanywaji wa bia kufuatia ongezeko la ushuru wa bidhaa lililowekwa na...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Hali hiyo hupelekea CCM madhubuti, kupata ushindi wa kishindo kwenye chaguzi zote huru, za haki na za wazi na kisha kushika dola, kuunda serikali, kuongoza nchi kwa mafanikio makubwa sana. CCM...
4 Reactions
47 Replies
626 Views
Back
Top Bottom