Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakuu, Baada ya JK kusema siku chache zilizopita kuwa ukitaka nchi itulie wewe kamata wazee, inaonekana vijana wa UVCCM wameanza kupita mule mule Shamira Mshangama ambaye ni mwanafamilia wa WCB...
0 Reactions
2 Replies
216 Views
WAFANYAKAZI WA UBALOZI WATEMBELEA MJI MKONGWE WA COMORO Wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Comoro wametembelea mji mkongwe wa Comoro na kujionea maeneo yanayoweza kuwa na ushirikiano na...
0 Reactions
5 Replies
250 Views
Tamko la Maimamu Tanzania kwa Ummah kufuatia kikao cha dharura kilichofanyika leo tarehe 27, Oktoba 2024. Lifuatayo ni TAMKO LA AZIMIO LA MAIMAMU KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA. TAMKO...
8 Reactions
49 Replies
1K Views
Salaam Wakuu, Ni aibu kubwa baada ya miaka 60 ya uhuru kuona Watanzania bado Wanajisaidia Vichakani. Hii inatokana na kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa Wasiowajibika. Uchaguzi wa 2024 uwe...
0 Reactions
0 Replies
142 Views
Salaam Wakuu Kipindi cha Kampeni, kumekuwa na tabia ya Wanasiasa ya kubandika Mabango ya Kampeni kwenye Mitaa, Barabarani na hata kwenye kuta za nyimba za watu. Lakini Uchaguzi Ukiisha hawarudi...
0 Reactions
0 Replies
378 Views
KIchwa cha habari kimejieleza tayari punda haendi bila mijeledi utawala wa awamu ya tano ulikuwa bora sana kuwahi kutokea nchi hii kulikua na heshima sana husikii nguchiro anapiga kelele!
1 Reactions
1 Replies
228 Views
Kumbe watu wanakula mitonyo yetu na sie tumekaa kimyaa tuu?
0 Reactions
0 Replies
218 Views
Hapa bongo kuna kila aina ya vituko moja ya kituko kinacho niacha hoi ni huu utaratibu wa viongozi wa kitaifa eti kuifanya wanahamasisha michezo wakati ukweli ni kwamba wanajijenga zaidi kisiasa...
0 Reactions
0 Replies
174 Views
Ujumbe umewafikia Chadema na Mabwana zao Mabeberu.👇👇 Ndugu zangu wananchi ili tuendelee kupata tunayoyapata haya miradi ya kila aina, vituo vya umeme na mambo mengine msiende kufanya makosa...
11 Reactions
61 Replies
2K Views
Habari za muda huu, Naamini nafasi za uongozi zinahitaji watu wenye akili na uelewa (intelligence), siyo tu kuwa na ushawishi au pesa. Tanzania kwa sasa, tunaongozwa na watu wenye nguvu ya...
1 Reactions
0 Replies
185 Views
Wale Wakongwe mnakumbuka tulivyofanya udalali kwa Wahindi kwenda kuwabadilishia Fedha zao BoT Hili zoezi la Sasa la Dr Mwigullu PhD na Prof Kitila limenikumbusha ile Vita ya Wahujumu Uchumi chini...
1 Reactions
2 Replies
202 Views
Anonymous (5b4c)
Huku mkoani Geita, Mtaa wa NMC kumekuwa na udanganyifu mkubwa sana wakati zoezi la uandikishaji likiwa linaendelea. Kumekuwepo na suala la uandikishwaji hewa wa Wapiga Kura huku idadi ya Watu...
2 Reactions
2 Replies
247 Views
Hili andiko Kutoka Kitabu Kitakatifu limenijaza Moyo wa Shukrani Kwa Mungu wa mbinguni Hizi ni Siku za Mwisho na Timotheo ameelezea habari ya Hatari za Siku za Mwisho Moja ya hatari hizo ni...
4 Reactions
3 Replies
273 Views
Machawa wa Hasina wa Bangladesh kwa Sasa wanaojua shubiri. Wanaishi maisha ya kujificha na wanawindwa kweli popote walipo. Ila muda wa miezi michache wao ndio walikuwa wababe wa Bangladesh na...
1 Reactions
9 Replies
628 Views
Nama la mama raisi wetu kipenzi Raisi Samia Suluhu Hassan Nani Kama mama Wenye kumtungia uongo wajinyonge https://m.youtube.com/watch?v=OllZtjchN2U&pp=ygURSksgYWZ1bmdhIG1hZnVuem8%3D Somo...
1 Reactions
49 Replies
966 Views
Baadhi ya Wakazi katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamepewa elimu juu ya umuhimu wa marekebisho ya Katiba iliyopo sasa. Wakufunzi katika mafunzo hayo Mwl. Deus Kibamba ambaye ni Mhadhiri wa...
0 Reactions
0 Replies
590 Views
Watu wengi wanachukulia kuwa Iran na Israel ni maadui wakati wote, na wengine kwa kutoelewa wanadhani uhasama wa Israel na Iran umechangiwa na utofauti wa imani za kidini. Kama unafikiria hivyo...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Mkuu wa mkoa wa Singida mh Halima Dendegu amewataka Wananchi kujitokeza kupiga Kura 27 November kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa RC Halima amesema Kupiga Kura ni swala lililoanzishwa na...
5 Reactions
36 Replies
951 Views
Habari wakuu. Kwa wale tunaomfahamu MH Balozi Humphrey Polepole tangu miaka ya 2010 tunaweza kukiri kuwa amebadilika sana. Alikuwa ni Mwanaharakati mpenda maendeleo na haki sawa kwa wote. Mpenda...
3 Reactions
36 Replies
998 Views
Akiongea katika Ibada ya kuwaaga Watumishi wa Dayosisi ya Kati, Singida Majini, amesema Raisi Samia hakuingia madarakani kwa bahati mbaya Bali kwa Mpango wa Mungu. Amesema Raisi Samia haitaji...
16 Reactions
123 Replies
3K Views
Back
Top Bottom