Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hii ilikuwa mwisho mwisho mwa mkutano wa hadhara uwanja wa Sheikh Amri Abeid juzi kule Arusha. Sikupata kwa ukaribu zaidi nini kilitokea lakini Mh.Rais aliwamaind sana watu walioandaliwa...
35 Reactions
414 Replies
49K Views
Nimepitia siasa za nchi hii, nimeona majimbo yafuatayo yatacjukuliwa na chadema kwenye uchaguzi mkuu 2025. 1. Kisesa 2. Mbeya Mjini 3. Arusha mjini 4. Kongwa 5. Iringa mjini 6. Hai 7. Arusha...
18 Reactions
78 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Ukimuangalia Rais Samia Unagundua ya kuwa Muda wote amejaa ari,nguvu na hamasa kubwa sana ya kufanya kazi. Unaona muda wote akiwa na morali na utayari wa kuwatumikia...
7 Reactions
198 Replies
5K Views
Kiutawala, mitaa ,vijiji na vitongoji ni ngazi iliyo karibu zaidi na wananchi na uchaguzi wa Serikali za mitaa ,vijiji na vitongoji ndio kipimo Cha vyama vya siasa kujipima kukubalika kwao na...
1 Reactions
18 Replies
952 Views
Mchujo wa ndani ya CCM chaguzi huwa mkali mno wa nani astahili kugombea. Pesa ,Rushwa huwa si kigezo cha mtu kuteuluwa na chama kugombea nafasi ndio maana Lowassa na pesa zake nyingi alishindwa...
2 Reactions
15 Replies
610 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimeona kwa siku za karibuni kuona Waziri au Mawaziri wakifanya kazi ya kukagua ama kuzindua ama kutembelea miradi isiyo chini ya wizara zao. Sasa katika utaratibu huu...
0 Reactions
28 Replies
837 Views
Askofu Dr Bagonza amesema Padre Martin Luther alipigilia bango lenye Hoja 95 kwenye Lango Kuu la Kanisa pale Ujerumani na kuleta Matengenezo ya Kanisa Padre Martin Luther akawa Mchungaji...
3 Reactions
11 Replies
560 Views
Inaweza kuwa pia Chanzo kizuri cha mapato ya Serikali Badala ya kulipishwa faini ya tsh 30,000 kwa kutanua wakati wa kukwepa foleni ni Heri magari binafsi yaruhusiwe kulipia barabara za...
2 Reactions
22 Replies
568 Views
Rais Mstaafu Kikwete nakusalim kwa jina la jamuhuri ya Muungano. Ama kwa hakika nimekaa nikatafakari nakitafakuri nikasema niandike jambo kwenye JamiiForums labda watuwako wanaweza kukupa usome...
8 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za Jumapili Wanabodi, Kati ya maeneo ambayo inawezekana Tanzania hatujaweza kuyatumia vizuri kunufaika kiuchumi basi ni hili eneo la Siasa ya kutofungamana na Upande Wowote Sote tumeona...
2 Reactions
8 Replies
339 Views
John Nchimbi Mkurugenzi wa Halmashauri ya jiji la Mbeya amesema katika jiji hilo, hakuta kuwa na mwanafunzi atakayekaa chini kwa kukosa madawati baada ya miaka mitatu. "Tunataka Mbeya iwe ya...
1 Reactions
4 Replies
220 Views
Leo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa...
27 Reactions
91 Replies
4K Views
Siku za karibuni kwa wafuatiliaji wa mambo ya ndani ya Nchi na Siasa za Bongo kumekuwa na kasumba ambayo haijazoeleka ya mawaziri kufungua au kukagua miradi isiyo ya sekta anayoisimamia. Ivi...
0 Reactions
1 Replies
219 Views
Zoezi hili limekuwa la AIBU kubwa kwa nchi inayoongozwa kwa sheria, taratibu na kanuni. Iweje marehemu, watoto wenye umri wa chini ya miaka 18, walioachana na waume zao na hawapo kwenye eneo...
1 Reactions
1 Replies
147 Views
Hii ndio hali halisi ya Nchini Tanzania
3 Reactions
12 Replies
565 Views
Kuandikisha watoto ili kuiba kura mshinde muunde Serikali mnaweza, mna kila mbinu za wizi wa kura ili muongoze ila hamna mbinu za kutatua changamoto za mnaolazimisha kuwaongoza. Au akili huishia...
1 Reactions
0 Replies
199 Views
Baada ya kupitia takwimu ya sensa 2022 ina jumla ya wananchi wapatao 61 mil. Na inaonyesha watoto wa Tanzania bara ni 29.365 mil sawa na 49.1% Waziri TAMISEMI ameripoti idadi ya wapiga kura 31...
10 Reactions
23 Replies
1K Views
Nilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?
8 Reactions
73 Replies
2K Views
🇪🇹 Ethiopia surpasses export revenue goals, reaching $1.5 billion in first quarter of the current fiscal year Ethiopia’s Ministry of Trade and Regional Integration has reported that export...
0 Reactions
15 Replies
602 Views
Tafakari Wazanzibar ni Watu wanaojitambua sana tofauti na Watanganyika Nawaangalia hapa ACT Wazalendo Zanzibar na ACT Wazalendo Tanganyika ni kama Vyama tofauti Kabisa Au nasema uwongo ndugu...
0 Reactions
6 Replies
161 Views
Back
Top Bottom