Hayupo wa kushindana na mama,I wish her all the best
Yaani wewe ni mpuuzi kweli kweli,watanganyika 60 million hakuna wa kumwondoa mzanzibar!.
Hivi kuna mtanganyika anaweza kuongoza Zanzibar...
Mapinduzi ya Zanzibar yaliendeshwa na bwana John Okello. Hili halina ubishi. Mapinduzi yalianza saa tisa za usiku yakiongozwa na Okello na watu mia kadhaa wakiwa na silaha za jadi.
Walivamia...
Wa Tanzania, tujivunie hata hapa tulipofikia, reli yetu ni moja kati ya reli ndefu sana. Uganda wana kilometa 227 ambazo watajenga kwa miaka minne. Kwa wastani wa reli yetu, Uganda wangejenga kwa...
Hawa vijana hawawezi jipigania, hawawezi shinikiza ajira, haeawezi oaza sauti zao, hawa wanataka mtu baki awapiganie, na apigwe Mabomu na Polisi wakati anawapigania wao wakiwa kwenye keybord...
Hongera sana Mbunge Kunambi Kwa kuwasemea na kuwatetea Watumishi.
Sio tuu kwamba wadogo Wanaonewa Bali wanachomekwa kwenye madudu ya wakubwa kuwalinda hao wakubwa Wala rushwa.
Amazingira haya...
Napita hapa Kondo Bahari beach ambapo Tanroads wamefanya marekebisho makubwa ya barabara wiki chache zilizopita
Ndio nashangaa huo ukata wa miaka 20 ni huko Vijijini Kwa akina Lucas na...
Waziri Mchengerwa ni kiongozi ulijibebea sifa nyingi kutokana na utendaji wako
Hivyo Kwa tu wa chini yako kuharibu mchakato huu muhimu Kwa maendelea ya vijiji na Miata ni busara achia ngazi...
Katika Dunia ya Leo Mtendaji anaogopa kugawa Fomu za uchaguzi Kwa Chadema?
Huu ni Upumbavu uliotukuka utakaosababisha Watanganyika waamini ni kweli Chadema ina Wanachama milioni 17
Inakera sana 😂
Kesi ambazo tunaweza shinda kwenye Mahakama yoyote ile Tanzania ni zile Individual ambazo Serikali haina masilahi nazo na wala hazina impact yoyote kkwa Serikali.
Kesi yoyote ambayo ina negative...
Wakati wa Kujiandikisha kwenye Daftari la Wapiga Kura wa Serikali za Mitaa Uliofanyika tarehe 11 - 20 Oktoba, 2024, Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa...
Mbunge wa Conchesta Leonce Rwamlaza ameonyesha nia ya mabadiliko ya Katiba kutoka na Ufujaji wa Pesa za Maendeleo na Tozo mbalimbali katika ngazi ya Halmashauri unaofanywa na watumishi wa...
Kwa nini kesi iahirishwe mpaka tarehe 20 Novemba wakati upelelezi umekamilika?
Upelelezi ukikamilika kinachofuata ni kusoma maelezo ya awali yaani Ph.
Sasa hapa kwa nini kesi itajwe tar 20? Hapa...
Binafsi simpendi Samia not personal but kwa vitu vyote anavyofanya kwa watanganyika.
Katoa Toto afya kadi kwa watoto watanganyika
Kaongeza mfumko wa Bei kuanzia nauli, vocha, mafuta,
Shilingi ya...
Jambo la Haki ya Kuheshimu Uchaguzi wa Viongozi na Uchaguzi wenyewe Linafanyika ulimwengu wote wa wastaarabu.
Wafanyao hivyo mfano kwa uchaguzi huu wa serikali za mitaa ambako Watendaji wa Kata...
Akizungumza na mwanablog Magendela kupitia SALMA MADAI IT ANAYETEMBEA NA NDOTO ZA RAIS DKT SAMIA
Novemba, 2023, mdada mrembo wa sura na umbo, ameelezea ndoto za kuwa Rais wa Tanzania siku baadae...
Tanzania imepaa mpaka nafasi ya 6 toka nafasi ya 16 mwaka 2022 kati ya nchi 54 za Afrika kuwa na mtandao bora wa barabara kwa mujibu wa Takwimu za mtandao wa Statista.
Hii ni kwa sababu ya kazi...
Wakuu,
Jana nilikuwa naangalia takwimu za Watanzania ambao wana matatizo ya moyo kitaalamu Cardiovascular Disease (CVD)
Kulingana na report kutoka kwenye tovuti ya Geospatial Health, 13% ya...
Wakuu nawasalimu.
Kama taifa tupo katika kipindi cha uchaguzi Mkuu na Serikali za Mitaa ambao umepamba moto kwa hivi sasa. Huu ndio wakati wa Vyama vya Siasa nchini kukuza ushiriki wa wanawake...
Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete ametoa ushauri kwa Jamii kuwatumia Wazee kupata uzoefu na maarifa huku akiweka msisitizo wa kauli aliyowahi kuambiwa na Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwamba ukitaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.